Stress Free Zone

Aisee nakumbuka ulikua na no yangu ebu niambie unataka kuvumbua nini maswali hayo yote
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sasa ungenipenda kile kivuli ulichokutana nacho au
Safari Moja Huleta Safari Nyingine

Kama Ulinipa # Yako Bass Naiman Hata Picha Zako Ungenipa Tuuu

Iv Unajua Mpaka Sasa Najiuliza Nilipatwa Na Nin.....???
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sasa ungenipenda kile kivuli ulichokutana nacho au
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Shida Mama Angu Kipindi Kile kulikuwa Na Watu wanakusumbua Sumbua Kias Kwamba Nikasema Acha Tuuu Niwaache

Mf : Fakalava
Fakalava ni mshikaji wangu mpaka leo huwa hakati tamaa na mm jamaan namkubali sana angekuwa mwanaume mwingine angeninua na kuninua ninavyomjibu lakini yeye ni tofauti bado ni rafiki siku hizi amepotea jf huwa namuona siku moja moja sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…