Suala la Bandari TEC hawakupata kama walivyozoea

Suala la Bandari TEC hawakupata kama walivyozoea

Surah An-Nisa 135,Qur'an inasema;

O you who have believed, be persistently standing firm in justice, witnesses for Allāh, even if it be against yourselves or parents and relatives. Whether one is rich or poor, Allāh is more worthy of both.1 So follow not [personal] inclination, lest you not be just. And if you distort [your testimony] or refuse [to give it], then indeed Allāh is ever, of what you do, Aware.

Mimi ni Muislam typically ila ni ujinga wa hali ya juu kusema kwamba bandari kupewa Mwarabu ni ushindi kwa Waislamu,yani huo ushindi upo vipi mzee wangu mbona me sielewi?? Utajiri watakao pata hapo zitachangia nini kwa Waislamu wa Tanzania zaidi kupelekwa kwao huko UAE

Halafu uache kuijumuisha CHADEMA na mambo yako ya kidini kwa sababu wale walitoa hoja zao kwa kuangalia maslahi ya taifa na ule ulikuwa sio udini,ule unaitwa uzalendo.......ndio maana serikali wakaamua kuurekebisha ule mkataba,unajua ni kwanini?? Ni kwa sababu ya CHADEMA

Kama CHADEMA ingekuwa ni against Islam leo Tundu Lissu asingejitokeza hadharani na kuiunga mkono Palestine na kuikataa Israel

Adui wetu sisi Waislamu ni CCM;Waliingia na mbwa msikitini kwa amri ya mkapa 2000's,wameweka ndani masheikh wetu,wamepora ardhi yetu kwa miaka mingi na mbaya zaidi hawataki kuipa uhuru Zanzibar kwa kisingizio eti wakiachiwa watajiunga na OIC na Kibaya wanachofanya ni kwenye elimu juu ya vijana wetu


Siku nyingine usirudie kuitaja CHADEMA kwenye mambo ya kijinga kama haya ulio andika

said mohamed
 
Surah An-Nisa 135,Qur'an inasema;

O you who have believed, be persistently standing firm in justice, witnesses for Allāh, even if it be against yourselves or parents and relatives. Whether one is rich or poor, Allāh is more worthy of both.1 So follow not [personal] inclination, lest you not be just. And if you distort [your testimony] or refuse [to give it], then indeed Allāh is ever, of what you do, Aware.

Mimi ni Muislam typically ila ni ujinga wa hali ya juu kusema kwamba bandari kupewa Mwarabu ni ushindi kwa Waislamu,yani huo ushindi upo vipi mzee wangu mbona me sielewi?? Utajiri watakao pata hapo zitachangia nini kwa Waislamu wa Tanzania zaidi kupelekwa kwao huko UAE

Halafu uache kuijumuisha CHADEMA na mambo yako ya kidini kwa sababu wale walitoa hoja zao kwa kuangalia maslahi ya taifa na ule ulikuwa sio udini,ule unaitwa uzalendo.......ndio maana serikali wakaamua kuurekebisha ule mkataba,unajua ni kwanini?? Ni kwa sababu ya CHADEMA

Kama CHADEMA ingekuwa ni against Islam leo Tundu Lissu asingejitokeza hadharani na kuiunga mkono Palestine na kuikataa Israel

Adui wetu sisi Waislamu ni CCM;Waliingia na mbwa msikitini kwa amri ya mkapa 2000's,wameweka ndani masheikh wetu,wamepora ardhi yetu kwa miaka mingi na mbaya zaidi hawataki kuipa uhuru Zanzibar kwa kisingizio eti wakiachiwa watajiunga na OIC na Kibaya wanachofanya ni kwenye elimu juu ya vijana wetu


Siku nyingine usirudie kuitaja CHADEMA kwenye mambo ya kijinga kama haya ulio andika

said mohamed
Kinj...
Unaandika kwa ukali.
Umeghadhibika.

Ghadhabu humfanya mtu kupoteza umakini wa kufikiri.

Hapakuwa na haja kutumia neno, "ujinga," kwangu.

Ungetulia ungeweza kuwa na ufahamu wa nini nimekusudia na kwa nini nimeunganisha CHADEMA pamoja na TEC na kukumbusha historia mfano wa hili la bandari.
 
Mohamed Said
Ningalikushauri ufute hilo bandiko lakini pia natambua haki yako ya kutoa maoni.

Nafasi yako katika Jamii ni kubwa kiasi cha ''kuteka'' uhuru wako wa maoni na kubebeshwa taswira ya jamii.
Nguruvi3,
Unanishauri nifute bandiko langu lakini hujasema lolote kuhusu video iiyonifanya niandike makala hayo ambayo inakutaabisha na umeona salama ni kwa makala hiyo kufutwa.

Ahsante kwa ushauri wako.
Nakuomba turudi wakati wa utawala wa Rais Ali Hassan Mwinyi.

