Uchaguzi 2020 Suala la ajira ndio litamuondoa Rais Magufuli madarakani hasa vijana ambao ndio wengi

Uchaguzi 2020 Suala la ajira ndio litamuondoa Rais Magufuli madarakani hasa vijana ambao ndio wengi

umusuntiwawe

Member
Joined
Jul 9, 2020
Posts
52
Reaction score
125
Huyu jamaa swala la ajira ameliona lakawaida sana bora ajenge barabara, madaraja na flyover na kununua wapinzani tu. Mwenzake jk swala la ajira alilikumbatia sana kiasi ambacho kila mwaka walimu wote waliajiliwa labda ukatae mwenyewe ajira. Madaktari nao wanasugua benchi kitaa.

Ikumbukwe kwamba anajinasibu na Rais wa wanyonge wakati wanyonge ndio hawa. Vijana wanafurika mtaani hawaijui kesho yao halafu hawa wana wazazi na ndugu wanaowategemea na wameuza mashamba na rasilimali zote ili kuwasomesha. Hata ajira zinatoka sasa hivi ni za kujitolea tu mfano manispaa ya temeke walimu wanajitolea ipmplying kwamba walimu hawatoshi kabisa ila ajira siyo kipaumbele cha bwana mkubwa yeye anatafuta international pride tu.

Hata sector binafsi inapumulia mashine ambapo ndio iliajiri sana pia kipindi cha JK. Mtu alikuwa anakataa ajira ya serikali akijua atapata ajira private sector and it was easy. Vijana mkimpigia Rais Magufuli kura mtakuwa hamna akiri na kwa sababu hiyo sidhani kama Rais Magufuli atapita kihalali labda aibe.

Vijana wamechachamaa haswa liwalo na liwe.
 
Huyu jamaa swala la ajira ameliona lakawaida sana bora ajenge barabara, madaraja na flyover na kununua wapinzani tu. Mwenzake jk swala la ajira alilikumbatia sana kiasi ambacho kila mwaka walimu wote waliajiliwa labda ukatae mwenyewe ajira. Madaktari nao wanasugua benchi kitaa.

Ikumbukwe kwamba anajinasibu na Rais wa wanyonge wakati wanyonge ndio hawa. Vijana wanafurika mtaani hawaijui kesho yao halafu hawa wana wazazi na ndugu wanaowategemea na wameuza mashamba na rasilimali zote ili kuwasomesha. Hata ajira zinatoka sasa hivi ni za kujitolea tu mfano manispaa ya temeke walimu wanajitolea ipmplying kwamba walimu hawatoshi kabisa ila ajira siyo kipaumbele cha bwana mkubwa yeye anatafuta international pride tu.

Hata sector binafsi inapumulia mashine ambapo ndio iliajiri sana pia kipindi cha JK. Mtu alikuwa anakataa ajira ya serikali akijua atapata ajira private sector and it was easy. Vijana mkimpigia Rais Magufuli kura mtakuwa hamna akiri na kwa sababu hiyo sidhani kama Rais Magufuli atapita kihalali labda aibe.

Vijana wamechachamaa haswa liwalo na liwe.
Simpigii kura yangu mwana wa kijani yeyote kama mbwai mbwai tu
 
Huyu jamaa swala la ajira ameliona lakawaida sana bora ajenge barabara, madaraja na flyover na kununua wapinzani tu. Mwenzake jk swala la ajira alilikumbatia sana kiasi ambacho kila mwaka walimu wote waliajiliwa labda ukatae mwenyewe ajira. Madaktari nao wanasugua benchi kitaa.

Ikumbukwe kwamba anajinasibu na Rais wa wanyonge wakati wanyonge ndio hawa. Vijana wanafurika mtaani hawaijui kesho yao halafu hawa wana wazazi na ndugu wanaowategemea na wameuza mashamba na rasilimali zote ili kuwasomesha. Hata ajira zinatoka sasa hivi ni za kujitolea tu mfano manispaa ya temeke walimu wanajitolea ipmplying kwamba walimu hawatoshi kabisa ila ajira siyo kipaumbele cha bwana mkubwa yeye anatafuta international pride tu.

