Hongera sana mkuu...samahani naomba kujua mahali anapopatikana huyo padri hapo moro,nina mpango wa kujifunza ufugaji wa sungura mkuu..
nafikiri nikija wakati umemaliza realocation itapendeza sana, na kama huwa unaingia kwa Uhuru asubuhi na kurudi A town jioni kwangu ni poa zaidi. Pia nitapenda kuangalia projects zote isipokuwa nafaka.
Arusha lazima nije, ni ktk kujifunza na kujiweka sawa zaidi. Kwa ufupi, niko tayari kufuatana nawe hapo jirani kwa Uhuru, na hata pale kwa M7 nitabana haya madafu mpaka tuvuke wote. Cha msingi, nipe makisio ya gharama za Nairobi kwenda na kurudi, A town pa kulala papo. Nipe na makisio ya Ug kwenda na kurudi ili nifungue kibubu cha kazi hiyo 2015.
Be blessed.
Asante sana,Nairobi Nauli sio kubwa sana make from Arusha to Nairobi kwenda tu ni kama 24000 na kurudi 24000, but kwa M7 ni lazima kulala make ni mbali ila kwa Nairobi hata ukitoka Nairobi saa 11 jioni bado kuna uhakika wa kufika Arusha by saa 3 usiku
Nashukuru mkuu...nasubiri tu hiyo ruhusa,mambo ya mbuzi katoliki haisumbui najua hapo ntapata na darasa jingine.Ngoja niombe kibali chake kisha nitakuelekeza, ila kwake kuna mbuzi katoliki pia na kuku wa kienyeji,kama unajali mambo ya mbuzi katoliki usiende.
Nashukuru mkuu...nasubiri tu hiyo ruhusa,mambo ya mbuzi katoliki haisumbui najua hapo ntapata na darasa jingine.
ok ngoja nifanyie kazi
Asante, nitafute week ijayo nitakuwa nimepata picha halisi.
Mkuu Malila sory kwanza nilichelewa sana kuona huu uzi, ndo nimeuona leo, Hongera sana kwa Tour yako na ndo kinacho takiwa, Kwa upande wangu hakuna shida but nilitaka kujua Ratiba yako kwa sababu kwa sasa nafanya Realocation nahamisha shamba langu la kuku kutoka Karatu na kuja Arusha Kisongo kwa sababu kadhaa, Na ningekuja time ili nione kama nitakuwa nimekamilisha kufanya instalation za Hydroponic na Red worm ili uweze kucheki na hizo kwa ajili ya Samaki kwa sababu Hydropnic fodder inatumika pia kwa samaki na hii niliona live Kenya.
Kuhusu Kenya uniambie una pendelea nini kule kwa sababu Binafisi nina tour kama 5 huvi na nne zitakuwa Kenya na Moja Uganda, na zitakuwa ni kwenye ishu za Hydroponic, Red worm, Rabbit na Strowbery na uganda ni ishu ya Kuku, so ukiwa tiyari naweza fanya arangement hata tukaenda wote.
Mimi mara nyingi tour zangu za Kenya huwa ni za One day yaani Go n return kwamba naondoka Arusha saa 11 asubuhi na naingia Nairobi saa 4 natembelea wadau na saa 10 nageuza kurudi Arusha na by saa moja au sa mbili usiku nakuwa zangu Arusha na hii ni kwa ajiri ya kupunguza cost na kama unavyo jua kwa sas NAIROBIU ndo jiji ghari kabisa barani Africa limeipiku Lagos Nigeria.
Kwa Kenya kuna mambo mengi unaweza jifunza hasa kwenye ishu za Samaki, Ng'ombe, Mbuzi, kondoo wa kisasa, na kazalika,
Malila na Chasha,
Nawaomba mtakapokuwa mnaenda kwenye tour ya Ng'ombe huko Kenya mnijumuishe nami, nipo katika ufugaji wa ng'ombe wa maziwa katika small scale ila ninahamu sana ya kujitanua kwa kuanza kufuga ng'ombe kwa ajili ya nyama pia ili at least nifikie malengo ya kuuza ng'ombe kumi kila mwezi. Chonde chonde msiniache nyuma
Labda shamba darasa la Miembe pale Mkuranga, hili la parachichi Kiwira, shemeji atakupa ruhusa kweli?
Nauliza kigamboni kunafaa kwa maembe?
Shasta na malila na engine minijibu kuhusu Hydroponic stuff