The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Wanasema ukipata stroke lazima ubakie na ushahidi hata ukipona lakini lazima ubakie na alama ya kua ulishapata stroke, yeye jamaa amepona 100%?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu Uzi umenishitua Sana aisee naogopa sana hii kitu ngoja nirudie kufanya mazoezi maana ilikuwa ni daily basis yangu kukimbia umbali wa km 25 ingawa Nina 49yrs now sijui nini kimenikumba nina miezi 6 sijafanya mazoezi ahsante sana dada yangu kwa Uzi huu[emoji120]
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobil
Kwanini wengi hupata stroke bafuni?Tupo wanne tumetokes kuelewana na kuwa marafiki wakubwa. Rafiki yetu mmoja amefanikiwa kujenga nyumba nzuri tu ya ghorofa, anaishi na mume wake na mabinti zao wawili.
Weekend moja alitulika katika sherehe y mtoto, hatukua wengi sana, kwakua sherehe ilikua ni ya watoto, yeye na mume wake waliamua kuwa na watu wao wa karibu. Tulikula na kucheka na kuagana.
Wiki iliyofuatia rafiki yetu aliymtupigia simu, mume wake amepata stroke! Ilimtokea akiwa anaoga asubuhi, alikimbizwa Hospital. Alilazwa kwa wiki mbili baada ya hapo alirudi nyumbani. Ilibidi awekewe kitanda sebuleni hakuweza kupanda ngazi za kwenda chumba kwake.
Aliendelea na mama cheza kwa mwezi mmoja. Baada ya hapo alitafuta mama cheza wa private. Alifanya mazoezi kwa miezi mitatu. Sasa hivi amerudi katika hali ya kawaida. Ila amebadili mfumo wake mzima wa maisha. Ana kimbia kila siku, hali nyama tena na pombe ameacha.
...Rudia Mazoezi Mkuu. Ulikuwa Vyema. Kilomita 25!Huu Uzi umenishitua Sana aisee naogopa sana hii kitu ngoja nirudie kufanya mazoezi maana ilikuwa ni daily basis yangu kukimbia umbali wa km 25 ingawa Nina 49yrs now sijui nini kimenikumba nina miezi 6 sijafanya mazoezi ahsante sana dada yangu kwa Uzi huu[emoji120]
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Fundimama cheza ndio nini....?
Shukurani sana Mkuu. Tafadhali sana hebu nifafanulie zaidi hapa pa Cardio.Mazoezi na aina ya vyakula ndo jawabu.
Punguza nyama nyekundu.
Punguza pombe.
Pendelea kula punje za vitunguu swaumu mara lwa mara.
Fanya mazoezi(cardio) angalau 30mins kila siku.
Mazoezi ya kupata joto kabla ya kuoga yana tatizo gani?Mazoezi ya wastani ni muhimu sana wakuu, tusisahau kuoga maji moto walau mara moja kwa wiki.
Na tuache tabia ya kufanya mazoezi ili kupata joto la kwenda kuoga, ni mbaya sana.
Kwanini wengi hupata stroke bafuni?
Waswahili wanasema kuna majini bafuni ila ukweli ni kuwa ni kama jiwe la moto kulimwagia maji ya baridi ghafla litapasuka tu,so ukijimwagia maji wakati wa kuoga wakati presha haiko sawa lazima uangukeKwanini wengi hupata stroke bafuni?
Jamani msitulishe matango pori. Concept hapa ni expansion na contraction. Ghafla kwa chochote kati ya hivyo ni hatari..........Na tuache tabia ya kufanya mazoezi ili kupata joto la kwenda kuoga, ni mbaya sana.
No!Mimi nilitaka nijue kuwa stroke yake ilisababishwa na kichocheo gani,yaani ilikuwa ni depression au ni hypertension au ni nini?Yaani kichocheo kilikuwa nini?Blood clot in brain
kuna ndugu yangu alipatwa na hilo tatizo...amepona kwa asilimia 89 tu...mkono wa kushoto sehemu ya vidole imegoma kuachia...nisaidie kama unajua chochote cha kufanya
oh kumbe ndo maana inashauriwa ktk kuoga kuanza kujimwagia maji mguuni n.kWaswahili wanasema kuna majini bafuni ila ukweli ni kuwa ni kama jiwe la moto kulimwagia maji ya baridi ghafla litapasuka tu,so ukijimwagia maji wakati wa kuoga wakati presha haiko sawa lazima uanguke