Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Hii ukisimama madhabahuni umejaa nguvu za Mungu a.k.a upako ni tamu kama nini😂hii zaburi iishi sana.. kuna sehemu niliwasomea ndugu wajumbe, aisee kama hongera na sifa zingekuwa zinageuka kuwa pesa, basi ile siku ningetajirika.