Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
GUSSIE hiyo ada ya elfu ishirini iliishia 2015. Kuanzia mwaka 2016 elimu ya msingi na O-Level ni BURE!!!!!!!!!!Mleta uzi ni mpumbavu sana
Shule za kata si zipo na ada ni elfu ishirini yaani bei ya bia 10 tu
Peleka mtoto huko shule ya kata
Unafahamu Capitalist economy wewe?
Tanzania uchumi hauodhiwi na serikali ndio maana kuna sekta binafsi upo?
Unajifanya tajiri kumbe maskini wa kutupwa, Peleka mtoto shule ya kata