Unaongea kwa uchungu sana, kwa nini usiwe na article yako kila week ili kupunguza jazba yako!.Zanzibar hakuna wakristo , walioko ni magowa Na wengi wamesilimu waliobaki Kanisa la minara miwili linawatosha. Hao wavamizi kutoka Tanganyika wasituwekee fujo , mavamizi Yao Na roho Za watu walizozitowa imetosha , Sasa waondoke Na majeshi Yao watuwachie Nchi yetu
Mhashamu Shao alisema mengi sana hata hilo aliliongelea na kuna zaidi wakristo wanayofanyiwa hapa Zanzibari ila serikali inakaa kimya but viongozi walipewa taarifa huwa wanaongea kisiasa kwa kupuliza.Kumbukumbu zangu zinaniambia kuwa kuna kiongozi wa dhehebu hili aliwahi kumwagiwa tindikali hapa zanzibar
Unaongea kwa uchungu sana, kwa nini usiwe na article yako kila week ili kupunguza jazba yako!.
Ukristo umekuwepo zanzibar miaka mingi hata kabla ya babu zako, historia inaweza kukupa picha nzuri kuliko kupambana mitandaoni.
Kwa kuwa tu una pesa unaweza kununua ardhi yoyote uitakayo?!!!Kwani wameshindwa kununua
Mhashamu Shao alisema mengi sana hata hilo aliliongelea na kuna zaidi wakristo wanafanyiwa Zanzibar ila serikali inakaa kimya but viongozi walipewa taarifa huwa wanaongea kisiasa kwa kupuliza.
Zanzibar wamekaa kama watoto wenye mahuhu ila vya wengine wanavitaka"
Pia asingekuwa muoga ,angemwambia Mwinyi kuwa zanzibar si nchi ya kidini hata kama asilimia 90 wana dini aina fulani,mambo ya kutulazimisha wakristu tufuate sheria za kiislamu ni kutotutendea haki,, Zanzibar sio Saudi arabia au Oman!Mhashamu Askofu Augustino Shao wa Zanzibar ametimiza Jubilei ya miaka 25 katika utumishi wa kanisa la Roman Catholic huko Zanzibar.
Kwenye sherehe zilizohudhuliwa na wananchi mbalimbali wakiwemo viongozi wa kidini, askofu Shao kwenye salamu zake kwa Rais wa Zanzibar, amezungumzia mambo mbalimbali aliyokumbana nayo akiwa katika utumishi wa kanisa, moja au baadhi ni Usafirishaji haramu wa watu kwenda nje ya nchi na uhamiaji wanatumika kutoa pasipoti pasipo utaratibu.
Amesema watu wanasafirishwa nje kwa kuhadaiwa kazi nzuri lakini mbele wanabadilishiwa kile walicho aidiwa na kwenda kufuga nguruwe au kazi za hatari.
Kwa upande mwingine ameongelea kuhusu aridhi ambapo ni tatizo kubwa Zanzibar, yaani mkristo kupata aridhi ni haiwezekani, hasa ukifahamika kutoka bara kama yohana upewi.
"Siyo kila mkristo anakuja kujenga kanisa, kanisa halijengwi na familia bali na taasisi kama madhehebu, alisema askofu Shao.
Aliiomba Serikali ifikilie wanapopima viwanja waweke kipaumbele pia kwa mashirika na taasisi za kidini, sababu kanisa linatizama mbele na si kuwapa kiwanja size ya 20x20.
Aliongeza kuwa "katiba inatoa nafasi kwa raia kuwa na usawa,haiwezekani ukienda bara unachukua aridhi ila ukija zanzibar upewi, ifike mahari tuangalia usawa, ukipenda kula vya mwenzako na wewe kubali kuliwa vyako".
Mkuu, niseme tu, kiwango chako cha ujinga bado ni kikubwa sana. Ninachoweza kukushauri ni jaribu kufanya jitihada kupunguza ujinga huu.Darubini ya dhahabu ikoje!!?..kwa hila zenu wakiristo Hilo likiwa ruksa Basi mtatafuta wafadhili,mnunue ardhi,mjenge makanisa mengi hata Kama hayajai watu,Kisha mfurahi muone mmeibatiza zenji,hatuuzi kwa machogo ardhi yetu,hupendi vunja muungano
Pia asingekuwa muoga ,angemwambia Mwinyi kuwa zanzibar si nchi ya kidini hata kama asilimia 90 wana dini aina fulani,mambo ya kutulazimisha wakristu tufuate sheria za kiislamu ni kutotutendea haki,, Zanzibar sio Saudi arabia au Oman!
Lengo la Kanisa ni kuifanya Zanzibar iwe nchi ya kikristo . Vitabu vya Kanisa vipo vinavyosema hayo.
Sasa unataka waislamu walale ? Kutuuwa mtuuwe Na ardhi muichukuwe , mukajenge Baharini huko Chumbe Hakuna wa kuwakataza
Huku bara tayari ni nchi ya Kikristo?Lengo la Kanisa ni kuifanya Zanzibar iwe nchi ya kikristo . Vitabu vya Kanisa vipo vinavyosema hayo.
Sasa unataka waislamu walale ? Kutuuwa mtuuwe Na ardhi muichukuwe , mukajenge Baharini huko Chumbe Hakuna wa kuwakataza
Naomba source ya hizi takwimu.Wabara wanatengwa vipi mkuu? Asilimia 80% ya private sector Zanzibar waajiriwa ni Watanganyika.
Huku bara tayari ni nchi ya Kikristo?
Huku bara tayari ni nchi ya Kikristo?
Nenda katazame kioo,utamuona mjinga,nakuhakikishia hutoniona mimiMkuu, niseme tu, kiwango chako cha ujinga bado ni kikubwa sana. Ninachoweza kukushauri ni jaribu kufanya jitihada kupunguza ujinga huu.
Makanisa au taasisi yoyote hata msikiti kupewa/kununua ardhi kubwa inategemea na maono ya wanataasisi. Makanisa hasa ya madhehebu makubwa kama Catholic na Lutheran wananunua maeneo makubwa kwa ajili ya kujenga makanisa, shule, vyuo, zahanati, maduka n.k kwenye eneo moja.Suala la ardhi ni jambo gumu na mtambuka haswa.....
Hivi Zanzibar kuna msikiti gani ambao umepewa mathalani heka 30 ?!!!
Tunajua ardhi ya Zanzibar ni ndogo sasa inakuwaje makanisa kupewa heka nyingi ambazo ndani yake kutakuwa na uzalishaji mali na mambo mengineyo?!!!
Kwani heka ngapi za ardhi zitakazotolewa zitaonekana kuwaridhisha?!!!!
#Siempre JMT[emoji120]