Soma kipande hicho hapo chini kinachoeeleza hali ya siasa ilivyokuwa:

(Bahati mbaya hayo yanatoka katika mswada wa kitabu ambacho nimeandikwa kwa Kiingereza mtaniwia radhi kwa hilo lakini hapa mjadala kama utakuwapo utakuwa kwa Kiswahili).

''…one person who was been able to unite all Christians in their subtle opposition to Mwinyi was the self proclaimed Reverend Christopher Mtikila, Head of Full Salvation Church and Chairman of Democratic Party. [1]

He has openly declared his mission as that of defending Christianity against Islam.

Mtikila came to prominence in 1988 when he circulated a letter at the CCM Kizota Conference in Dodoma in which he accused Mwinyi of propping up Islam at the expense of Christianity Mtikila’s DP manifesto is to break the union between Zanzibar and Tanganyika and to expel Arabs, Somalis and Indians from the country.

Conspicuously absent from his list of expulsion were Europeans.
It was not difficult to understand why.

Mtikila was pro-Christian and therefore could not be anti-European.

In his many speeches Mtikila has shown outright contempt to religious tolerance, the union and the ideals of multi-racial society.

Mtikila’s followers went on rampage after a mass rally in which Mtikila spoke beating up Indians and Arabs. Strange enough the state-radio provides air time for Reverend Mtikila.

At that time more than ten private newspapers under Christian ownership were in circulation.

The Christian monopoly in politics and in the media contributed into fuelling religious tension because of its anti - Muslim stand.

The press picked on Muslims ministers scandalising them at will.

Muslims in the government were accused by the press for all sorts of offences from “praying in their offices” to "selling the country to rich Arab Sheikhs” from the Middle East.

Even the vocabulary had to change.
People began to be referred to by the colour of their skins.

The press began to identify people as “Arabs,” “Indians” and “indigenous Africans” reminiscent of colonial days; with the exception that in colonial days Africans were then referred to as “natives.”

The Church should have risen to condemn Reverend Mtikila but it did not do so instead Catholic Bishops of Tanzania through the Tanzania Episcopal Conference (TEC) started to issue what came to be known as Pastoral Letters which were very critical of Mwinyi's rule accusing his government of every ill in the country from incompetence to corruption. [2]

The Pastoral Letters were echoed by the media and state-radio.

The Pastoral Letters were the last straw which broke the camel's back.

It was now evident that the Catholic Church was mixing politics with religion to the detriment of the state, the aim which was to destabilise President Mwinyi and undermine his confidence.

Nyerere also joined in attacking Mwinyi accusing him of religious bigotry. [3]

When Muslims were in control of politics they never allowed Nyerere to be humbled by dissident Muslims.

Sheikhs always rose up in unison to defend and protect the political system from religious sentiments.

Such patriotism was not forthcoming from the Church.

…joining in this anti-Mwinyi anti Muslim campaign was the newly established free press.

In a daring and dramatic encroachment of the Church into politics, the Tanzania Press Club hosted Reverend Christopher Mtikila, secretary of Full Salvation Church.

In that press luncheon of the Tanzania Press Club Mtikila attacked Mwinyi's government as being corrupt echoing Nyerere's speech of February that year. [4]

Mtikila was not a new name in this anti- Mwinyi campaign. In 1987 during the CCM-NEC conference in Dodoma he distributed a document which among many allegations to Mwinyi he accused him of supporting “Muslim fundamentalism” and slotting Muslims into important positions in his government.

Dar es Salaam University also hosted Mtikila and was allowed to talk at the prestigious Nkrumah Hall, the centre of serious debate and lectures by reputable personalities.

Mtikila spit his venom by concluding his speech by saying that “the Church must show the way.” [5]

[1] For more information see MSAUD paper, “Vita vya Mchungaji Mtikila Dhidi ya Uislam,” 3 February, 1993. Also Rev. C. Mtikila kwa Mwenyekiti Kamati ya Masuala ya Dini Nchini FSC/ADM/370 27 April, 1989.
[2] Al-Markaz Sheikh Suleiman Takadir, “Barua ya Kisiasa ya Maaskofu: Maaskofu Wana Nafasi Gani Katika Serikali ya Nchi Hii.”
[3] Kiongozi, 1-15 January, 1994.
[4]Business Times, 22 June, 1990.
[5] In October, 1989 the Chairman of the Sudan People’s Liberation Movement (SPLM) Colonel John Garang visited Tanzania. Garang received a very warm reception from the University Community which is predominant Christian.
The academic staff as well as students went out of their way to poetry Garang as a “true son of Africa”, and a crusader against Muslim hegemony in Sudan.
And Garang cherished every moment of it.
The ten percent Muslims at the Dar es Salaam University did not even dare pose a single question to Garang much as it was evident that Garang was fighting an anti-Muslim war in the name of war of liberation.
It was not a wonder that Garang was receiving military assistance and moral support from Christian controlled governments Tanzania being one of them. Garang really felt at home. Garang himself a Marxist Christian was speaking in a Marxist School and among fellow Christians.
Probably in response to this visit by Garang, the government of Al Bashir sent its official delegation to try and explain to the people of Tanzania its own point of view to the conflict.
The Sudan government delegation was coldly received at the University.
Protocol was flouted shamelessly.
While Garang was accorded all the honours fit for a head of state, the Vice Chancellor himself receiving him, the Sudanese government delegation was received by one of the academic staff in the Department of Political Science.
The Vice Chancellor was conspicuously absent.
Garang spoke in the famous Nkrumah Hall, the venue for all visiting dignitaries.
The Sudanese government delegation was ushered hurriedly into a lecture theater.
The University administration knows who can speak in the lecture theater and who cannot speak in Nkrumah Hall.
The University community made sure that the Sudan government delegation understands that it had walked into an alien territory, where Islam in whatever form was not tolerated. Hostility through rhetoric in the question posed to the delegation was evident from every angle.
But the speakers were not intimidated they were cool and composed taking everything in their stride.
The audience seemed only interested in painting the delegation as descendants of Arab slave traders presenting an anti - Christian regime.
Islam was taken to be synonymous to Arabia by the born-again Christians in the audience who posed questions, while the Marxists thought the conflict in Sudan could be solved through class struggle and advised the delegation that the problem could be understood better through class analysis.
It was clear that the audience was either ignorant of the background to the conflict or was so much taken by anti-Muslim sentiments portrayed by the international press that it lost all objectivity, untypical trait of academicians.
(Excerpts from: "Christian Hegemony and the Rise of Muslims Militancy in Tanzania," unpublished by Mohamed Said )


