'Street codes' za kukusaidia uishi vizuri na watu mtaani kwako katika mji wowote Tanzania

Hujawakomoa, salimia mara 1, akiitikia kwa unyonge acha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hili la kwenda kujitambulisha kwa wazee magwiji wa mtaani kwako nalo lina umuhimu wake.
 
ni muhimu kuchukua tahadhari zote wakati unaanzisha urafiki na vijana wahuni wa mtaa. uwe ni urafiki wa kimaslahi.
 
pole sana ugobha.
 
Ukikaa Uswahilini, ili uwe salama, ni lazima uji-attach na vibaka wa mtaani, kamwe hautaibiwa. Mfano, ukiwapita kijiweni unawapa salaam, unawachia hata fegi, siku moja moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…