STRESS FREE: Vichekesho on fleak! Weka na cha kwako hapa tufurahi

STRESS FREE: Vichekesho on fleak! Weka na cha kwako hapa tufurahi

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda kufungua mlango
Akamkuta jamaa kalewa sana mlangoni kwao
JAMAA: Nini tena mheshimiwa kuamshana saa hizi?
MLEVI: Naomba uje unisukume.
Jamaa akiamini kuwa pengine kuna gari la huyu mlevi limezima jirani akamwambia subiri nikavae viatu. Baada ya kuvaa viatu akatoka na wakaanza kusindikizana na mlevi. Mlevi akaongoza njia
mpaka kwenye mabembea ya jirani akakaa kwenye bembea moja na kumgeukia jamaa na kumwambia.. Okay nisukume basi.[emoji28][emoji23]
Hii Kali.
 
[emoji23] Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work[emoji818]

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Watoto Watatu, kila mmoja Pipi Mojamoja nabakiwa na ngapi? Anakwambia, "toa Kwanza nizione.."[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka mno.
 
IMG-20170422-WA0000.jpeg
 
[emoji23]Nakumbuka nilivokua nasoma shule ya msingi darasa la pili[emoji23]
asubuh kabla ya kwenda mstarini kuna wamama ntilie wanauza ubuyu wa maji,kachori na vinginevngn.
Nkaenda nkanunua ubuyu wa maji nkaanza kula pemben nmekamata ice cream yang,mara kengele ikapigwa ya kwenda mstarini.
Tulipofika mstarini tukaambiwa tukae attention kwaajil ya wimbo wa taifa[emoji23][emoji23].
Mm bado nmekamata ubuyu na ice cream nakula ,head mistress ananipiga jicho tu la upandeupande,nkawa sishuuliki sana,wimbo wa taifa unaimbwa mpk ukaisha.
Ulipoisha tu nkaitwa na headmistress, we mwarabu uko nyuma ulieshikilia ubuyu na ice cream ebu njoo apa mbele[emoji3][emoji23],sitosahau io siku.
Ile nafika tu nlistukia bao moja la uhakika la shavuni[emoji23][emoji23][emoji23]nlihisi kizunguzungu,siku ya pili watu wakiimba wimbo wa taifa ww kula tena sawa??[emoji23][emoji23]nkamuitikia sawa nkastukia bao la pili hahaha[emoji23][emoji23]nkajikaza tu.
Akasema haya rudi siku ya pili kula tena sawa??nkanyamaza kimya sikumuitikia nkarud kimya kimya huku mashav yang yakiwa na alama ya vidole[emoji23][emoji23]alaf nkawa nachekea marafiki zangu kama vile sjaumia kitu, na alama zang nkakaa kimya[emoji23][emoji23]yale mabao yalinitia kizunguzungu sitoyasahau.
Ningependa kama ningeweza
 
ACHA MASWALI YASIYO YA MSINGI

Jamaa mmoja kwa kupenda vya kunyonga siku moja aliingia choo cha stendi bila kupenda. Tabia yake ya kuuliza maswali yasiyo na msingi ilimtokea puani na kumwacha mdogo kama kanyeshewa mvua ya mawe.

John: Cuzo, nasikia siku hizi unafanya kazi bakery.

Cuzo: Ndiyo, nafanya job kwa bakery bana.

John: Mbona hujawahi niletea mkate hata mmoja bana?

Cuzo: Dada yako yule anafanya kazi airport amewahi kuja na ndege kwa nyumba? Ehee! Wewe mwenyewe wafanya kazi mortuary, ushawahi kuja na maiti? Tafadhari usinikasirishe, sijalipwa mshahara mwezi wa tatu huu![emoji23][emoji23][emoji23]

KENYAN
 
MSIKIE UYU MTOTO ANASEMA NINI[emoji23]

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duniani?
BABA: Mungu alimuumba Nabii Adam na Hawa.
Kisha wao wakaanza kuzaa watoto na watoto
wakazaa mpaka tukazaliwa sisi. (Mtoto hakuridhika
akamfuta mamake)
MTOTO: Mma, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duniani?
MAMA: Wanasayansi wamesema sisi tulitokana na
manyani baadae tukawa binadamu. (Mtoto akarudi
kwa baba)
MTOTO: Baa mbona mama ansema sisi tulikuwa
manyani mwanzo?Au wanidanganya?
BABA: Mwanangu, mimi nimekuelezea kuhusu ukoo
wetu. Mamako amekuelezea kuhusu ukoo wao[emoji23][emoji23][emoji124][emoji124][emoji124]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
WATANZANIA
Kuna mambo muhimu matatu hatuyajui ndomaana hatuendelei kama wenzetu ulaya,,, tumekuwa tukiyafanya mambo haya kwa mazoea, [emoji51][emoji51]
MAMBO yenyewe hata mimi siyajui kwa 7bu namm ni mtanzania [emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji85][HASHTAG]#bangi[/HASHTAG] nihurumie #[emoji85]
 
*Bibi kizee alikuwa kwenye meli.amevaa kofia na upepo mkali ukipuliza, akashikilia kofia kwa mikono miwili. huku gauni likapeperushwa na hakuvaa chupi. mtu mmoja akamuuliza,kwann unashikilia kofia wakat chini kukowazi hujavaa chupi? bibi akajibu: UCHI NINAO ZAID YA MIAKA 85.KOFIA NIMENUNUA JANA TU....*[emoji2][emoji23][emoji2][emoji23]
 
Mwalimu aliwauliza wanafunzi
"1+1 ni ngapi"?
Mwanafunzi mmoja akajibu
"ni 4"
Mlevi aliyekuwa anapita nje akastuka...
"Tutakufa mwaka huu kila kitu kimepanda!
Nauli,Sukari, Bia, Chakula
....... mpaka 1+1 iliyokuwa 2 nayo imekuwa 4![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji374][emoji374][emoji24][emoji24][emoji24][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mwalimu wa chekechea kawatoa wanafunzi wake nje..

