Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
Haya JiraniHapo sahihi kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya JiraniHapo sahihi kabisa.
Hahahaaaaaa.Acha habari zako chalii nitakutoa kishipa
Abeeeeeee[emoji3] [emoji3] [emoji3] shemeji.
Haaaah. Haaah. Haaaah. Ngoja na Mimi nikampe akili zangu dadako afu nione nitabaki na ladha gani!Imehamia kwa shunie
www@wivu.comNajua babe
Hapa sina mbavu.... Nlitaka nkutext nikaogopa bwashee asijesoma
Akuuuuuu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mfyuuuu tuma text hiyo
[emoji3] [emoji3] [emoji3] ile nimeshaiuza siku nyingi, shunie amenikataza nisivae tai.Ile tai yako ya red iko wapi Shem
Nikutane na Shunie na youngbloodHahahaa
Ili nini jamani?
Hivi umemaanisha Maji ya kunywa au ya kuoga? Kama ya kuoga usisahau iriki na amdallahsin!Haya Jirani
Utamuacha huko maana atagoma kuondoka[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] huyu inabidi siku niende nae kula mapupu
Yani nikisikia Mapupu napata picha tofauti sijui kwanini.Akili ilihamia wapi Mkuu?
UmeanzaEwaaaaa halaf shem wako anaonekana white flani woiiii nishazoea vyeusi mangala mie vyeupe na me tofauti shunie weupe bae nae mweupe wapi na wapi
Angalia shunie asiniangalie kwanzaGeuka nyuma basi
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Achana naye huyo ameshavurugwa.
ArostoHaaaah. Haaah. Haaaah. Ngoja na Mimi nikampe akili zangu dadako afu nione nitabaki na ladha gani!
Wachoyo ninyi.....Heee
Hata mie nimefunga
Babe kitu hiko apoMh, Kumbe yanaliwa basi akili yangu ilikuwa imeshahama.