Stress Free Zone

Stress Free Zone

Ahahhahhah nalifahamu sana hilo jana mpaka naingia kulala sijaamini haujakuja ila ujue dada we ni mnaa hakiii youngblood nachangamsha nae jukwaa simjui hanijui masikini wala pm yangu haijui sema jana alinitisha anaonekana ni muhandsome si unajua me na wahandsome hatupatani napenda sura ngumu sura ya kiume
Shunie wewe kiboko [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23], ila usijali mimi sio handsome sana Remy Ongala amenizidi kidogo tu.
 
Back
Top Bottom