Mwalimu:Angalieni juu, mnaona nini?

Wanafunzi:Mawinguuu!!!

Mwalimu:Vizuri, kingine je?

Wanafunzi:Hamna kingineee!!

Mwalimu:Je, Mungu mnamuona??

Wanafunzi:Hatumuonii

Mwalimu:Sasa tutaaminije?, me ninawaambia hakunaga Mungu.

Dogo mmoja akadakia,,,"Mwalimu, samahani kidogo!".

Mwalimu: "Bila samahani"

Dogo akatoka mbele...Anaanza kuwauliza wenzake,,,

Dogo:Angalieni kichwani kwa mwalimu, mnaona nin?

Wanafunzi:Nyweleee!!

Dogo:Vizuri, kingine je?

Wanafunzi:Hamnaaa!!!

Dogo:Mnaona akili??

Wanafunzi:Hatuiooniii

Dogo:Sasa tutaaminije?, mimi nawaambiaga hana akili huyu mwalimu.

Ile chekechea mpaka sasa imefungwa.
 
Kipindi nipo mtoto....kuna jamaa (kaka wa kitaa) aliniambia ukitaka kum-do mwanamke yeyote okota chupi yake na umpe, kwa haibu atakupa tu mechi ndani ya 6 X 6. Ile kitu ilinikaa kichwani kwa muda mrefu sana, baada ya kubalehe nilifanya jitihada ya kuiba chupi ya mdada fulani wa pale mtaani kwetu. Alifua nguo zake na kubandika kambani, kijana nikajitahidi kuiba ile chupi na kumpelekea nyumbani kwake usiku huku nilikuwa nimeifunga vizuri kwenye gazeti. Kufika kwake namgongea hodi na kumpa kilicho chake akanipiga kofi na kuniita mchawi huku akinikejeli kwa maneno ya hajabu. Yaani nililaani kuambiwa ule ujanja na yule kaka wa kitaa. Nyege yote ilinitoka.
 
Mwalimu wa chekechea kawatoa wanafunzi wake nje..

Mwalimu:Angalieni juu, mnaona nini?

Wanafunzi:Mawinguuu!!!

Mwalimu:Vizuri, kingine je?

Wanafunzi:Hamna kingineee!!

Mwalimu:Je, Mungu mnamuona??

Wanafunzi:Hatumuonii

Mwalimu:Sasa tutaaminije?, me ninawaambia hakunaga Mungu.

Dogo mmoja akadakia,,,"Mwalimu, samahani kidogo!".

Mwalimu: "Bila samahani"

Dogo akatoka mbele...Anaanza kuwauliza wenzake,,,

Dogo:Angalieni kichwani kwa mwalimu, mnaona nin?

Wanafunzi:Nyweleee!!

Dogo:Vizuri, kingine je?

Wanafunzi:Hamnaaa!!!

Dogo:Mnaona akili??

Wanafunzi:Hatuiooniii

Dogo:Sasa tutaaminije?, mimi nawaambiaga hana akili huyu mwalimu.

Ile chekechea mpaka sasa imefungwa.
Hahahaha iyo kali ya mwaka[emoji23]
 
Jana nilikula bakuli 4 za maharage.Demu wangu akanipigia kunialika chakula cha jioni home kwao.Nilipofika akanikumbatia kwa bashasha vile hakuamini kama ningeenda,akasema"bby nina suprise kwako,fumba macho"nikafumba.Akanifunga kitambaa usoni kisha akaniongoza hadi kwenye kiti changu mezani.Kabla hajanifungua kitambaa cm yake ikaita chumbani,akaomba aende kupokea ila akanisisitiza nisifungue kitambaa,akaenda..Yale maharage nilokula yakaanza kunikoroga tumbo,likajaa gesi.Nikajibinua kwa kushoto nikapunguza gesi kidogo.Harufu ilikuwa mbaya nikatoa leso mfukoni nikapungapunga hewa kupunguza harufu,masikio yakiwa makini kusikiliza maongezi ya cm chumbani.Nikajibinua upande wa pili nikaachia makombora km matatu ya kimyakimya.Harufu ilikuwa mbaya zaidi ya kabej na maharage yalochacha!nikachukua leso nikapukutapukuta hewa.Mara cm ikakata huko chumbani,akaja,akaniulza"bby hujatoa kitambaa kwel?"kwa uso usio na hatia nikamjibu"hapana bby",akanifungua.Ghafla wageni 12 akiwemo baba na mamaake wameketi huku wameziba pua!!
Hah hah hah ingetokea upande wangu nadhani na mahusiano yangeishia hapo hah hah
 
Back
Top Bottom