Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hakuna mdada wa bara ambaye ni mjinga wa kuolewa na nyie wavivu kazi kuzunguka kwenye mabao na uswahili swahili mwingiHaha mm siwez kumuoa hit n run tunaowana wenywe tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mdada wa bara ambaye ni mjinga wa kuolewa na nyie wavivu kazi kuzunguka kwenye mabao na uswahili swahili mwingiHaha mm siwez kumuoa hit n run tunaowana wenywe tu.
Hakuna mdada wa bara ambaye ni mjinga wa kuolewa na nyie wavivu kazi kuzunguka kwenye mabao na uswahili swahili mwingi
Mkuu, unajua ya kwamba mke wa raisi Mwinyi katokea Iringa ? ila sasa nenda wewe huko Zenji kajaribu kuoa uone mziki wakeHakuna mdada wa bara ambaye ni mjinga wa kuolewa na nyie wavivu kazi kuzunguka kwenye mabao na uswahili swahili mwingi
Usibangaize na kujitoa akili jibu suali .Kwanini atoke Zanzibar na wakati siyo nchi yenu? mbona mmejazana bungeni na kwenye uwaziri?
Sasa Mwinyi kwani anatokea wapi ?Mkuu, unajua ya kwamba mke wa raisi Mwinyi katokea Iringa ? ila sasa nenda wewe huko Zenji kajaribu kuoa uone mziki wake
Kwa namna hii itafika time wazanzibar wote wenye ardhi Tanganyika watanyanganywa hata iwe miaka 1000 maana maandishi yapi kuwa hakuna usawa katika kumiliki ardhi ukiwa Zanzibar mTanganyika! Zanzibar Ni nchi, Tanganyika Ni nchi, tukiungana, Basi bara wafaidi Zanzibar na Zanzibar wafaidi bara equallyMhashamu Askofu Augustino Shao wa Zanzibar ametimiza Jubilei ya miaka 25 katika utumishi wa kanisa la Roman Catholic huko Zanzibar.
Kwenye sherehe zilizohudhuliwa na wananchi mbalimbali wakiwemo viongozi wa kidini, askofu Shao kwenye salamu zake kwa Rais wa Zanzibar, amezungumzia mambo mbalimbali aliyokumbana nayo akiwa katika utumishi wa kanisa, moja au baadhi ni Usafirishaji haramu wa watu kwenda nje ya nchi na uhamiaji wanatumika kutoa pasipoti pasipo utaratibu.
Amesema watu wanasafirishwa nje kwa kuhadaiwa kazi nzuri lakini mbele wanabadilishiwa kile walicho aidiwa na kwenda kufuga nguruwe au kazi za hatari.
Kwa upande mwingine ameongelea kuhusu aridhi ambapo ni tatizo kubwa Zanzibar, yaani mkristo kupata aridhi ni haiwezekani, hasa ukifahamika kutoka bara kama yohana upewi.
"Siyo kila mkristo anakuja kujenga kanisa, kanisa halijengwi na familia bali na taasisi kama madhehebu, alisema askofu Shoo.
Aliiomba Serikali ifikilie wanapopima viwanja waweke kipaumbele pia kwa mashirika na taasisi za kidini, sababu kanisa linatizama mbele na si kuwapa kiwanja size ya 20x20.
Aliongeza kuwa "katiba inatoa nafasi kwa raia kuwa na usawa,haiwezekani ukienda bara unachukua aridhi ila ukija zanzibar upewi, ifike mahari tuangalia usawa, ukipenda kula vya mwenzako na wewe kubali kuliwa vyako".
Hawezi kutoka Zanzibar sababu hatuwezi kuuza usalama wa nchi yetuUsibangaize na kujitoa akili jibu suali .
(Hukupata uzoefu wa masuala na majibu kwenye kesi ya Mwenyekiti Mbowe) .
Jibu suali kama lilivyo ulizwa sio unajibu kwa kuuliza .
Nitasubiri sana jawabu.
Mwinyi ni mtu wa MkurangaMkuu, unajua ya kwamba mke wa raisi Mwinyi katokea Iringa ? ila sasa nenda wewe huko Zenji kajaribu kuoa uone mziki wake
Hawezi kutoka Zanzibar sababu hatuwezi kuuza usalama wa nchi yetu
Tokeni tumewachokaNauza kiwanja changu kipo goba huku bara hawanitaki [emoji30][emoji23]
PoaHv haujui kuwa wadada wa bara watukubali sna hasa rangi zetu na nywele wnatmn kuzaa watt wazur [emoji23][emoji23] btw am just kddng dnt tak it seriously na sina ubaguz n yyt we love eachothr
Tunatumia mipaka iliyowekwa na wakoloni so acha kutuletea historia za alinacha eti kigamboni ilikuwa zanzibar! Ko tuchore mipaka upya?Wapemba na wanzanzibar ndio wakaz wenyeji wa kigambon tangu 1780 kama vile wazaramo kwa dar mkolon akaja kugawa sehem ile kwa bara haya rais wao jumbe alikua na kiwanja cha urais tangu kale alichorith kutoka kwa babu yake na babu yake hapo ndio nyerere alipomuweka kizuizin kiukwel tunawaonea wanzanzibar sanaa kutokana na udogo wao na kuna kisima cha mafuta kimejulikana ila wanzanzibar wamegoma kuchimbwa mafuta na kuletwa bara na bara haitok kuchimba mafuta na kuuzwa kutokea zanzibar swala liko pending
Tokeni tumewachoka
Sipatamani maana hata chakula ni shida ndiyo maana mkija huku mnanenepa kama ng'ombe[emoji23][emoji23][emoji23] umefurah eeh! Me nakupenda sana na sitak muungano uvunjike tutaish pamoja jiran yangu. Twende zenj tukatembee wote.
Yaani mudy na yesu tamaduni zao ni zilezile,kanzu,kobazi,tende,kondoo,ngamia,farasi...hawakuwa wakivaa suti na mokasini,hayo ni mavazi ya nchi za baridiAhhhhh mbona mudi alikua anashindia tende jangwani huku kavaa mashuka na vipedo akiwalaghai kwa adithi za uongo ile ale tende zaidi.
Sipatamani maana hata chakula ni shida ndiyo maana mkija huku mnanenepa kama ng'ombe
wabara wanaotaka kumiliki ardhi Zanziba ni wezi ,mbona kama ardhi tanganyika ni kubwa sana imejaa wanyama mpaka raia wanafanana nao.Katika mambo ambayo wazanzibari hawapendi kabisa kusikia ni hilo la mbara kumiliki ardhi Zanzibar....
Hiyo kitu jamani ni kwamba haiwezekaniii tuambiane ukweli tuu..