Uchaguzi 2020 Suala la ajira ndio litamuondoa Rais Magufuli madarakani hasa vijana ambao ndio wengi

Uchaguzi 2020 Suala la ajira ndio litamuondoa Rais Magufuli madarakani hasa vijana ambao ndio wengi

Huyu jamaa swala la ajira ameliona lakawaida sana bora ajenge barabara, madaraja na flyover na kununua wapinzani tu. Mwenzake jk swala la ajira alilikumbatia sana kiasi ambacho kila mwaka walimu wote waliajiliwa labda ukatae mwenyewe ajira. Madaktari nao wanasugua benchi kitaa.

Ikumbukwe kwamba anajinasibu na Rais wa wanyonge wakati wanyonge ndio hawa. Vijana wanafurika mtaani hawaijui kesho yao halafu hawa wana wazazi na ndugu wanaowategemea na wameuza mashamba na rasilimali zote ili kuwasomesha. Hata ajira zinatoka sasa hivi ni za kujitolea tu mfano manispaa ya temeke walimu wanajitolea ipmplying kwamba walimu hawatoshi kabisa ila ajira siyo kipaumbele cha bwana mkubwa yeye anatafuta international pride tu.

Hata sector binafsi inapumulia mashine ambapo ndio iliajiri sana pia kipindi cha JK. Mtu alikuwa anakataa ajira ya serikali akijua atapata ajira private sector and it was easy. Vijana mkimpigia Rais Magufuli kura mtakuwa hamna akiri na kwa sababu hiyo sidhani kama Rais Magufuli atapita kihalali labda aibe.

Vijana wamechachamaa haswa liwalo na liwe.
Nani kakudangaya kuwa box la kura ndio litakaloamua?
 
Huyu jamaa swala la ajira ameliona lakawaida sana bora ajenge barabara, madaraja na flyover na kununua wapinzani tu. Mwenzake jk swala la ajira alilikumbatia sana kiasi ambacho kila mwaka walimu wote waliajiliwa labda ukatae mwenyewe ajira. Madaktari nao wanasugua benchi kitaa.

Ikumbukwe kwamba anajinasibu na Rais wa wanyonge wakati wanyonge ndio hawa. Vijana wanafurika mtaani hawaijui kesho yao halafu hawa wana wazazi na ndugu wanaowategemea na wameuza mashamba na rasilimali zote ili kuwasomesha. Hata ajira zinatoka sasa hivi ni za kujitolea tu mfano manispaa ya temeke walimu wanajitolea ipmplying kwamba walimu hawatoshi kabisa ila ajira siyo kipaumbele cha bwana mkubwa yeye anatafuta international pride tu.

Hata sector binafsi inapumulia mashine ambapo ndio iliajiri sana pia kipindi cha JK. Mtu alikuwa anakataa ajira ya serikali akijua atapata ajira private sector and it was easy. Vijana mkimpigia Rais Magufuli kura mtakuwa hamna akiri na kwa sababu hiyo sidhani kama Rais Magufuli atapita kihalali labda aibe.

Vijana wamechachamaa haswa liwalo na liwe.
Wagombea wengi wanasema wataondoa tatizo la ajira,lkn hawaelezi watafanyaje fanyaje kuondoa tatizo la ajira na je hilo tatizo wataliondoa kwa mda gani,manake kila mwaka kuna vijana wapya wanaingia mtaani.

Mimi huwa naona wote wanafanya siasa ambazo zimejaa maneno na kukosa uhalisia.
 
Ni mtaji mkubwa sana watu wasikuwa na ajira since 2015. Lakini kikubwa ni watumishi wanaokatwa na bodi ya mikopo kiwango kikubwa tofauti na mkataba uluvyokuwa awali.

Malawi wametuonyesha mfano ambao tutaiga. Rais magufuli lazima aondoke hata bila vyombo vya dola kukubali.
 
Huyu jamaa swala la ajira ameliona lakawaida sana bora ajenge barabara, madaraja na flyover na kununua wapinzani tu. Mwenzake jk swala la ajira alilikumbatia sana kiasi ambacho kila mwaka walimu wote waliajiliwa labda ukatae mwenyewe ajira. Madaktari nao wanasugua benchi kitaa.

Ikumbukwe kwamba anajinasibu na Rais wa wanyonge wakati wanyonge ndio hawa. Vijana wanafurika mtaani hawaijui kesho yao halafu hawa wana wazazi na ndugu wanaowategemea na wameuza mashamba na rasilimali zote ili kuwasomesha. Hata ajira zinatoka sasa hivi ni za kujitolea tu mfano manispaa ya temeke walimu wanajitolea ipmplying kwamba walimu hawatoshi kabisa ila ajira siyo kipaumbele cha bwana mkubwa yeye anatafuta international pride tu.

Hata sector binafsi inapumulia mashine ambapo ndio iliajiri sana pia kipindi cha JK. Mtu alikuwa anakataa ajira ya serikali akijua atapata ajira private sector and it was easy. Vijana mkimpigia Rais Magufuli kura mtakuwa hamna akiri na kwa sababu hiyo sidhani kama Rais Magufuli atapita kihalali labda aibe.

