Suala la ardhi Zanzibar: Askofu Augustino Shayo apiga msumari wa moto mbele ya Rais Mwinyi

Suala la ardhi Zanzibar: Askofu Augustino Shayo apiga msumari wa moto mbele ya Rais Mwinyi

Mhashamu Askofu Augustino Shao wa Zanzibar ametimiza Jubilei ya miaka 25 katika utumishi wa kanisa la Roman Catholic huko Zanzibar.


Kwenye sherehe zilizohudhuliwa na wananchi mbalimbali wakiwemo viongozi wa kidini, askofu Shao kwenye salamu zake kwa Rais wa Zanzibar, amezungumzia mambo mbalimbali aliyokumbana nayo akiwa katika utumishi wa kanisa, moja au baadhi ni Usafirishaji haramu wa watu kwenda nje ya nchi na uhamiaji wanatumika kutoa pasipoti pasipo utaratibu.

Amesema watu wanasafirishwa nje kwa kuhadaiwa kazi nzuri lakini mbele wanabadilishiwa kile walicho aidiwa na kwenda kufuga nguruwe au kazi za hatari.

Kwa upande mwingine ameongelea kuhusu aridhi ambapo ni tatizo kubwa Zanzibar, yaani mkristo kupata aridhi ni haiwezekani, hasa ukifahamika kutoka bara kama yohana upewi.

"Siyo kila mkristo anakuja kujenga kanisa, kanisa halijengwi na familia bali na taasisi kama madhehebu, alisema askofu Shao.

Aliiomba Serikali ifikilie wanapopima viwanja waweke kipaumbele pia kwa mashirika na taasisi za kidini, sababu kanisa linatizama mbele na si kuwapa kiwanja size ya 20x20.

Aliongeza kuwa "katiba inatoa nafasi kwa raia kuwa na usawa,haiwezekani ukienda bara unachukua aridhi ila ukija zanzibar upewi, ifike mahari tuangalia usawa, ukipenda kula vya mwenzako na wewe kubali kuliwa vyako".
Haya majamaa tunayabeba kila kitu! Bili ya umeme tunayalipia hata tozo ya mafuta hayalipi! Ukraine haijaathiri uchumi wao hao wafalme.
Hangaya kutwa kuchwa anayajengea kwa kutumia kodi zetu
Tuyaanzilishie kwenye mali yanayomiliki huku tuone kama makuwadi wao hatatokelea!
 
Mimi siwezi kuchangia kwa sababu amesema ukweli kuwa Mtanganyika ukiwa Zanzibari hutambuliwa kama mgeni kutoka nje ya nchi (zamani ilikuwa ni lazima uwe na passport) ila mzenji akija Tanganyika anajulikana kuwa ni Mtanzania mwenzetu.

Ni mkweli kuwa wakristu Zanzibar huonekama kama ni mashetani ingawa siyo kwa wazi wazi sana, lakini swala la utanganyika na Uzanzibari liko wazi sana.

MKuu sasa tatizo liko wapi? Mzenj ni Mtanzania lakini mbara si Mzanzibari. Hizo taratibu zipo kwa mujibu wa muundo wa Muungano wetu
 
Vipi kuhusu mkristo kuwa rais Zanzibar? Yaani Tanganyika inaweza kuwa na rais mzanzibari ila Zanzibar kuwa na rais kutoka bara ni marufuku( strictly prohibited)

TAnganyik haipo mkuu, Ilishakufa toka 1964
 
Kinachonikera ni kuitusi dini ya kiislamu kwa ajili ya zanzibar basi.

Zanzibar sio dini,
Wanaofanya hayo ni wazanzibar na sio uislam,
Dini ni imani na wazanzibar ni binadamu tu,
Mimi mwenyewe nakerwa na wazanzibar kwenye vipengele vya ajira,n.k
Wabara wanatengwa sana kule ila wazanzibar huku wanaennoy maisha,
Kiufupi HAKUNA USAWA

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app

Wabara wanatengwa vipi mkuu? Asilimia 80% ya private sector Zanzibar waajiriwa ni Watanganyika.
 
Mimi naona kuwe na serikali moja ya tz na kuwe na majimbo yenye sheria zake turuhusu ku accommodate nchi zingine kama majimbo yaongozwe na magavana,sheria wajitungie wenyewe nsiyo tutawaweza wazanzibar,chukua Burundi Rwanda uganda n.k

Kenya ndio wakajitoa mapema kutoka East African Community , waliwajua watanganyika ni washenzi
 
Mhashamu Askofu Augustino Shao wa Zanzibar ametimiza Jubilei ya miaka 25 katika utumishi wa kanisa la Roman Catholic huko Zanzibar.


Kwenye sherehe zilizohudhuliwa na wananchi mbalimbali wakiwemo viongozi wa kidini, askofu Shao kwenye salamu zake kwa Rais wa Zanzibar, amezungumzia mambo mbalimbali aliyokumbana nayo akiwa katika utumishi wa kanisa, moja au baadhi ni Usafirishaji haramu wa watu kwenda nje ya nchi na uhamiaji wanatumika kutoa pasipoti pasipo utaratibu.

Amesema watu wanasafirishwa nje kwa kuhadaiwa kazi nzuri lakini mbele wanabadilishiwa kile walicho aidiwa na kwenda kufuga nguruwe au kazi za hatari.

Kwa upande mwingine ameongelea kuhusu aridhi ambapo ni tatizo kubwa Zanzibar, yaani mkristo kupata aridhi ni haiwezekani, hasa ukifahamika kutoka bara kama yohana upewi.

"Siyo kila mkristo anakuja kujenga kanisa, kanisa halijengwi na familia bali na taasisi kama madhehebu, alisema askofu Shao.

