gabjhn
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 465
- 816
Kuna wanaoponda sana mara ni upumbavu kupeleka mtoto shule za binafsi hili mara lile unaweza ukawa uwezo wako wa kifikiri na kupambanua mambo ndo umefikia ukomo hapo. Hebu tujiulize wenye kuwaza hivyo je shule binafsi zinachukua idadi ya wanafunzi kiasi gani kwa nchi nzima ndo tuone kama bado serikali inaweza kuwaaccomodate hao wanafunzi wote. Hivi tumeshajiuliza kwanini hata serikali inaweka mwongozo kwa kima cha chini kwa sekta binafsi?
Mzazi anapoamua na kumpeleka mtoto shule binafsi haimaanishi kuwa ana pesa za kumwaga wengi humu tunajfahamu matokeo ya shule nyingi hasa hizi za kata kwa mantiki kwamba mzazi ambaye ameona umuhimu wa kujinyima ampeleke mwanae shule za binafsi anakubaliana na sharti la kuumizwa na wenye hizi shule.
Kwa baadhi ya members wamemuwakia mtoa mada kama vile sijui kajimwambafai vile.
Humu ndani kuna zaidi ya threads mbili zinazungumzia baadhi ya watamzania kufurahia amguko au mtu mwimgine hasa mwenye mafanikio haijalishi ni makubwa kiasi gani ila mzazi katoa lalamiko just from no where unaanza kumwita mpumbavu. Unafaidika nini ikiwa wanao wanasoma shule za kata tulia tu hiko ni jambo la kawaida . Hakuna jamii isiyo na watu wa daraja la juu kati na chini. Kubaliane tu na hali yako haisaidii kumtolea mwenzio pofu mtu hata kumfahamu humfahamu. Nawaza nimewakwaza ila ndo hivyo. Social stratification haikosekani ktk jamii yoyote ulimwenguni ila haimaanishi uadui.
Mzazi anapoamua na kumpeleka mtoto shule binafsi haimaanishi kuwa ana pesa za kumwaga wengi humu tunajfahamu matokeo ya shule nyingi hasa hizi za kata kwa mantiki kwamba mzazi ambaye ameona umuhimu wa kujinyima ampeleke mwanae shule za binafsi anakubaliana na sharti la kuumizwa na wenye hizi shule.
Kwa baadhi ya members wamemuwakia mtoa mada kama vile sijui kajimwambafai vile.
Humu ndani kuna zaidi ya threads mbili zinazungumzia baadhi ya watamzania kufurahia amguko au mtu mwimgine hasa mwenye mafanikio haijalishi ni makubwa kiasi gani ila mzazi katoa lalamiko just from no where unaanza kumwita mpumbavu. Unafaidika nini ikiwa wanao wanasoma shule za kata tulia tu hiko ni jambo la kawaida . Hakuna jamii isiyo na watu wa daraja la juu kati na chini. Kubaliane tu na hali yako haisaidii kumtolea mwenzio pofu mtu hata kumfahamu humfahamu. Nawaza nimewakwaza ila ndo hivyo. Social stratification haikosekani ktk jamii yoyote ulimwenguni ila haimaanishi uadui.