The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Huu Muungano unakoelekea ni kuvunjikaMhashamu Askofu Augustino Shao wa Zanzibar ametimiza Jubilei ya miaka 25 katika utumishi wa kanisa la Roman Catholic huko Zanzibar...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu Muungano unakoelekea ni kuvunjikaMhashamu Askofu Augustino Shao wa Zanzibar ametimiza Jubilei ya miaka 25 katika utumishi wa kanisa la Roman Catholic huko Zanzibar...
Watu wengi wanaozungumzia ardhi ya Zenj,hawajawahi hata Kufika Zenj,wengine hata kwenda Zenj,hawajuhi unapita wapi,Idadi ya watu Zenj ni ndogo sana ukilinganisha na watu wa wilaya moja ya Dar,Zenj inaingia mara tatu kwenye mkoa wa Kagera,
Sasa kama unashindana na idadi hiyo ya watu,inabidi busara itumike kidogo,
Wapo wabara kibao wamejenga lodges na wengine majumba na wanamiliki ardhi sana tu
Key word 'ardhi ya kutosha'Kwaiyo ya Zanzibar pekee ndo Ina kazi ila ya bara Haina kazi.
Sent from my CPH2349 using JamiiForums mobile app
imagine wewe sio muislam, haufungi, kuna mtu anafunga na hataki ule, anataka na wewe ufunge. huombi chakula kwake, ila hataki tu ule na anaamini anamwabudu mungu, tena kwenye nchi yenye katiba ya usawa. mbona sisi wakristo tukifunga kivyetu huwa hatuwalazimishi na wao wafunge kama sisi?Na viongozi wa ccm wanona ni kawaida kabisa. Na wanaimba ngojera kila siku muungano ni imara na hauna shida
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Kwa sababu bara ipo ya kutosha,nchi kubwa zaidi ya Kenya,Uganda,rwanda na Burundi ukizichanganyaKwann wao wanavuka maji kuchukua ardhi bara ww naona unatetea ujinga
ndio mungu wao amewatuma wafanye hivyo? mungu wa aina hiyo mimi simtaki.Wenzako wanafunga we unabugia misosi, lazima ule bakora.
Ndiyo makubaliano ya muungano,sisi tutaruhusiwa kununua ardhi baea,nyinyi hamtoruhusiwa kununua ardhi zbar,bara ni kubwa kuliko Kenya,Uganda na rwanda ukiziunganisha,hupendi vunja muunganoNa nyie kama ni wachache na mnamiliki ardhi yenu Zanzibar kitu gani kinawapeleka bara?
Darubini ya dhahabu ikoje!!?..kwa hila zenu wakiristo Hilo likiwa ruksa Basi mtatafuta wafadhili,mnunue ardhi,mjenge makanisa mengi hata Kama hayajai watu,Kisha mfurahi muone mmeibatiza zenji,hatuuzi kwa machogo ardhi yetu,hupendi vunja muunganoWewe na wengine mnashindwa kuelewa tatizo ni nini hapa.
Tatizo siyo watu toka Bara kwenda kujazana Unguja na Pemba...
HeheheeSelfish nani? Nyie machogo mliozungukwa na mapori na ardhi kubwa na bado mna uchu na ardhi ndogo ya Zanzibar? Hamna lenu jambo, zaidi ya kuleta uchokozi na uchochezi kwa Wazanzibari.
Zanzibar ilipata Uhuru 1963,kiongozi alikua Nani!?..nyinyi mmekuja kuua watu elf 13+..mnapaswa kwenda iccUtamaduni upi mlio nao nyinyi labda kuvaa kobazi na vipedo na mashuka. Vita gani nyinyi mlipigana maana hata uhuru tuliwaletea maana sie ndo tulimfurusha yule sultani wenu.
Mhashamu Askofu Augustino Shao wa Zanzibar ametimiza Jubilei ya miaka 25 katika utumishi wa kanisa la Roman Catholic huko Zanzibar.
Kwenye sherehe zilizohudhuliwa na wananchi mbalimbali wakiwemo viongozi wa kidini, askofu Shao kwenye salamu zake kwa Rais wa Zanzibar, amezungumzia mambo mbalimbali aliyokumbana nayo akiwa katika utumishi wa kanisa, moja au baadhi ni Usafirishaji haramu wa watu kwenda nje ya nchi na uhamiaji wanatumika kutoa pasipoti pasipo utaratibu.
Amesema watu wanasafirishwa nje kwa kuhadaiwa kazi nzuri lakini mbele wanabadilishiwa kile walicho aidiwa na kwenda kufuga nguruwe au kazi za hatari.
Kwa upande mwingine ameongelea kuhusu aridhi ambapo ni tatizo kubwa Zanzibar, yaani mkristo kupata aridhi ni haiwezekani, hasa ukifahamika kutoka bara kama yohana upewi.
"Siyo kila mkristo anakuja kujenga kanisa, kanisa halijengwi na familia bali na taasisi kama madhehebu, alisema askofu Shoo.
Aliiomba Serikali ifikilie wanapopima viwanja waweke kipaumbele pia kwa mashirika na taasisi za kidini, sababu kanisa linatizama mbele na si kuwapa kiwanja size ya 20x20.
Aliongeza kuwa "katiba inatoa nafasi kwa raia kuwa na usawa,haiwezekani ukienda bara unachukua aridhi ila ukija zanzibar upewi, ifike mahari tuangalia usawa, ukipenda kula vya mwenzako na wewe kubali kuliwa vyako".
Zanzibar siyo mkoa,ni nchiIngekuwa ni hivyo basi kila mtu angebaki mkoani kwake
hii ndio sababu mojawapo inayonifanya nione kichefuchefu kwenye muungano...na nikikutana na mzanzibari nisiwe na moyo wa kushirikiana naye. mtaniwia radhi kwa kusema ukweli ulioko moyoni mwangu.
kwasababu hata kwa raia wa kawaida achana na institutions, ukienda dsm, kigamboni, kuna wazanzibar wanamiliki ardhi wapendavyo, ukienda mikoani kuna wazanzibar wananunua maeneo wapendavyo. ila sisi tukienda kule, ......., kingine, kuona dini zingine hazitakiwi, kuchapa viboko wakristo wasiofunga wanaokula wakati wa ramadhani....ni jambo ambalo kwa wazanzibar wote wanaona ni sahihi, ila mimi linanitia simanzi sana.
Wakianza kubanwa hivi huwasikii wakimtukana tena Nyerere, Muungano huu unawanufaisha sana hawa wazanzbari wabaguzi wasio haya!Hoja kama hizi huwa hawajibu maana yapo mengi sana bara yanakula na kunya hovyo tena kwa uhuru afu ukienda kwao yanaanza kukuona kwa jicho la chuki. Wakileta upuuzi watachezea mkon’gonto.
"Kichogo" pia ni neno la kibaguzi.Kichogo huyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo uone ajab!Huyu n mtanzania mwenye nia saf na tz na hana ubaguz wa aina yoyote.
"Kichogo" pia ni neno la kibaguzi.
Watu wengine huwa mnawaza uporoto ama!!Hapo kampa makavu laivu,Kanisa kwenye ardhi ya 20x0 20 unajenga kitu gani sasa.
Hio labda kwa msikiti