Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini tenaHUMU KUNA UGONJWA MBAYA SANA UMEINGIA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] roho inakuuma kama juzi kati ulivyomfanyia kapukuYaani nikikumbuka hapo tu... Roho yaniumaaaa
Ugonjwa upiii huo mbona sie wazimaHUMU KUNA UGONJWA MBAYA SANA UMEINGIA
UnaitwajeHUMU KUNA UGONJWA MBAYA SANA UMEINGIA
Hivi kwani nilimfanyaje jamani....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] roho inakuuma kama juzi kati ulivyomfanyia kapuku
Na kwako pia jaman naona mida imefikaMlale salama wapendwa.
Asante,mbona waguna tenaKhaaaa
Na wewe pia
Leo tembele [emoji23] [emoji23]Na kwako pia jaman naona mida imefika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yule mwanaume ana roho ya pekee kweli kuna siku alipost pic mwanaume kachuchumaa mwanamke kamkalia mgongoni ikaandikwa mwanaume yupi anahitaji kupata hii tuzo nikamwambia hiyo tuzo inakuhusu wewe akaniambia inamuhusu Lee nikamwambia Lee haimfai hana uvumilivu huoHivi kwani nilimfanyaje jamani....
Ujue T ana roho yake ya kipekee, aki Mungu anisamehe tuu
Hakuna tembele wala mchicha mida ya kuambiwa uzime simu imefikaLeo tembele [emoji23] [emoji23]
Hivi unashangaa niniii si ndio mida yake hiiKhaaaa
Na wewe pia
Naona mida ndo hiyo...Asante,mbona waguna tena
Leo alhamis hakuna labda na mm nipokonywe simu hivi ujue hajui kama nipo huku [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Naona mida ndo hiyo...
Watamthilia nae namuona kwa mbaaaaliiii anaaga pia
Yaani T jamani, Mungu amtunze tuu apate wa kufanana nae!!! Aki ni wa kipekee sijapata ona!!!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yule mwanaume ana roho ya pekee kweli kuna siku alipost pic mwanaume kachuchumaa mwanamke kamkalia mgongoni ikaandikwa mwanaume yupi anahitaji kupata hii tuzo nikamwambia hiyo tuzo inakuhusu wewe akaniambia inamuhusu Lee nikamwambia Lee haimfai hana uvumilivu huo
AmeenYaani T jamani, Mungu amtunze tuu apate wa kufanana nae!!! Aki ni wa kipekee sijapata ona!!!!!
HahahaLeo alhamis hakuna labda na mm nipokonywe simu hivi ujue hajui kama nipo huku [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]