Striker wa Yanga Clement Mzize abadili Dini

Madai ya Uwepo wa hicho cha kuingia nacho mkataba ni Kiini Macho.

Kama kweli kuna hicho kitu kinashindwaje kutafsiri wema wa MTU kuwa sahihi yake katika mkataba?

Dini zote zinafahamika zilipoaanzia, zote ni man made systems.

Hakuna mkataba wala mtoa mkataba, tenda wema kwakuwa Utu wako unakusukuma kufanya hivyo, laa ishi kulingana na hulka zako, na Anguko lako utajitengenezea mwenyewe nafsini mwako.
Tumechoka porojo zenu za kitumwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…