Aliiomba Serikali ifikilie wanapopima viwanja waweke kipaumbele pia kwa mashirika na taasisi za kidini, sababu kanisa linatizama mbele na si kuwapa kiwanja size ya 20x20.

Aliongeza kuwa "katiba inatoa nafasi kwa raia kuwa na usawa,haiwezekani ukienda bara unachukua aridhi ila ukija zanzibar upewi, ifike mahari tuangalia usawa, ukipenda kula vya mwenzako na wewe kubali kuliwa vyako".
Pamoja na zanzibar ni padogo. Wakazi wakristo wanabaguliwa kupata ardhi.
Ninavyojua raia mkazi zanzibar ni mtanzania yeyeto aliyeishi zanzibar mfululizo kwa miaka mitano. Huyu anakua na haki zote za raia mkazi wa zanzibar.
 
Mhashamu Askofu Augustino Shao wa Zanzibar ametimiza Jubilei ya miaka 25 katika utumishi wa kanisa la Roman Catholic huko Zanzibar.


Kwenye sherehe zilizohudhuliwa na wananchi mbalimbali wakiwemo viongozi wa kidini, askofu Shao kwenye salamu zake kwa Rais wa Zanzibar, amezungumzia mambo mbalimbali aliyokumbana nayo akiwa katika utumishi wa kanisa, moja au baadhi ni Usafirishaji haramu wa watu kwenda nje ya nchi na uhamiaji wanatumika kutoa pasipoti pasipo utaratibu.

Amesema watu wanasafirishwa nje kwa kuhadaiwa kazi nzuri lakini mbele wanabadilishiwa kile walicho aidiwa na kwenda kufuga nguruwe au kazi za hatari.

Kwa upande mwingine ameongelea kuhusu aridhi ambapo ni tatizo kubwa Zanzibar, yaani mkristo kupata aridhi ni haiwezekani, hasa ukifahamika kutoka bara kama yohana upewi.

"Siyo kila mkristo anakuja kujenga kanisa, kanisa halijengwi na familia bali na taasisi kama madhehebu, alisema askofu Shao.

Aliiomba Serikali ifikilie wanapopima viwanja waweke kipaumbele pia kwa mashirika na taasisi za kidini, sababu kanisa linatizama mbele na si kuwapa kiwanja size ya 20x20.

Aliongeza kuwa "katiba inatoa nafasi kwa raia kuwa na usawa,haiwezekani ukienda bara unachukua aridhi ila ukija zanzibar upewi, ifike mahari tuangalia usawa, ukipenda kula vya mwenzako na wewe kubali kuliwa vyako".
Kumbukumbu zangu zinaniambia kuwa kuna kiongozi wa dhehebu hili aliwahi kumwagiwa tindikali hapa zanzibar
 
Suala la ardhi ni jambo gumu na mtambuka haswa.....

Hivi Zanzibar kuna msikiti gani ambao umepewa mathalani heka 30 ?!!!

Tunajua ardhi ya Zanzibar ni ndogo sasa inakuwaje makanisa kupewa heka nyingi ambazo ndani yake kutakuwa na uzalishaji mali na mambo mengineyo?!!!

Kwani heka ngapi za ardhi zitakazotolewa zitaonekana kuwaridhisha?!!!!

#Siempre JMT🙏
Kwani wameshindwa kununua
 
Haya majamaa tunayabeba kila kitu! Bili ya umeme tunayalipia hata tozo ya mafuta hayalipi! Ukraine haijaathiri uchumi wao hao wafalme.
Hangaya kutwa kuchwa anayajengea kwa kutumia kodi zetu
Tuyaanzilishie kwenye mali yanayomiliki huku tuone kama makuwadi wao hatatokelea!

Mbona mlituuwa kwa maelfu ili kuleta hali hii , mnalalamika kitu gani na jeshi lenu limemwagwa kila mtaa huku kuna kambi kulinda hayo unayolalamika ??
 
Muungano unatuumiza sana watu wa Bara na kuwanifaisha Wazanzibar.

Kama mtarudisha roho za watu kwa maelfu mlizozitoa kwa kutuvamia labda hicho mnachofikiri tunafaidika tunaweza kuwapa wenyewe
 
Mkoloni wa bara au visiwani? Kama mkoloni alikuwa muingereza, mapinduzi ya zanzibar walimpindua nani na akiwa kama nani huko zanzibar?
Mkoloni wa visiwani,walipindua serikali ya Mohammed shamte,walikua na mfumo wa uingereza,sultani alikua Kama malikia,serikali mkuu wake Waziri mkuu shamte
 
Hii fimbo ya moto tutaanza kuwanyanganya ardhi huku bara.

Mnachelewa , anzeni dakika hii , pia msisahau kuchukuwa majeshi yenu na kijana wenu wa Mkuranga mliyempa uraisi kwa kuuwa watu naye mchukuweni
 
hii ndio sababu mojawapo inayonifanya nione kichefuchefu kwenye muungano...na nikikutana na mzanzibari nisiwe na moyo wa kushirikiana naye. mtaniwia radhi kwa kusema ukweli ulioko moyoni mwangu.

kwasababu hata kwa raia wa kawaida achana na institutions, ukienda dsm, kigamboni, kuna wazanzibar wanamiliki ardhi wapendavyo, ukienda mikoani kuna wazanzibar wananunua maeneo wapendavyo. ila sisi tukienda kule, ......., kingine, kuona dini zingine hazitakiwi, kuchapa viboko wakristo wasiofunga wanaokula wakati wa ramadhani....ni jambo ambalo kwa wazanzibar wote wanaona ni sahihi, ila mimi linanitia simanzi sana.

Kuna visiwa vinakodishwa , nendeni mkakodi mjenge makanisa huko mkiabudu hakuna wa kuwakataza
 
Back
Top Bottom