Suala la Academic International School kudai ada ya muhula wakati huu halikubaliki, Serikali tunaomba muingilie kati

Suala la Academic International School kudai ada ya muhula wakati huu halikubaliki, Serikali tunaomba muingilie kati

Mleta uzi ni mpumbavu sana

Shule za kata si zipo na ada ni elfu ishirini yaani bei ya bia 10 tu

Peleka mtoto huko shule ya kata

Unafahamu Capitalist economy wewe?

Tanzania uchumi hauodhiwi na serikali ndio maana kuna sekta binafsi upo?

Unajifanya tajiri kumbe maskini wa kutupwa, Peleka mtoto shule ya kata
GUSSIE hiyo ada ya elfu ishirini iliishia 2015. Kuanzia mwaka 2016 elimu ya msingi na O-Level ni BURE!!!!!!!!!!
 
Mleta uzi ni mpumbavu sana

Shule za kata si zipo na ada ni elfu ishirini yaani bei ya bia 10 tu

Peleka mtoto huko shule ya kata

Unafahamu Capitalist economy wewe?

Tanzania uchumi hauodhiwi na serikali ndio maana kuna sekta binafsi upo?

Unajifanya tajiri kumbe maskini wa kutupwa, Peleka mtoto shule ya kata
PUMBA
 
Una kataa kulipa ada hao waalimu wana familia pia, wazazi, watoto nk wale nini? Tufikirie mara mbili juu kwenye kila jambo
 
Hujatumia busara mkuu, kumbuka hiyo shule ni biashara ya mtu. Na biashara kipindi hiki zimepata pigo kubwa, na ukumbuke pia wanahitaji nao kulipa mishahara.

Kumbuka, IF YOU ASK THE PRICE, YOU CAN NOT AFFORD IT

Wewe hizo shule sio class yako

Kufanya biashara maana yake sio kumdai mtu bila kumpa huduma boss. Huo ni wizi kama wizi mwingine.
 
Hujatumia busara mkuu, kumbuka hiyo shule ni biashara ya mtu. Na biashara kipindi hiki zimepata pigo kubwa, na ukumbuke pia wanahitaji nao kulipa mishahara.

Kumbuka, IF YOU ASK THE PRICE, YOU CAN NOT AFFORD IT

Wewe hizo shule sio class yako

"YOU ASK THE PRICE, YOU CAN NOT AFFORD IT"

Misemo ya motivational speakers hio pale wanapotaka kumpiga mtu.
 
Elimu mliyosomea shule ina msaada gani?

Uchumi wa nchi kama Tanzania sio wa kijamaa tena

Mwinyi aliporuhusu watu kumiliki mali binafsi ndio ilikuwa mwisho wa ujamaa

Sasa wewe unataka serikali iwapangie ada shule binafsi?

Kama huna pesa kuna shule za kata mpaka za watu kukaa kwenye mawe

Mbona ni serikali hio hio ilipanga bei ya korosho mpk ikabuma?
 
Naoana imeanza huku ...na wenye nyumba watataka kodi wakati mambo hayaendi, wafanyakazi wa private wakishindwa kulipwa ..itakua ni shida kwa sababu kama ninyi mnagoma kulipa ada mnafikiri ao walimu watalipwa nini, kodi zao nyumbani walipeje ? Nyie kama mnaela lipeni watoto waendelee kusoma whatsapp.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini mleta mada unachekesha,mkataba ni kulipa ada kwa tem mbili kwa mwaka.Sasa hii term haijaisha lazima ulipe ada ya watu.June lazima siku zitafiidiwa je hilo haujiulizi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom