Hii ni sawasawa na kusema uishi kama waswahili wanavyotaka wao yaani uwaridhishe ili kupata approval kutoka kwao.
kuishi maisha ya aina hiyo ndio mwanzo wa maugomvi, majungu, kununiana na kusemana kama kawaida ya waswahili. na ndio sababu uswahilini hakuna amani kama sehemu ambazo kila mtu humind business zake.
Ukitaka uishi kwa amani na kuheshimiana uswahilini basi hakikisha hakuna mazoea na hawa waswahili na uishi unavyotaka considering maisha yenyewe mafupi. au vinginevyo utaishi kwa tabu sana mpaka unakufa.
kingine haya mambo yapo mitaa ya uswahilini tu na unaweza kuyaapply uswahilini pekee.
sehemu ambazo kila mtu anamind mambo yake hakuna hizi vitu.
Sureni mihumu sana kuishi nao vuzuri. wana mazuri yao.
Kwahiyo sisi tuliopanga room 1 tuendelee kula wake za watu sio? π€7. Kwa wanaoishi nyumba za kupanga au apartment, usijiingize katika mahusiano ya kimapenzi na mke/mume wa mpangaji mwenzio
Umeongea point sana mkuu, ishi maisha yako tu.Hii ni sawasawa na kusema uishi kama waswahili wanavyotaka wao yaani uwaridhishe ili kupata approval kutoka kwao.
kuishi maisha ya aina hiyo ndio mwanzo wa maugomvi, majungu, kununiana na kusemana kama kawaida ya waswahili. na ndio sababu uswahilini hakuna amani kama sehemu ambazo kila mtu humind business zake.
Ukitaka uishi kwa amani na kuheshimiana uswahilini basi hakikisha hakuna mazoea na hawa waswahili na uishi unavyotaka considering maisha yenyewe mafupi. au vinginevyo utaishi kwa tabu sana mpaka unakufa.
kingine haya mambo yapo mitaa ya uswahilini tu na unaweza kuyaapply uswahilini pekee.
sehemu ambazo kila mtu anamind mambo yake hakuna hizi vitu.
Naona unatetea kundi lako πhiyo namba 6 ni muhimu sana ,
Kwa maisha ya sasa yalivyo haitaji mtu uishi kwa kujitanua hivo mzee be you, privacy is important π π π hawajui waswahili huyu jamaa.Hujawajua waswahil vizur wew.....