Uchaguzi 2020 Suala la ajira ndio litamuondoa Rais Magufuli madarakani hasa vijana ambao ndio wengi

Uchaguzi 2020 Suala la ajira ndio litamuondoa Rais Magufuli madarakani hasa vijana ambao ndio wengi

Labda ingekuwa vijana wa US. au hata vijana wa Kenya. Hawa waliolewa moshi wa koroboi wala usiwahesabie. Hawajitambui.
Nchi za mbele ajira ni haki ya vijana but Tanzania mnaambiwa chapeni kazi while kazi zenyewe hatoi
Nakuunga mkuu Uvivu+ ngono vyuoni + kutokujielewa
yaani bado sana,mtu anazeekea kwao ana miaka 30 anatafuta ajira!
Changamoto iliyopo saiv ni umuchknow sana! + ujuaji ndio maana wazee wenye busara zao bado wanazeekea huko makazini ilihali vijana kila kukicha vilio tuu
 
Shida ya vijana tunalalamika mitandaoni wakat hajajiandikisha, tangu vitambulisho ya taifa vitoke cha mpiga kura sijui kilipo.

Unategemea kwa nn asishinde kwa kishindo uchaguzi, ajira atoe kwa wote sio walimu na MD tuu, naaam kila sector kuna graduate wa kutosha
 
Huyu jamaa swala la ajira ameliona lakawaida sana bora ajenge barabara, madaraja na flyover na kununua wapinzani tu. Mwenzake jk swala la ajira alilikumbatia sana kiasi ambacho kila mwaka walimu wote waliajiliwa labda ukatae mwenyewe ajira. Madaktari nao wanasugua benchi kitaa.

Ikumbukwe kwamba anajinasibu na Rais wa wanyonge wakati wanyonge ndio hawa. Vijana wanafurika mtaani hawaijui kesho yao halafu hawa wana wazazi na ndugu wanaowategemea na wameuza mashamba na rasilimali zote ili kuwasomesha. Hata ajira zinatoka sasa hivi ni za kujitolea tu mfano manispaa ya temeke walimu wanajitolea ipmplying kwamba walimu hawatoshi kabisa ila ajira siyo kipaumbele cha bwana mkubwa yeye anatafuta international pride tu.

Hata sector binafsi inapumulia mashine ambapo ndio iliajiri sana pia kipindi cha JK. Mtu alikuwa anakataa ajira ya serikali akijua atapata ajira private sector and it was easy. Vijana mkimpigia Rais Magufuli kura mtakuwa hamna akiri na kwa sababu hiyo sidhani kama Rais Magufuli atapita kihalali labda aibe.

Vijana wamechachamaa haswa liwalo na liwe.
Kwa tume hii ya uchaguzi; Magufuli kidedea. Vijana walie tu!
 
Endeleeni kulalamikia ajira, mara 45 yrs hiyoo, huajiliki tena na kadegree kako. there is always a plan B kulalamika juu ya JIWE wakati hata kujiandikisha hamuendi ni upuuzi.
 
Huyu jamaa swala la ajira ameliona lakawaida sana bora ajenge barabara, madaraja na flyover na kununua wapinzani tu. Mwenzake jk swala la ajira alilikumbatia sana kiasi ambacho kila mwaka walimu wote waliajiliwa labda ukatae mwenyewe ajira. Madaktari nao wanasugua benchi kitaa.

Ikumbukwe kwamba anajinasibu na Rais wa wanyonge wakati wanyonge ndio hawa. Vijana wanafurika mtaani hawaijui kesho yao halafu hawa wana wazazi na ndugu wanaowategemea na wameuza mashamba na rasilimali zote ili kuwasomesha. Hata ajira zinatoka sasa hivi ni za kujitolea tu mfano manispaa ya temeke walimu wanajitolea ipmplying kwamba walimu hawatoshi kabisa ila ajira siyo kipaumbele cha bwana mkubwa yeye anatafuta international pride tu.

Hata sector binafsi inapumulia mashine ambapo ndio iliajiri sana pia kipindi cha JK. Mtu alikuwa anakataa ajira ya serikali akijua atapata ajira private sector and it was easy. Vijana mkimpigia Rais Magufuli kura mtakuwa hamna akiri na kwa sababu hiyo sidhani kama Rais Magufuli atapita kihalali labda aibe.

Vijana wamechachamaa haswa liwalo na liwe.

Ategemei kura Bali polisi,
Macomunist yote kwao maendeleo ya watu sio vipaumbele vyao,
Wanyonge ni mtaji wa wanasiasa wao ni rahisi kuwapropaganda,pia wanyonge ujisikia raha matajiri wakishughulikiwa kwa Imani unyonge wao umeletwa na matajiri kumbe sababu ya ujinga wao.
Wanyonge ndio wanaisoma haswaa wanapumulia
 
