Suala la ardhi Zanzibar: Askofu Augustino Shayo apiga msumari wa moto mbele ya Rais Mwinyi

Suala la ardhi Zanzibar: Askofu Augustino Shayo apiga msumari wa moto mbele ya Rais Mwinyi

Wapemba na wanzanzibar ndio wakaz wenyeji wa kigambon tangu 1780 kama vile wazaramo kwa dar mkolon akaja kugawa sehem ile kwa bara haya rais wao jumbe alikua na kiwanja cha urais tangu kale alichorith kutoka kwa babu yake na babu yake hapo ndio nyerere alipomuweka kizuizin kiukwel tunawaonea wanzanzibar sanaa kutokana na udogo wao na kuna kisima cha mafuta kimejulikana ila wanzanzibar wamegoma kuchimbwa mafuta na kuletwa bara na bara haitok kuchimba mafuta na kuuzwa kutokea zanzibar swala liko pending

Hilo swala la 1780 mimi na wewe hatukuwepo wala hatuna ushahidi wa hilo swala. hesabu za kawaida kama walikua ni wenyeji toka 1780 - 2022 ilitakiwa wawe wengi kigamboni lakini mambo ni kinyume. waendelee kula tende huko pemba na unguja huku bara ni kwetu sisi asijetokea mpuuzi hata mmoja kuleta hoja mfu kua baadhi ya sehemu za bara ni mali ya Zanzibar hilo swala halipo. Kuhusu kuchimba mafuta wakitaka wachimbe kwani bara tuna rasilimali mara milioni kuzidi huko visiwani na kubwa zaidi kwapamoja hatuna ujuzi wa kuchimba mafuta na wakileta upuuzi watakuta mafuta ni ya bara.
 
Watu wengine huwa mnawaza uporoto ama!!
Watu wanakataa ubaguzi halafu wew tena waingiza ubaguzi?!
Kwamba eneo la 20×20 halifai kwa kanisa labda wapewe wa msikiti!!? Waaheed wew ndo maana mnanyimwa hayo maeneo.
Unataka usawa huku wew waona eneo hilo kidogo ndo wapewe wa kujenga msikiti??
Ujinga ...
Kama wew ni mwanaume familiy ako ina mtihani.
Kinachokufanya upaniki ni nini hapo?soma maelezo ya taarifa,serikali inapopima viwanja taasisi za kidini zinapewa eneo la 20x20,ndio maana Askofu kasema hio ni ndogo kwa taasisi kama kanisa,ndio maana namimi nikarudia kwamba kwa kanisa haitoshi labda Msikiti,Sasa ulitaka Askofu azungumzie mahitaji ya Msikiti au ulitaka namimi nizungumizie mahitaji ya msikiti wakati siyajui.

Ndio maana nikasema "Labda" kwa msikiti inatosha maana ni serikali hiohio ndio imepanga hivyo na ikijua huko msikiti ndio ina inahitajika zaidi.
 
Zanzibar ilipata Uhuru 1963,kiongozi alikua Nani!?..nyinyi mmekuja kuua watu elf 13+..mnapaswa kwenda icc

Hamkupata uhuru na hampo huru bali tuliwakomboa kutoka kwene mikono ya yule shetani mshenzi na muovu sultan wa oman. Hizo damu 13+ ni waarabu hao tuliwapukutisha kwani Africa sio kwao yaani tuuzwe utumwani tuteswe tuhasiwe afu tuwaache hai kwanza ningekuepo kwene power wangepukutika wote.
 
Hao kobe wa maji chumvi dawa yao inachemka ipo siku watachezea kipigo na kufurushwa wakajazane huko upuuzini kwao maana wao kutwa ubaguzi afu huku wanachukua maeneo hovyo ila kwao chuki ubinafsi na ujinga wao hawataki utumie chao. Hawana umuhimu hao zaidi ya kutunyonya hata chakula sie ndio huwalisha.
Dah, hapa umevua mstari kidogo
 
Afadhali umeanza kujihami, mimi 60% ya post zangu huwa wanazifuta [emoji38][emoji38][emoji38]
Uwe unajaribu kuweka hisia pembeni kidogo, laiti tungelikuwa tunaandikka kwa hisia wngine post zetu zingekuwa hazisomwi na watoto (18+)
 
Wanaanzaje kukunyima mpaka mabinti zao? ingekuwa mimi hata kama wangeninyima ningefanya jambo wangenitafuta popote nilipo waniletee huyo binti yao wenyewe, labda waninyime ardhi isiyohamishika, lakini sio binti yao.
Wakutafute? Wakiona umewashinda wanakutupia jini
 
Hamkupata uhuru na hampo huru bali tuliwakomboa kutoka kwene mikono ya yule shetani mshenzi na muovu sultan wa oman. Hizo damu 13+ ni waarabu hao tuliwapukutisha kwani Africa sio kwao yaani tuuzwe utumwani tuteswe tuhasiwe afu tuwaache hai kwanza ningekuepo kwene power wangepukutika wote.

