Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Huu muungano fake uvunjwe harakaNi uchoyo na woga wa kupitiliza usio na sababu. 'Kwetu ni kwenu na kwenu kusiwe kwetu kwa nini' - Saadan Kandoro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu muungano fake uvunjwe harakaNi uchoyo na woga wa kupitiliza usio na sababu. 'Kwetu ni kwenu na kwenu kusiwe kwetu kwa nini' - Saadan Kandoro
Tutawafukuza waondoke na mtu wao wamejazana hukuHao wapemba ipo siku watarudi kwao bila kutarajia
Ni kweli! Ila wazanzibar wanaendeleza tabia za udini na usultani usiotakiwa hasan kwa wale ambao sio waislam!Mimi siwezi kuchangia kwa sababu amesema ukweli kuwa Mtanganyika ukiwa Zanzibari hutambuliwa kama mgeni kutoka nje ya nchi (zamani ilikuwa ni lazima uwe na passport) ila mzenji akija Tanganyika anajulikana kuwa ni Mtanzania mwenzetu. Ni mkweli kuwa wakristu Zanzibar huonekama kama ni mashetani ingawa siyo kwa wazi wazi sana, lakini swala la utanganyika na Uzanzibari liko wazi sana.
Wanaanzaje kukunyima mpaka mabinti zao? ingekuwa mimi hata kama wangeninyima ningefanya jambo wangenitafuta popote nilipo waniletee huyo binti yao wenyewe, labda waninyime ardhi isiyohamishika, lakini sio binti yao.
Kihistoria ilikua ni yao kwa maana walikuepo wazaz wao wakiish hapo wakolon walivyokuja kuweka mipaka wakaiweka huku tanzania ndio wanzanzibar wako weng kigambon miaka na miaka toka kaleIlikuwa imeungana na Zanzibar au unamaanisha nini? Maana inajulikana Tangu kale Zanzibar ni visiwa.
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Leta ukweliAcha uongo!
Never, nawapenda sana dada zako wanavyoongea kwa kubana pua, kila nikisikia sauti namtafuta mzungumzaji alipo nikamalizane nae.Haha nikiwa kama mzanzbr dada zenu huku bara nawagonga kinoma wanapend rangi na nywele ila dada zetu sahau mkuu. [emoji23][emoji23]
Wapemba na wanzanzibar ndio wakaz wenyeji wa kigambon tangu 1780 kama vile wazaramo kwa dar mkolon akaja kugawa sehem ile kwa bara haya rais wao jumbe alikua na kiwanja cha urais tangu kale alichorith kutoka kwa babu yake na babu yake hapo ndio nyerere alipomuweka kizuizin kiukwel tunawaonea wanzanzibar sanaa kutokana na udogo wao na kuna kisima cha mafuta kimejulikana ila wanzanzibar wamegoma kuchimbwa mafuta na kuletwa bara na bara haitok kuchimba mafuta na kuuzwa kutokea zanzibar swala liko pendingZanzibar ni tuvisiwa kigamboni sio kisiwa na ipo kilometer za kutosha toka visiwani iweje leo hii iwe ni sehemu ya visiwa hujiulizi mkuu Mbona mambo yapo wazi yaani leo hii ukanda wa pwani yote iwe ni sehemu ya Zanzibar kwa akili za kawaida maana ni ukichaaa kabisa huu. Leo hii joberg iwe ni sehemu ya Madagascar. Ardhi ya bara ni ya bara na ardhi ya tumashamba ni ya hao wanaojiita wazanzibar
Toka nimekufahamu leo ndiyo umeongea pointBinafsi nachukia sana huu Muungano, siku akitoke raisi wa kuuvunja nitamuunga mkono kwa 105%
Never, nawapenda sana dada zako wanavyoongea kwa kubana pua, kila nikisikia sauti namtafuta mzungumzaji alipo nikaongee nae.