Changamoto ya ajira kwa vijana ni mtambuka na suluhisho yake haitegemei njia moja tu ya ajira serikalini au makampuni binafsi. Kwanza lipo tatizo la mitizamo ya vijana - mindset- kuhusu kupenda ajira rasmi hususani waliomaliza vyuo na elimu ya sekondari. Hivyo hushindwa kufanya ubunifu wa kujiingiza kwenye ajira ya kujitegemea au niseme kujiajiri. Pili kuna haja ya kuangalia upya na kwa kina kuhusu sylabus na progam za masomo ngazi mbalimbali za elimu ili ziakisi hali halisi ya mazingira ya nchi kwa kumtayarisha kijana kujiajiri pia. Mkazo uwe kwenye elimu ya ufundi,ujasiriamali,teknolojia,kilimo,uvuvi, ufugaji,viwanda vidogo,utaalam wa fani mbalimbali nk. Mikopo yenye riba nafuu,kuhamasisha vikundi vya uzalishaji nk.
Hata hivyo niseme kuwa si kwamba serikali haijfanya chochote kuhusu ajira kwa kipindi hiki - mnyongeni haki yake mpeni -miradi ya kitaifa ya kielelezo na mingineyo imeajri watanzania wengi na bado tuna vijana wengi wamejiajiri wenyewe i.e bodaboda. Changamoto ya ajira kwa vijana ni duniani kote. It is phenomenonal case. Wakati tukiwa kwenye uchumi wa kati changamoto hii itapungua sambamba na kuongzeka kwa viwanda,utalii, biashara.Huu ni mchakato na siyo suala la siku moja kuona impact yake.Muhimu kila mmoja alipo afanye kazi kwa bidii na maarifa.
Bodaboda na machinga Hakuna ajira pale wale awazalishi Bali wale ni madalali wa viwanda vya china kusaidia kuinua uchumi wa china na si tz, kupitia wao pesa zetu zinaenda China mamilioni ya madola.
Kama tungeboresha kilimo kingeinua viwanda tukaajiri vijana wote.
Hela tuliyowekeza kwenye mbadala mfano sgr,ndege, bwawa, dodoma zingetosha kumaliza tatizo la ajira nchini na zingesharudi Mara 4 zaidi ya hizo Kama zingewekezwa kwenye kilimo tu.
Kilimo ndio solution la tatizo la ajira nchini na ndio msingi wa maendeleo wa nchi yeyeto.
 
Heading tu nimecheka sana😀😀
Nchi hiihii ya ulimwengu wa tatu??
Yaani huyuhuyuu jiwe au mwingine😀
Kwamba sisi majobless hatutampigia kura ?? Unafikiri ccm wanategemea kura, wezi wale wameshazoea kuiba.
Kozi ya wizi wa kura hata mnangwaga alikuja jifunzia kwetu kabla ya uchaguzi
 
Muwe mnajifunza basi hata kuandika kiswahili akiri ndio kitu gani? by the way hata aje rais gani hawezi toa ajira kwa wahitimu wote kilichopo ni kuwa serikali ya sasa inatengeza mazingira ya raia wake kujiajiri ili kujenga uchumi wa kisasa. Hii miundombinu anayoitengeneza sasa JPM ndiyo itakayokuja kutengeza ajira nyingi sana siku za usoni tuombe uzima.
Rubbish takataka,
Mbona wakoloni walilimaliza tatizo la ajira ajira nchini
 
Tatizo la ajira kwa nchi nyingi za ki Afrika hususani Tanzania, ni corona ambayo hairipotiwi vifo vyake.

Wazazi wengi walishindwa kuweka misingi imara na mizuri kwa watoto wao kwa sababu na wao pia hili limewasulubu.

Leo hii mimi na wewe ni wazazi/watarajiwa ambao ugonjwa huu(ajira) pia unatutesa.

Swali la muhimu nini afanye Magufuli ili hata km atapita ili aweze ku solve hili! Hata huyo mrithi wake?
Maana ushauri wa humu pia unachukuliwa
Kilimo ndio key ya uchumi wowote duniani
 
Huyu jamaa swala la ajira ameliona lakawaida sana bora ajenge barabara, madaraja na flyover na kununua wapinzani tu. Mwenzake jk swala la ajira alilikumbatia sana kiasi ambacho kila mwaka walimu wote waliajiliwa labda ukatae mwenyewe ajira. Madaktari nao wanasugua benchi kitaa.

Ikumbukwe kwamba anajinasibu na Rais wa wanyonge wakati wanyonge ndio hawa. Vijana wanafurika mtaani hawaijui kesho yao halafu hawa wana wazazi na ndugu wanaowategemea na wameuza mashamba na rasilimali zote ili kuwasomesha. Hata ajira zinatoka sasa hivi ni za kujitolea tu mfano manispaa ya temeke walimu wanajitolea ipmplying kwamba walimu hawatoshi kabisa ila ajira siyo kipaumbele cha bwana mkubwa yeye anatafuta international pride tu.

Hata sector binafsi inapumulia mashine ambapo ndio iliajiri sana pia kipindi cha JK. Mtu alikuwa anakataa ajira ya serikali akijua atapata ajira private sector and it was easy. Vijana mkimpigia Rais Magufuli kura mtakuwa hamna akiri na kwa sababu hiyo sidhani kama Rais Magufuli atapita kihalali labda aibe.

Vijana wamechachamaa haswa liwalo na liwe.
Mambo mengi yanamuondoa madarakani huyo MTU FURANI.

-Swala la Nyongeza ya mishahara ni fimbo tosha tu.
-Kunyima wastaafu mafao kisa vyeti feki nayo ni fimbo
-Mtu wa visasi,kuwanyanya matajiri mf Manji,Lema Northern Eng
-Wizi eg 2.4T , Vivuko vibovu ,Kuminya ukubwa wa barabara na kupiga cha juu
-Yeye ndio Bunge , Yeye ndio CAG , Yeye ndio Mahakama,Yeye ni Mnunuzi wa serikali etc
 
Mambo mengi yanamuondoa madarakani huyo MTU FURANI.

-Swala la Nyongeza ya mishahara ni fimbo tosha tu.
-Kunyima wastahafu mafao kisa vyeti feki nayo ni fimbo
-Mtu wa visasi,kuwanyanya matajiri mf Manji,Lema Northern Eng
-Wizi eg 2.4T , Vivuko vibovu ,Kuminya ukubwa wa barabara na kupiga cha juu
-Yeye ndio Bunge , Yeye ndio CAG , Yeye ndio Mahakama,Yeye ni Mnunuzi wa serikali etc
Hivi atatoka kweli?? 😰😰 kijasho kitatutoka
 
Back
Top Bottom