Hata sector binafsi inapumulia mashine ambapo ndio iliajiri sana pia kipindi cha JK. Mtu alikuwa anakataa ajira ya serikali akijua atapata ajira private sector and it was easy. Vijana mkimpigia Rais Magufuli kura mtakuwa hamna akiri na kwa sababu hiyo sidhani kama Rais Magufuli atapita kihalali labda aibe.

Vijana wamechachamaa haswa liwalo na liwe.
Na ATAKE ASITAKE 2025 Tutamuongezea muda tu.
 
Hahaha alisema inategemea ameamkaje siku hiyo, anaweza akawateua vijana wote wasiokuwa na ajira wakawa ma naibu wakuu wa wilaya na mikoa, akawa ame solve tatizo lako kwa siku hiyo moja.

Kuna wizara kuna manaibu wawili, anaweza ongeza wakawa 10 kila wizara au 100, yule mkitaka hilo msifieni tu.

Mkimponda hakawii kufukuza hata wapiga kura, anafahamu mshindi ni anayetangazwa na tume ya uchaguzi, siyo anayeshinda uchaguzi.
 
Machinga, bodaboda na mama ntilie watampa maana amewafanya wasibughudhiwe kwenye biashara zao.
 
Changamoto ya ajira kwa vijana ni mtambuka na suluhisho yake haitegemei njia moja tu ya ajira serikalini au makampuni binafsi. Kwanza lipo tatizo la mitizamo ya vijana - mindset- kuhusu kupenda ajira rasmi hususani waliomaliza vyuo na elimu ya sekondari. Hivyo hushindwa kufanya ubunifu wa kujiingiza kwenye ajira ya kujitegemea au niseme kujiajiri. Pili kuna haja ya kuangalia upya na kwa kina kuhusu sylabus na progam za masomo ngazi mbalimbali za elimu ili ziakisi hali halisi ya mazingira ya nchi kwa kumtayarisha kijana kujiajiri pia. Mkazo uwe kwenye elimu ya ufundi,ujasiriamali,teknolojia,kilimo,uvuvi, ufugaji,viwanda vidogo,utaalam wa fani mbalimbali nk. Mikopo yenye riba nafuu,kuhamasisha vikundi vya uzalishaji nk.
Hata hivyo niseme kuwa si kwamba serikali haijfanya chochote kuhusu ajira kwa kipindi hiki - mnyongeni haki yake mpeni -miradi ya kitaifa ya kielelezo na mingineyo imeajri watanzania wengi na bado tuna vijana wengi wamejiajiri wenyewe i.e bodaboda. Changamoto ya ajira kwa vijana ni duniani kote. It is phenomenonal case. Wakati tukiwa kwenye uchumi wa kati changamoto hii itapungua sambamba na kuongzeka kwa viwanda,utalii, biashara.Huu ni mchakato na siyo suala la siku moja kuona impact yake.Muhimu kila mmoja alipo afanye kazi kwa bidii na maarifa.
 
Mimi nadhani Mheshimiwa angepewa muda maana yeye Ana stimulate ajira binafsi kwa kuanzisha miradi itakayo meza vijana wengi kwa mkupuo embu tulieni jamani hata ROMA haikujengwa MARA moja .Yeye pia ameanzisha program za elimu nje ya mfumo RASMI ZINAZOITWA INTERGRATED PROGRAM FOR OUT OF SCHOOL ADOLESCENTS (IPOSA) na inawafundisha vijana masomo ya ujasiriamali ,stadi za MAISHA ,ushoni ,uashi, UTENGENEZAJI WA BIDHAA ZA VIWANDANI,USEREMALA,UMEME na vifaa vipo.Kwa hiyo TAMISEMI inashirikiana kwa karibu na TAASISI YA ELIMU YA WATU Wazima.Na Mimi NDUGU YANGU anasoma na anapiga fedha ya sabuni balaa kwa sasa hivi kwenye janga hili.Naye Ni graduate.MSIONE NAANDIKA HIVI NAPENDA KUWA MKWELI TU.
 
Magufuli akimaliza kuongoza 2030 wananchi tutaangalia kama aendelee ama upumzike.
 
Back
Top Bottom