Suala la ardhi Zanzibar: Askofu Augustino Shayo apiga msumari wa moto mbele ya Rais Mwinyi

Suala la ardhi Zanzibar: Askofu Augustino Shayo apiga msumari wa moto mbele ya Rais Mwinyi

hii ndio sababu mojawapo inayonifanya nione kichefuchefu kwenye muungano...na nikikutana na mzanzibari nisiwe na moyo wa kushirikiana naye. mtaniwia radhi kwa kusema ukweli ulioko moyoni mwangu.

kwasababu hata kwa raia wa kawaida achana na institutions, ukienda dsm, kigamboni, kuna wazanzibar wanamiliki ardhi wapendavyo, ukienda mikoani kuna wazanzibar wananunua maeneo wapendavyo. ila sisi tukienda kule, ......., kingine, kuona dini zingine hazitakiwi, kuchapa viboko wakristo wasiofunga wanaokula wakati wa ramadhani....ni jambo ambalo kwa wazanzibar wote wanaona ni sahihi, ila mimi linanitia simanzi sana.
Sasa ndugu kwani mtu ni lazima akuuzie kitu chake? Kama hataki kukuuzia unamlazimishaje akuuzie, na nyny wazanzibari wakija huko una shamba lako unauza akija mzanzibar usimuuzie
 
Iko siku nayo yaja atapatikana rais mwenye uchungu na Tanganyika haya yote yataisha
Hilo jambo lisahau abadani.
Tanganyika rais alipatikana Magufuli lakini suala la muungano ndo kwanza alililinda yeye pia.
Unajua tundulisu kilimpata nini bungeni walivokomalia suala la muungano??
 
Utamaduni upi mlio nao nyinyi labda kuvaa kobazi na vipedo na mashuka. Vita gani nyinyi mlipigana maana hata uhuru tuliwaletea maana sie ndo tulimfurusha yule sultani wenu.
Unazungumza utoto sasa wew baba.
Kwamba uhuru ulifanyaje???
Yale yaleeee ya idi amini dada alikuwa anakula nyama za watu ndo maana etu nyerere akawa anampiga.
 
Wapemba na wanzanzibar ndio wakaz wenyeji wa kigambon tangu 1780 kama vile wazaramo kwa dar mkolon akaja kugawa sehem ile kwa bara haya rais wao jumbe alikua na kiwanja cha urais tangu kale alichorith kutoka kwa babu yake na babu yake hapo ndio nyerere alipomuweka kizuizin kiukwel tunawaonea wanzanzibar sanaa kutokana na udogo wao na kuna kisima cha mafuta kimejulikana ila wanzanzibar wamegoma kuchimbwa mafuta na kuletwa bara na bara haitok kuchimba mafuta na kuuzwa kutokea zanzibar swala liko pending
Mafuta yao yasitoke ila madini ya Geita yanalipa hadi mshahara wa Faki na Shaame anaefanya kazi taasisi za muungano.
Selfish mentality always
 
Maneno mengiiii.....

Unataka kusema kuwa WAZANZIBARI wamekuja huko kijijini kwenu na kuchukua eneo la ardhi heka 100 ili kujenga MSIKITI ?!!!

Kwanini unataka kutuaminisha kuwa Zanzibar hakuna wakazi wenyeji walio WAKRISTO isipokuwa ni wa kutoka huku bara ?!!!

Kama sivyo ,je huku bara hakuna waislam ?!!! Je hao waislam wa bara ndio unaotaka wasifanyiwe hisani ya kuuziwa hizo heka za ardhi 1000 usemazo ?!!

#Siempre JMT[emoji120]
#Muungano Wetu Una Thamani Kubwa Mno zaidi ya tofauti za kiitikadi na Matabaka[emoji120]

Maneno mengine umenilisha tu
Nimeongelea udogo wa visiwa
Wakristo wapo tangu zamani

Na wana haki pia
 
Hilo jambo lisahau abadani.
Tanganyika rais alipatikana Magufuli lakini suala la muungano ndo kwanza alililinda yeye pia.
Unajua tundulisu kilimpata nini bungeni walivokomalia suala la muungano??
Mkuu hili suala wana jf wanalichukulia poa,watu wameapa kuulinda muungani Kwa nguvu yoyote hata ikiwezekana kuuliwa watu wote Ili muungani ubaki..hakuna aliyebaki salama aliyehatarisha muungano,unawaona Tena kuna sheikh yoyote kati ya wale waliotoka jela akiongea chochote
 
Kuna haja kuwazuia wanzanzibar kumuliki ardhi bara, au tuanze kuwanyang'anya.
Nyie hivi mnaujua muungano wa hizi nchi ulivo muundo wake lakini? Au mwacomment tu!!
Unadhani ni rahisi kuwanyang'anya hao wazanzibar kama unavosema?!.
 
