Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Niambie jiraniiiJiraniiiiiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niambie jiraniiiJiraniiiiiii
Toa kwa sakayo me situmiagi nilishawaambia mods waiondoe toka nilivyoingia jf[l]Kwa njia ya inbox
Kama unavyoniona nikiserebuka na kuserereka hapaNaimani Uko na siha njema!
Nakusubiri...Nakuja babe
Ahahahhh angejua me ndio mwenyekiti[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Shunie umemsikia babe wako?
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Woyoooooooo
Aki bia ntaiita chodaaaa
Safi sana. Una adabu. Mila za kwetu ungeziwezaHapa nimekupigia goti mpaka chini slim
Jamaan mm tena jirani yake dada hivi huwa nakosea wapiUmeanza tena! Kama jana!
Mh, Kumbe yanaliwa basi akili yangu ilikuwa imeshahama.Nayajua babe ni ya kula ahahahhh
Njoo nkupe mma JiraniDr. Kakataza
Hapo sawaKwa mromboo njoo
Dadako atakuambia! AmekuskiaJamaan mm tena jirani yake dada hivi huwa nakosea wapi
Ile tai yako ya red iko wapi ShemShunie wewe kiboko [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23], ila usijali mimi sio handsome sana Remy Ongala amenizidi kidogo tu.
Acha habari zako chalii nitakutoa kishipaHizo sifa ninazo shunie wala usipate shaka, siku ukija mjini kula mapupu mambo yakuwa mubashara kabisa....
Akili ilihamia wapi Mkuu?Mh, Kumbe yanaliwa basi akili yangu ilikuwa imeshahama.
Hapana we ni muhandsome ulimwambia Mwifwa umtumie pic pm akiiweka pm atazikimbia yeye yaan mm muhandsome sipatani nae jaman kila mtu anamtaka mambo ya kuanza kugombana na wadada wenzio kwa ajili ya bae muhandsome hapana jamaan huku unafikilia homa ya iniShunie wewe kiboko [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23], ila usijali mimi sio handsome sana Remy Ongala amenizidi kidogo tu.
Najua babeAhahahhh nacheka sana woiiii ujue sikufichi mie ninaokwambia ndio ukweli jaman
Hapo sahihi kabisa.Njoo nkupe mma Jirani
Ndio hayo hayo Shunie[emoji2] [emoji3]Ooooh hayo ya ng'ombe au usikute ndio hayo tunakula we Mwifwa ebu kuja hapa unielezee lakini hapana