Hatari sanaKuna umuhimu Wa kucheza mechi za kirafiki na Timu za nje Mara kwa Mara.
Hii husaidia sana kuwa timamu Wa mwili muda wote, pia inakupa uzoefu hata ukiingia uwanjani kucheza mechi kubwa unakuwa na confidence 100%. Hata kejeli za timu pinzani hazitaweza kukutoa mchezoni kirahisi..
Asante.
Hii hali inatukuta wanaume wengi sana.Ukipata shida zilizosababishwa na KE aisee unakuwa huna emotions na huwezi fanya hiyo kwichikwichiImetukuta wengi hi na nineamini matatizo ya nguvu za kiume wanasababisha hawa wanawake, mtu unakuwa huna hamu nae kabisa
😂😂 tutajirekebisha.Ni kweli kbs...
Alafu wasichokijua wanawake ni kwamba ili mwanaume apige shoo nzuri inabidi awe na utimamu wa akili pia,ukiachana na mwili ambao ndy unahuzika ktk tendo,Kwa sababu kinachofanya mtu anasimamisha na kufanya sex vizuri ni utayari wa ubongo.Ndy maana wengi wao wakijitahidi bao moja hawezi kwenda la pili maana stress zimesharudi kichwani upya
Matokeo wanaanza kujihisi Wana mapungufu ya nguvu kumbe mke ndy mchawi.Muache visirani wanawake Kwa kweli,mnatufanya kengere zetu zionekane za kuvalia suruali Tu!!
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
😂😂😂Niliwai kuforce mara moja kilich nikuta uume ulilala siku tatu bila kuamka kabisa
Tena unapiga show ya nguvu [emoji4]Ni kweli.
Ukichepuka mnara unanyooka Kama Kawaida.
Serikali iruhusu bangi Kwanza ndo mengine yafate maana stress haziwezi kuepuikika bali kupunguzika.Tupe Njia ya kuondoa stress kwanza..
Kijana uko vizuri sana.Sex is primarily Psychological( Mental)
Kama Asubuhi unapata Erection( early morning erection)basi you are Ok in the Physical ( Body) so usihangaike na mitishamba, kisukuma, kimasai, pweza, vumbi,kichina, kiarabu wala kizungu utaibiwa!
Kama una zinaa kaitibie hospitali
Huwezi kusex na mtu unaemchukia ( mental)
Huwezi kusex aliyeuvunja moyo wako... lazima italala kabla ya kuingiza!
Hapa ndio ulipokosea...Sikushauri uchepuke OA.