Rahabu
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 5,526
- 3,341
KhaaaaaaShunie kashalisuuza kitambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KhaaaaaaShunie kashalisuuza kitambo
Same to you kakaHave a nice weekend dada
NdioooOoooh eti eeeh!!!
YeeeduuuuMie panya wangu ninaowajua ni wewe na sakayo.
SawaHahahaaaa!! Sidanganyiki, ulete vitenge vyangu kwanza.
Na wewe piaUsiku mwema wote.
Tutaonana tena Mungu akipenda
Hahaaa. Dada wewe ni noma ujue. Duuuh.Mie nimejifunza kupika uji, sasa najua kupika chai na uji. Inatosha sijifunzi tena.
Poleeee.Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho Kho
Nitashukuru my dearPoleeee.
Ngoja nikuletee glass ya juice my dear. [emoji125] [emoji125]
Nilijaribu kupika tambi pasipo kuzikata kata na kujifunza kula kwa kutumia vijiti viwili (Chinese style)Nzuri kabisa mwaya. Hivi ndani ya huu mwezi umejifunza upishi gani mpya na mie unifundishe?
[emoji85] [emoji85]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji113]Mie nimejifunza kupika uji, sasa najua kupika chai na uji. Inatosha sijifunzi tena.
Unajua sanaEbu niambie hata kiduchu tu ni ninii mbaya
Huwa natamani kweli kula kwa kutumia vijiti viwili ujue itabidi nikutafute my dear kwa sababu na mie napenda kujifunza pia.Nilijaribu kupika tambi pasipo kuzikata kata na kujifunza kula kwa kutumia vijiti viwili (Chinese style)
Nashukuru kwakweli nimekuwa mkufunzi kwenye swala la kutumia vijiti
Kufichwa wapi ndugu yangu mimi hata sielew kwanini hatuonani jamaniDuuuuh!! Salama kabisa mama. Huko kufichwa kuna usalama kweli!!
Ulale salamaUsiku mwema wote.
Tutaonana tena Mungu akipenda
[emoji23][emoji23]Naona unamisiana mtu na mdogo wake [emoji4]
Ngoja mimi nianzie hapa. Hiyo na mimi naitamania sana unazipikaje mdadaNilijaribu kupika tambi pasipo kuzikata kata na kujifunza kula kwa kutumia vijiti viwili (Chinese style)
Nashukuru kwakweli nimekuwa mkufunzi kwenye swala la kutumia vijiti
Ewaaah hapo hutojutia kujifunza kupitia mimi, nitahakikisha umeelewa vyema sanaHuwa natamani kweli kula kwa kutumia vijiti viwili ujue itabidi nikutafute my dear kwa sababu na mie napenda kujifunza pia.
Ahsante sana my dear. Inanibidi nitafute siku special ya kupata hilo somo.Ewaaah hapo hutojutia kujifunza kupitia mimi, nitahakikisha umeelewa vyema sana