Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
GUSSIE hiyo ada ya elfu ishirini iliishia 2015. Kuanzia mwaka 2016 elimu ya msingi na O-Level ni BURE!!!!!!!!!!Mleta uzi ni mpumbavu sana
Shule za kata si zipo na ada ni elfu ishirini yaani bei ya bia 10 tu
Peleka mtoto huko shule ya kata
Unafahamu Capitalist economy wewe?
Tanzania uchumi hauodhiwi na serikali ndio maana kuna sekta binafsi upo?
Unajifanya tajiri kumbe maskini wa kutupwa, Peleka mtoto shule ya kata
PUMBAHaya mliyataka wenyewe. Elimu kayumba primary ni bure.
Unasomesha mtoto international, unampeleka China kusomea udaktari kisha anakuja kusubiri ajira za serikali za laki 8 mshahara kwa mwezi.
PUMBAMleta uzi ni mpumbavu sana
Shule za kata si zipo na ada ni elfu ishirini yaani bei ya bia 10 tu
Peleka mtoto huko shule ya kata
Unafahamu Capitalist economy wewe?
Tanzania uchumi hauodhiwi na serikali ndio maana kuna sekta binafsi upo?
Unajifanya tajiri kumbe maskini wa kutupwa, Peleka mtoto shule ya kata
Haya mliyataka wenyewe. Elimu kayumba primary ni bure.
Unasomesha mtoto international, unampeleka China kusomea udaktari kisha anakuja kusubiri ajira za serikali za laki 8 mshahara kwa mwezi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] WalaiPoleni sana mkuu, ili wizara tuweze kulifuatilia hebu tafadhali tupe taarifa zaidi.
Ada kwa mwaka ni kiasi gani mnalipa??
Hujatumia busara mkuu, kumbuka hiyo shule ni biashara ya mtu. Na biashara kipindi hiki zimepata pigo kubwa, na ukumbuke pia wanahitaji nao kulipa mishahara.
Kumbuka, IF YOU ASK THE PRICE, YOU CAN NOT AFFORD IT
Wewe hizo shule sio class yako
Hebu tulia hukoooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Walai
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujatumia busara mkuu, kumbuka hiyo shule ni biashara ya mtu. Na biashara kipindi hiki zimepata pigo kubwa, na ukumbuke pia wanahitaji nao kulipa mishahara.
Kumbuka, IF YOU ASK THE PRICE, YOU CAN NOT AFFORD IT
Wewe hizo shule sio class yako
Elimu mliyosomea shule ina msaada gani?
Uchumi wa nchi kama Tanzania sio wa kijamaa tena
Mwinyi aliporuhusu watu kumiliki mali binafsi ndio ilikuwa mwisho wa ujamaa
Sasa wewe unataka serikali iwapangie ada shule binafsi?
Kama huna pesa kuna shule za kata mpaka za watu kukaa kwenye mawe
Afadhali ndugu Waziri wa Elimu umejitokeza.Poleni sana mkuu, ili wizara tuweze kulifuatilia hebu tafadhali tupe taarifa zaidi.
Ada kwa mwaka ni kiasi gani mnalipa??
Kwa mda wa mwezi mmoja Corona imeua watu wa nne tu nchi nzima wakati kwa mda wa dk 1 tu, dala dala imeua watu 21 huko Mkuranga.. Ni ujinga mtupu kuiogopa Corona.Lakini pia kuna shule zimesitisha mishahara kwa wanafanyakazi wake...Yaani hata mshahara wa mwezi March hawajalipwa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo kumsikiliza. Ila tu mimi ni mkurugenzi kitengo flani hivi nisingependa kukitaja na wala sio waziri