Striker wa Yanga Clement Mzize abadili Dini

Binafsi nadhani kubadili dini kuna maana zaidi kama una changamoto ngumu za kimaisha mfano magonjwa, mikosi, nk. ambazo umekaa muda mrefu na kupitia dini yako umeshindwa kuzitatua. Hapo unaweza kujaribu upande wa pili.

Ila kama umefikia mafanikio fulani ukiwa katika dini fulani halafu kwa mihemko, tamaa au kujaribu kuridhisha mtu au watu fulani ukashawishika kubadili dini, kuna mabaya yanaweza kuja kukukuta huko mbele yatakayoteketeza kila ulichofanikiwa.

Huo ni mtazamo wangu tu.
 
Mashaallah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ajabu Watu wanahangaika na Dini Karne hii, hakuna mtu ataingia peponi kwa Dini yake isipokuwa Matendo yake Mema.

Rekebisheni matendo yenu kuwa mema ndipo mtaiona Pepo.
 
Ni uamuzi wake, ni maisha yake. Hata Shomari Kapombe naye tulisikia amebadili dini. Hivyo binafsi sioni kama kuna tatizo, zaidi ya kumtakia tu heri kwenye imani yake mpya.
 
Hahahahaha daah oya mwandishi kachukua head katunga habari any way ni baba yake jamani sio yeye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…