Vijana wamechachamaa haswa liwalo na liwe.
Bara bara amejenga ipi?
 
Sitawahi kupiga kura ktk maisha yangu yoteeeeh.
Aseee tupo pamoja katika hili na haitakaa itokee maisha mwangu...watu wa nchi za mwenzetu yaani kura kwao ndio tiketi ya kumchagua kiongozi bora mwenye kuwatumikia wananchi wake lakini sio hapa nchini mara box ya kura feki yanaletwa vituo kupitia polis mara mabox yale ya kura yanaibiwa,huku wasimamizi wamekosa viapo,vurugu mtindo mmoja ya nn nipige kura...
 
Hayati Mwalimu Nyerere alitufundisha:
1. MAHITAJI MUHIMU YA BINADAMU.
--Chakula
--Mavazi
--Mahala pa kulala.
2. MAADUI ZETU.
---Ujinga
---Maradhi
---Umaskini
Ili uweze kupata mahitaji yako muhimu ni lazima uwashinde maadui hawa watatu.
Pia alisema ili uweze kumsaidia maskini , somesha MTOTO wake , tena mpe elimu nzuri.
Wakati Mwalimu Nyerere anayatekeleza haya, aliyatekeleza kwa tija kubwa.
Yule aliyempa elimu ya msingi alihakikisha anakuwa na shughuli ya kufanya au ajira.
Hakika wale waliomaliza shule za Sekondari walipangiwa kazi au kuendelea na masomo ya juu mara baada ya matokeo ya mitihani yao.
Wale waliomaliza elimu za juu, kati na kawaida ajira ziliwafuata wakati bado wako chuoni.
Kumsomesha mtu bila kuwa na malengo mengine naye ni sawa na poor resource management au uwekezaji usio faa.
Pesa nyingi zinazotumika kuwasomesha vijana wetu bila kuwapa elimu nzuri zingetumika katika kuanzisha viwanda vidogo vodogo na kulima kilimo cha kisasa. Wale wachache wanaosomeshwa na kupewa elimu nzuri wawe na uhakika wa ajira
Unamsomesha MTOTO kwa pesa nyingi na baada ya hapo anarudi kuwa mzigo kwa wazazi wake.
Mtoto aliyesoma chuo kikuu huwezi kumwambia tena ashike jembe la mkono na kulima masaa nane.
Huwezi ukamwambia akachunge ng'ombe.
Tufike mahala tujaribu kuwekeza kwenye elimu yenye tija kwa manufaa mapana ya Taifa,
 
Vijana wote inatakiwa tuunde forum ya kuhamasishana watu tuko mtaani na hatueleweki kwa sababu ya MTU mmoja hii ni nchi yetusote,piga chini jiwe
 
Changamoto ya ajira kwa vijana ni mtambuka na suluhisho yake haitegemei njia moja tu ya ajira serikalini au makampuni binafsi. Kwanza lipo tatizo la mitizamo ya vijana - mindset- kuhusu kupenda ajira rasmi hususani waliomaliza vyuo na elimu ya sekondari. Hivyo hushindwa kufanya ubunifu wa kujiingiza kwenye ajira ya kujitegemea au niseme kujiajiri. Pili kuna haja ya kuangalia upya na kwa kina kuhusu sylabus na progam za masomo ngazi mbalimbali za elimu ili ziakisi hali halisi ya mazingira ya nchi kwa kumtayarisha kijana kujiajiri pia. Mkazo uwe kwenye elimu ya ufundi,ujasiriamali,teknolojia,kilimo,uvuvi, ufugaji,viwanda vidogo,utaalam wa fani mbalimbali nk. Mikopo yenye riba nafuu,kuhamasisha vikundi vya uzalishaji nk.
Hata hivyo niseme kuwa si kwamba serikali haijfanya chochote kuhusu ajira kwa kipindi hiki - mnyongeni haki yake mpeni -miradi ya kitaifa ya kielelezo na mingineyo imeajri watanzania wengi na bado tuna vijana wengi wamejiajiri wenyewe i.e bodaboda. Changamoto ya ajira kwa vijana ni duniani kote. It is phenomenonal case. Wakati tukiwa kwenye uchumi wa kati changamoto hii itapungua sambamba na kuongzeka kwa viwanda,utalii, biashara.Huu ni mchakato na siyo suala la siku moja kuona impact yake.Muhimu kila mmoja alipo afanye kazi kwa bidii na maarifa.
Bila kwanza kupiga chini sisiemu hizo zitabakia ndoto za alinacha
 
Hatuta mpigia kura Ila labda waibe tu. Mana haiwezekani engineer , mwalimu , Daktari yani five years tunachoma mahindi kitaa na ajira za temple nazo tunafukuzwa pamoja na kuwa na kubachelor.
 
Back
Top Bottom