Suala la Bandari TEC hawakupata kama walivyozoea

Mi niko JF mwaka mmoja mbele yako. Sizungumzii kukuona jf bali huko media zingine. Ukweli ni kwamba watu wazima wanavumiliana. Hivyo nawe pia wanakuvumilia. Wewe ni kina mwaipopo uliyepoa
 
Aisee... Nilikuona kupitia tv kumbe wewe ni ntu mzima vizuri tu tatizo una utoto mwingi uliojificha kwenye chuki za kiimani. Wewe mzee ni mdini waziwazi. Shida sana
🚮🚮🚮
Kuliko wewe uliyemjibu ??
 
Mi niko JF mwaka mmoja mbele yako. Sizungumzii kukuona jf bali huko media zingine. Ukweli ni kwamba watu wazima wanavumiliana. Hivyo nawe pia wanakuvumilia. Wewe ni kina mwaipopo uliyepoa
Raia...
Wakati mwingine hujiuliza niseme nini?
Labda ni kwa kutofahamiana.

Nimezungumza vyuo vikuu vingi ndani na nje ya mipaka yetu.

Radio zote kubwa na TV ndani na nje ya mipaka yetu zimeomba mahojiano nami: BBC, DW, VoA, Radio Tehran, SABC.

Hawa wote wananivumilia mimi?
AZAM, TBC na FM Stations sijui hata hesabu yake.

Online...
Wanamvumilia Mohamed Said...

Mahojiano mengi na Hamza Kassongo na Mohamed Ghassani...

Ingia YouTube.


VoA Washington DC

AZAM TV


Northwestern University, Chicago

 
Sawa, ila subconsciously una udini. Wewe ni mwanaharakati wa historia ya uislam dhidi ya ukristu (ukatoliki).
 
Mi niko JF mwaka mmoja mbele yako. Sizungumzii kukuona jf bali huko media zingine. Ukweli ni kwamba watu wazima wanavumiliana. Hivyo nawe pia wanakuvumilia. Wewe ni kina mwaipopo uliyepoa

Sawa, ila subconsciously una udini. Wewe ni mwanaharakati wa historia ya uislam dhidi ya ukristu (ukatoliki).
Raia,
Ungependa tubaki na ile historia ya zamani iliyofuta historia ya kweli ya uhuru wa Tanganyika?





 
Wewe wanakutafuna kweli mbona lipumba nae hakuunga mkono bandari kupewa waarabu mpumbavu wewe?
 
Mbussi,
Ilikuwaje basi historia hii ya mashujaa hawa waliopigania uhuru wa Tanganyika ikawa haisomeshwi?

Leo historia hii imekusanywa na kuandikwa kwa nini inapigwa vita?
Zungumzia wanachama wa TANU sio kila saa waislam waislam napatatabu na dini yako ina some sort of inferiority complex
 
Zungumzia wanachama wa TANU sio kila saa waislam waislam napatatabu na dini yako ina some sort of inferiority complex
Nyio...
Una haki ya kufanya lile linalokupendeza.

Ikiwa unatabika kuwasoma Waislam katika kupigania uhuru wa Tanganyika acha usisome.
 

Zawadi Ngoda
Kuna lipi au kipi ambacho hujawahi kukiona, kukisikia au kukisoma katika hayo hapo juu.
Kuna uhusiano gani wa Mada iliyoko mezani na hayo hapo juu!

Tangu uliponiuliza, nionyeshe mahali ambapo hoja hata moja imejibiwa, imetetewa au kufafanuliwa na Mleta mada.
Zawadi, akitokea mtu akauliza mnajadili nini hapa utamjibu nini?
 
Sheikh Mohamed Said, naomba kujua, faida ambazo tungepata kwa kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi ni zipi katika nchi yetu hii ya JMT?
 
Sheikh Mohamed Said, naomba kujua, faida ambazo tungepata kwa kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi ni zipi katika nchi yetu hii ya JMT?
Ise...
Tungeanza na lile la kwanza.

Mahakama ya Kadhi ilikuwako toka zamani.
Halikuwa suala la kuanzisha bali kurejesha Mahakama ya Kadhi.

Wajerumani wamezikuta halikadhalika Waingereza.
Hawakuvunja.

Mahakama ya Kadhi ikavunjwa na serikali huru ya Tanganyika.
Faida gani imepatikana kwa kuvunja Mahakama ya Kadhi?
 
Swali langu huwa ni moja tu sheikh. Kwa nini inashindikana kwa sasa kuanzisha tena mahakama ya kadhi? Na kuna juhudi zozote za waislam kudai mahakama ianziswe na ni upi msimamo wa serikali?
 
Swali langu huwa ni moja tu sheikh. Kwa nini inashindikana kwa sasa kuanzisha tena mahakama ya kadhi? Na kuna juhudi zozote za waislam kudai mahakama ianziswe na ni upi msimamo wa serikali?
Massa,
Waliovunja Mahakama ya Kadhi hawataki kuirejesha Mahakama ya Kadhi.
 
Huu Uzi burudani sana. Yani mada inasema hivi, lakini uchangiaje unasema vile, na mwenye mada kagoma kurudi kwenye mada
 
Massa,
Waliovunja Mahakama ya Kadhi hawataki kuirejesha Mahakama ya Kadhi.

Ambao ni kanisa katoliki sio? Kwa hiyo mnaendeswa na kanisa? Na kama sio kanisa ni kina nani? Sisi wengine hatukuwepo wakati inavunjwa
 
Ambao ni kanisa katoliki sio? Kwa hiyo mnaendeswa na kanisa? Na kama sio kanisa ni kina nani? Sisi wengine hatukuwepo wakati inavunjwa
Massa,
Unataka nijibu hayo maswali unaeleza kitu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…