Hamkupata uhuru na hampo huru bali tuliwakomboa kutoka kwene mikono ya yule shetani mshenzi na muovu sultan wa oman. Hizo damu 13+ ni waarabu hao tuliwapukutisha kwani Africa sio kwao yaani tuuzwe utumwani tuteswe tuhasiwe afu tuwaache hai kwanza ningekuepo kwene power wangepukutika wote.
Nimeuliza Zanzibar ilipata Uhuru lini na kiongozi wake alikua Nani!?..hapakua na waarabu elf 13 wa kuua zanzibar...
 
Nimeuliza Zanzibar ilipata Uhuru lini na kiongozi wake alikua Nani!?..hapakua na waarabu elf 13 wa kuua zanzibar...

Lini ninyi mlipata uhuru kwanza na huo uhuru nani aliwapatia. Unaposema kua watu 13+ walikufa jibu langu huenda ni midoli na masalia ya wauza watu utumwani unaweza waita waarabu ndo walikufa
 
Lini ninyi mlipata uhuru kwanza na huo uhuru nani aliwapatia. Unaposema kua watu 13+ walikufa jibu langu huenda ni midoli na masalia ya wauza watu utumwani unaweza waita waarabu ndo walikufa
Kwani mkoloni wa Zanzibar alikua Nani!?..maana yangu mliua watu weusi
 
Hao kobe wa maji chumvi dawa yao inachemka ipo siku watachezea kipigo na kufurushwa wakajazane huko upuuzini kwao maana wao kutwa ubaguzi afu huku wanachukua maeneo hovyo ila kwao chuki ubinafsi na ujinga wao hawataki utumie chao. Hawana umuhimu hao zaidi ya kutunyonya hata chakula sie ndio huwalisha.
Ukweli simpendi mzanzibar yoyote nawachukia sn hawana faida kwetu
 
Kwani mkoloni wa Zanzibar alikua Nani!?..maana yangu mliua watu weusi

Mkoloni wenu ni yule sultan muovu na muuaji kutoka oman aliekua anawakata vidole na kuwachoma midomo na ndio maana alifurushwa kwa kipigo na hao midoli wenzake 13+ mnabahati sikuwa kwene madaraka hata hao weupe wasingekuepo leo hii maana wao ndo waeneza chuki na propaganda dhidi yetu huko mashambani kwenu.
 
Watu wengi wanaozungumzia ardhi ya Zenj,hawajawahi hata Kufika Zenj,wengine hata kwenda Zenj,hawajuhi unapita wapi,Idadi ya watu Zenj ni ndogo sana ukilinganisha na watu wa wilaya moja ya Dar,Zenj inaingia mara tatu kwenye mkoa wa Kagera.

Sasa kama unashindana na idadi hiyo ya watu,inabidi busara itumike kidogo,

Wapo wabara kibao wamejenga lodges na wengine majumba na wanamiliki ardhi sana tu
Taja hata wawili hao wabara wanaomiliki ardhi huko Zanzibar, Mwinyi alisema waziwazi kuwa anayeruhusiwa kumiliki ardhi ni mzanzibar pekee, sasa wewe unatudanganya nini? Askofu naye hajawahi kufika Zanzibar? shame on you
 
Kauli za the late Mtikila hazitasaulika! Ipo kauli moja aliyotoa kuwa,Nyerere aliiuza Tanganyika kwa Wapemba.
 
Mkoloni wenu ni yule sultan muovu na muuaji kutoka oman aliekua anawakata vidole na kuwachoma midomo na ndio maana alifurushwa kwa kipigo na hao midoli wenzake 13+ mnabahati sikuwa kwene madaraka hata hao weupe wasingekuepo leo hii maana wao ndo waeneza chuki na propaganda dhidi yetu huko mashambani kwenu.
Mkoloni alikua muingereza,kabla ya hapo mjerumani,elimu huna unaharisha harisha tu..hayo mapinduzi yenyewe na muungano ni muingereza na usa
 
Taja hata wawili hao wabara wanaomiliki ardhi huko Zanzibar, Mwinyi alisema waziwazi kuwa anayeruhusiwa kumiliki ardhi ni mzanzibar pekee, sasa wewe unatudanganya nini? Askofu naye hajawahi kufika Zanzibar? shame on you
Ukoo wa Isack Sepetu.
 
Back
Top Bottom