Cobrahypnosis
JF-Expert Member
- Jul 28, 2021
- 362
- 676
Wapemba na wanzanzibar ndio wakaz wenyeji wa kigambon tangu 1780 kama vile wazaramo kwa dar mkolon akaja kugawa sehem ile kwa bara haya rais wao jumbe alikua na kiwanja cha urais tangu kale alichorith kutoka kwa babu yake na babu yake hapo ndio nyerere alipomuweka kizuizin kiukwel tunawaonea wanzanzibar sanaa kutokana na udogo wao na kuna kisima cha mafuta kimejulikana ila wanzanzibar wamegoma kuchimbwa mafuta na kuletwa bara na bara haitok kuchimba mafuta na kuuzwa kutokea zanzibar swala liko pending
Hilo swala la 1780 mimi na wewe hatukuwepo wala hatuna ushahidi wa hilo swala. hesabu za kawaida kama walikua ni wenyeji toka 1780 - 2022 ilitakiwa wawe wengi kigamboni lakini mambo ni kinyume. waendelee kula tende huko pemba na unguja huku bara ni kwetu sisi asijetokea mpuuzi hata mmoja kuleta hoja mfu kua baadhi ya sehemu za bara ni mali ya Zanzibar hilo swala halipo. Kuhusu kuchimba mafuta wakitaka wachimbe kwani bara tuna rasilimali mara milioni kuzidi huko visiwani na kubwa zaidi kwapamoja hatuna ujuzi wa kuchimba mafuta na wakileta upuuzi watakuta mafuta ni ya bara.