Bado sijaona hoja zake

Hazina mantiki au labda kama huja copy vizuri

Tuwekww clip

Issue ya zanzibar na tanganyika sio ya kuiongelea tu inabidi ukae kwa kutulia kuna sababu nyingi za makusudi ambazo hazitakiwi ziguswe
Yes uko sahihi.
 
Hili hutomsikia mama akiliona kama kero ya muungano. Alipoingia alitatua haraka kwa kuangalia upande mmoja.
Kwani Magufuli ulisikia akiliongelea?
Kikwete je?
Mkapa je?
Mwinyi?
Halafu wataka mama ndo aliongelee??
 
Suala la ardhi, kama Zanzibar wanakataa kutupa ardhi kuwekeza ama kujenga tu makadhi yetu binafsi basi nasi tuwanyang'anye ardhi hapa Bara, hakuna haja ya kubembelezana.
Hawakatai kutoa mkuu, tatizo lililopo ni jinsi wanavyoitoa, yaani mashariti kwa Mtanganyika ni magumu sawa na muwekezaji.

Kwa kifupi ukija Zanzibar hata kujenga nyumba unahesabika kuwa muwekezaji, -Hii ni kutoka kwa Dr. Hussein Mwingi.

But huko Tanganyika wao wananunua hata bila kuulizwa kitambulisho cha kupigia kura!.
 
Sasa ndugu kwani mtu ni lazima akuuzie kitu chake? Kama hataki kukuuzia unamlazimishaje akuuzie, na nyny wazanzibari wakija huko una shamba lako unauza akija mzanzibar usimuuzie
huwa nawaza tu siku kikisanuka muungano ukafa, watatembea kwa mguu hadi nungwi, na mali za huku watauza kwa hasara.
 
Sasa mbona amekabwa kotekote! Haya alitakiwa ayatoe miaka iliyopita, Zanzibar ni nchi ya kiisilamu japo inapenda hela za wazungu.
Nani alisema kufuga nguruwe ni haramu, aende Misri ambao ndio wanaongoza kwa ufugaji wa nguruwe, vihiyo naomba msichanganye na ulaji.
Hujui, hujaelewa au unachanganya maji na pombe!.

Soma andiko kwa kutulia alafu urudie kuandika.
 
hii ndio sababu mojawapo inayonifanya nione kichefuchefu kwenye muungano...na nikikutana na mzanzibari nisiwe na moyo wa kushirikiana naye. mtaniwia radhi kwa kusema ukweli ulioko moyoni mwangu.

kwasababu hata kwa raia wa kawaida achana na institutions, ukienda dsm, kigamboni, kuna wazanzibar wanamiliki ardhi wapendavyo, ukienda mikoani kuna wazanzibar wananunua maeneo wapendavyo. ila sisi tukienda kule, ......., kingine, kuona dini zingine hazitakiwi, kuchapa viboko wakristo wasiofunga wanaokula wakati wa ramadhani....ni jambo ambalo kwa wazanzibar wote wanaona ni sahihi, ila mimi linanitia simanzi sana.
hawa wengi wanakuja kubadirika mpaka waje huku,wajifunze ustaarabu wa kuishi na watu.

wengi wakiwa kwao kule wwnakuwa kama wadudu.
 
Binafsi nachukia sana huu Muungano, siku akitoke raisi wa kuuvunja nitamuunga mkono kwa 105%
[emoji23][emoji23] yaani unachukia kitu ambacho hujui hata wahusika waliwekeana mikakati gani wakati wanaunganisha?
Hujui tena huna hata nakala ya Muungano halafu unachukia[emoji848][emoji849].
Vichwani mwenu huwa mnabeba nini? Thats why wazanzibar wanawaita Machogo eeeh[emoji1787][emoji1787]
 
Bado sijaona hoja zake
Hazina mantiki au labda kama huja copy vizuri
Tuwekww clip

Issue ya zanzibar na tanganyika sio ya kuiongelea tu inabidi ukae kwa kutulia kuna sababu nyingi za makusudi ambazo hazitakiwi ziguswe
Kabla ya hiyo clip unayotaka naomba uweke hizo sababu chache za makusudi zisizotakiwa kuguswa.
 
Hivi ukienda Moshi unaweza kupata hata inchi moja ya ardhi?
Tatizo unataka kuuziwa na waswahili zile za 10x15 ndiyo maana unasema Moshi huwezi pata aridhi, kiukweli maeneo ni mengi sana.

Ukitaka aridhi isiyo na mgogoro fuata utaratibu nenda manispaa kitengo cha aridhi utaonyeshwa na kupewa utaratibu unalipa unaanza maisha.

Tuache mazoea ndg zangu ya kubebana.
 
Back
Top Bottom