Uchaguzi 2020 Suala la ajira ndio litamuondoa Rais Magufuli madarakani hasa vijana ambao ndio wengi

Uchaguzi 2020 Suala la ajira ndio litamuondoa Rais Magufuli madarakani hasa vijana ambao ndio wengi

Hahaha alisema inategemea ameamkaje siku hiyo, anaweza akawateua vijana wote wasiokuwa na ajira wakawa ma naibu wakuu wa wilaya na mikoa, akawa ame solve tatizo lako kwa siku hiyo moja.

Kuna wizara kuna manaibu wawili, anaweza ongeza wakawa 10 kila wizara au 100, yule mkitaka hilo msifieni tu.

Mkimponda hakawii kufukuza hata wapiga kura, anafahamu mshindi ni anayetangazwa na tume ya uchaguzi, siyo anayeshinda uchaguzi.
Hii tume ndo shida Mana huwa inatangaza viceversa. Ila mda mwingine . Ila mda mwingine unaweza chagua mwenyekiti wa tume hafu akatenda haki
 
Labda ingekuwa vijana wa US. au hata vijana wa Kenya. Hawa waliolewa moshi wa koroboi wala usiwahesabie. Hawajitambui.
Nchi za mbele ajira ni haki ya vijana but Tanzania mnaambiwa chapeni kazi while kazi zenyewe hatoi

hakuna nchi duniani hakuna tatizo la ajira, USA na ukubwa wake wa dollar ila serikali imepelekwa mahakamani kisa tatizo la ajira, kama ndo mmepanga kutumia hii kama gia nawapa tu pole maaana magufuli is here to stay
 
we hujui kitu kaa kimya! Mbona jk aliajiri na utawala huu msisitizo ni watu kujiajiri. Hii serikali ina manufaa gani sasa kwa vijana na watu wote kwa ujumla. Pili lina maisha huwa yanasimama ili kupisha miundombinu ijengwe kwanza! We hujitambui

ushafeli maisha mpaka apo, na kama una mtoto usije muambukiza huu upuuzi unaoongea apa wape watu wengine wakusaidie kumlea
 
Kipengele gani cha katiba au sheria gani inasema Raisi anawajibu wa kukutafutia kazi?

Kuzaa azae mama yako, kusoma usomeshwe na serikali, tena ikukopeshe pesa ya kujikimu shule, ukitoka shule tena serikali ikutafutie ajira. Mwishowe mtataka serikali iwaolee na kuwazalia.

Hivi wazazi wenu majukumuu yao ni kustarehe tu kukuzaa? Au raisi ndo alimdunga mimba mama yako?

Vijana mlioenda shule, mnazidiwa na akina Zuckerberg ambao hata shule hawakumaliza? Mnashindwa kutafsiri mliyokariri darasani kuwa nadharia?
Mnashindwa hata kuwa inspired na akina Kishimba, Laizer, etc walioshindwa hata kufika darasa la 7?

Kaazi kwelikweli.

hawa ndo upinzani wetu bana, kiukweli since hii cdm ya baada ya 2015 wamekua kichefu chefu aisee
 
Kujiajiri nako pia ni ajira sio lazima ile ya serikali tu vijana wengi wamejiajiri na wanaipenda CCM.
 
Kujiajiri nako pia ni ajira sio lazima ile ya serikali tu vijana wengi wamejiajiri na wanaipenda CCM.
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
John Pombe Joseph Magufuli
Atuongoze Tu
 
Nakuunga mkuu Uvivu+ ngono vyuoni + kutokujielewa
yaani bado sana,mtu anazeekea kwao ana miaka 30 anatafuta ajira!
Changamoto iliyopo saiv ni umuchknow sana! + ujuaji ndio maana wazee wenye busara zao bado wanazeekea huko makazini ilihali vijana kila kukicha vilio tuu
wachane
 
Five yrs hamna ajira umeshaiona wapi hii!
hakuna nchi duniani hakuna tatizo la ajira, USA na ukubwa wake wa dollar ila serikali imepelekwa mahakamani kisa tatizo la ajira, kama ndo mmepanga kutumia hii kama gia nawapa tu pole maaana magufuli is here to stay
 
Yaani nisote chuo mpaka namaliza nategemea kupata ajira ,miaka mitano inapita serikali haijajiri ,inasema imejenga reli ya kisasa, bwawa la umeme na imenunua ndege siwezi kuielewa kabisa.
 
kaka unaongelea vijana hawa hawa
ambao hata wao hawajui kua wao ni vijana?

bora ungeandika thrid ya michezo tujadili
 
Kadiri tatizo la ajiri linavyoendelea na vijana kuendelea kuongezeka litatokea tukio kama la Egypt "Arab uprising",watu wataingia mtaani watafanya wanachoweza na wengi wataona bora wafe kuliko kuteseka ndani ya nchi yao.

Muda si muda ujambazi utaongezeka vijana wa Jkt wengi wako mtaani na na maujaji na utapeli kama Nigeria utafanyika sana plus industry ya Adult movies ipo njiani kuwaka moto kwa kwenda mbele.
Mwisho wa udhalimu ni kifo
 
Back
Top Bottom