uujn
JF-Expert Member
- Mar 24, 2019
- 666
- 851
Wangetoa mambo mengine kama chakula ibaki ada tu isingekuwa tatizo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumekua wakali mno wanakayumba[emoji23][emoji23][emoji23]Mtoa mada jiandae kushambuliwa na wazazi wenye watoto huko Kayumba.
Kwa hiyo walimu wasilipwe?Kufanya biashara maana yake sio kumdai mtu bila kumpa huduma boss. Huo ni wizi kama wizi mwingine.
Tumekua wakali mno wanakayumba[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kweli ila kwa wafanyakazi wao nao wapunguziwe mishahara? Nadhani wazazi walipe full ada tu.Hapo ni kweli wanawaumiza lakini kwa upande wa pili pia na wao wanaumia maana wafanyakazi wao wana mikataba ambayo wanawalipa mishahara ambayo ni full hata kama wapo nyumbani kipindi hichi.
Na chanzo cha mapato ya shule ili iweze kuwalipa hao wafanyakazi ambao wana mikataba ni ada za wanafunzi.
Sema kinachotakiwa ni kupunguza hizo ada ili wao wasiumie sana na nyinyi msiumie sana.
Kwenye janga hili la corona kuna watu wengi wataumia.
Sent from my iPhone using JamiiForums
itafute namna?namna ipi,hembu weka hiyo namna hapaSidhani kama ni sahihi kulipa ada kipindi hiki ambacho wanafunzi hawasomi,shule itafute namna ya kujiendesha,unalipaje ada wakati huna uhakika watoto wanarudi lini shuleni
Hii si sahihi, ni wazi kuwa ipo siku shule zitafunguliwa tu. Wazazi walipe ada ili mambo mengine kwa watumishi wa hizo shule yaendelee. Uongozi wa shule utafidia tu!!Sidhani kama ni sahihi kulipa ada kipindi hiki ambacho wanafunzi hawasomi,shule itafute namna ya kujiendesha,unalipaje ada wakati huna uhakika watoto wanarudi lini shuleni
Bora umpe mtaji auze bangiHaya mliyataka wenyewe. Elimu kayumba primary ni bure.
Unasomesha mtoto international, unampeleka China kusomea udaktari kisha anakuja kusubiri ajira za serikali za laki 8 mshahara kwa mwezi.
Hio ni kazi ya shule kuumiza kichwa,labda kwa ushauri ;kama wana mikopo waombe benki zisitishe makato kwa muda,watumie akiba ya shule kujiendesha,kama ni kodi waiombe serikali isitishe kwa muda,kama shule ina miradi mbadala ndio muda wa kuitumia nk nkitafute namna?namna ipi,hembu weka hiyo namna hapa
Mh Waziri wa Elimu na Serikali tunaomba muingilie kati hili linaloendelea katika hii shule ya Academic International School ya hapo Dsm kwani wanawalazimisha Wazazi kulipa Ada ya term nzima wakati huu ambao tupo kwenye janga la Corona, shule zote zimefungwa na haijulikani ni lini hali itarudi kuwa ya kawaida pale shule zitakapofunguliwa rasmi.
Ipo hivi, mara baada ya Serikali kuzifunga shule zote kutokana na janga la corona, shule hii kama zilivyo nyingine nyingi, imekuwa ikiwatumia wanafunzi wake assignments/maswali mbalimbali kupitia walimu wa masomo kama sehemu ya kuwa keep watoto busy hasa kipindi hiki ambacho wapo nyumbani.
Hili ni jambo jema na Wazazi hawakatai kwamba kwenye hili kuna gharama za hapa na pale ambazo Shule na walimu wamekuwa wakiingia ili kulifanikisha hili la kuwasaidia watoto kipindi hiki wakiwa nyumbani. Lakini hili la kuwaambia Wazazi walipe ADA/TUITION FEES ya muhula mzima HALIKUBALIKI kwani watoto wapo nyumbani na hawapati zile class sessions za masomo yote kama wanapokuwa shuleni full time. Hakuna chochote kipya cha kwenye masomo ambacho wanakipata hivi sasa zaidi ya Walimu kuwatumia assignments/maswali ili kuwa keep busy kipindi hiki ambacho wapo nyumbani.
Shule walau ingesema Wazazi wanapaswa kulipa kiasi fulani cha Ada/percent fulani ya Ada ili kusaidia hili ambalo linafanywa na walimu hivi sasa la kuwasaidia wanafunzi wakiwa nyumbani lakini sio kulipa Ada kamili.
Tunaomba sana Serikali kupitia Waziri wa Elimu Prof Joyce Ndalichako kulimulika hili.Vyombo vya kiuchunguzi vya serikali viliangalie hili linalofanywa na hii Academic Internationl School la kudai Ada kwa Wazazi wenye watoto kwani hii sio HAKI kabisa.
View attachment 1420400
View attachment 1420395View attachment 1420396
Kwa nini ya vyumbani unayaleta sebuleni?Mh Waziri wa Elimu na Serikali tunaomba muingilie kati hili linaloendelea katika hii shule ya Academic International School ya hapo Dsm kwani wanawalazimisha Wazazi kulipa Ada ya term nzima wakati huu ambao tupo kwenye janga la Corona, shule zote zimefungwa na haijulikani ni lini hali itarudi kuwa ya kawaida pale shule zitakapofunguliwa rasmi.
Ipo hivi, mara baada ya Serikali kuzifunga shule zote kutokana na janga la corona, shule hii kama zilivyo nyingine nyingi, imekuwa ikiwatumia wanafunzi wake assignments/maswali mbalimbali kupitia walimu wa masomo kama sehemu ya kuwa keep watoto busy hasa kipindi hiki ambacho wapo nyumbani.
Hili ni jambo jema na Wazazi hawakatai kwamba kwenye hili kuna gharama za hapa na pale ambazo Shule na walimu wamekuwa wakiingia ili kulifanikisha hili la kuwasaidia watoto kipindi hiki wakiwa nyumbani. Lakini hili la kuwaambia Wazazi walipe ADA/TUITION FEES ya muhula mzima HALIKUBALIKI kwani watoto wapo nyumbani na hawapati zile class sessions za masomo yote kama wanapokuwa shuleni full time. Hakuna chochote kipya cha kwenye masomo ambacho wanakipata hivi sasa zaidi ya Walimu kuwatumia assignments/maswali ili kuwa keep busy kipindi hiki ambacho wapo nyumbani.
Shule walau ingesema Wazazi wanapaswa kulipa kiasi fulani cha Ada/percent fulani ya Ada ili kusaidia hili ambalo linafanywa na walimu hivi sasa la kuwasaidia wanafunzi wakiwa nyumbani lakini sio kulipa Ada kamili.
Tunaomba sana Serikali kupitia Waziri wa Elimu Prof Joyce Ndalichako kulimulika hili.Vyombo vya kiuchunguzi vya serikali viliangalie hili linalofanywa na hii Academic Internationl School la kudai Ada kwa Wazazi wenye watoto kwani hii sio HAKI kabisa.
View attachment 1420400
View attachment 1420395View attachment 1420396
Serikali imefunga shule kwa muda usiojulikana,sasa utaendelea kulipa ada mpaka chanjo ipatikane?Hii si sahihi, ni wazi kuwa ipo siku shule zitafunguliwa tu. Wazazi walipe ada ili mambo mengine kwa watumishi wa hizo shule yaendelee. Uongozi wa shule utafidia tu!!