Nguruvi3,
Tuanze na haya In Shaa Allah.


1706353591357.png

Reverend Christopher Mtikila
Secretary of Full Salvation Church​
 
bwana mohamed said maisha yako yote unaishi kwa hofu kubwa na mashaka moyoni dhidi ya kanisa katoliki takatifu la mitume wa kweli, nafurahi sana kuona kanisa katoliki na wakatoliki wanaishi kichwani kwako bila kodi wala gharama yoyote na pale uwaonapo basi unalipuka kwa hasira hofu na chuki kubwa moyoni mwako.

unataabishwa sana na maendeleo ya kanisa pamoja na taasisi zake kongwe katika nyanja za maendeleo na sio hayo tu bali pia mfumo wa maisha, elimu, sekta za afya, mazingira, fedha na kadharika kubwa zaidi uongozi imara na mahiri kuliko serikali yenyewe, hakika kanisa katoliki na nchi huru ndani ya nchi huru. maisha yako sasa 60+ unaendelea kutaabishwa vilivyo na kasi ya maendeleo ya kanisa, taasisi zake na watu wake. nafurahi sana kuona unaendelea kutaabishwa na wivu, chuki, uongo vilivyo ndani ya moyo wako, sishangai wala? ulizaliwa kanisa ukalikuta na najua utaliacha likinawiri na kushamiri kwa kasi.

kwa jicho lako ovu, nia yako ovu na misimamo yako dhaifu, kwa kila ukionacho kwa wakatoliki basi gere hukujaa na kushamiri usoni mwako. Waislamu wote wanajua kasi ya maendeleo ya kanisa katoliki dhidi ya tutaasisi tuchache tulito tudogo twa waislamu. sisi hatutaabishwi na chochote kutoka kwa waislamu au uislam bali wewe na waovu wenzio wachache mnataabishwa sana na ukristo, wakristo na kanisa katoliki kwa ujumla.

chadema wamepigana miaka kwa miaka kurudisha haki za watanzania zilizoporwa, migodi ya bulyanhuru, north mara, gesi ya mtwara, makaa ya mawe huko kiwira mbeya, rushwa, ubadhirifu, wizi na hujuma mbalimbali serikalini, viongozi wa chadema wamepambana dhidi ya dhurma mbalimbali za viongozi wa serikali na makampuni makubwa yanayoiba rasilimali za Tanzania. kamwe hujawahi kaa kitako kuandika chochote kwa hadua hio ya chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) bali hubinua kinywa chako kiapana tena kichafu kulikaripia kanisa, ukristo, wakristo na viongozi wake.

bahati nzuri sana hutokaa kusikia kanisa limekujibu bali waumini wake tutashughurika nawe mpaka mauti, ni miaka na miaka mijadala yako tunaikabili, kukukabili na kukukumbusha kuwa kanisa linanawiri sana. wakatoliki hatutaabishwi nawe wala uislamu wala waislamu tupo tumejitosheleza kwa kila kitu.

Mwalimu Julius Nyerere alipoka mamia ya taasisi za wakristo na mashirika mengine yaliyo na mafungamano na kanisa ili msomeni. usivyo na aibu unazusha uongo, chuki dhidi yake pamoja na ujivuni wako umesoma na kusomeshwa shule za kanisa leo unaona halina maana bali upuuzi. hakika mzee wewe ni mjinga na mpumbavu duniani. amani tuliyonayo utaiacha kama ilivyo si muislamu wala mkristo wala yoyote alie na uwezo wa kuvunja amani hii na kama yupo amwage hata mkojo aone.
 
bwana mohamed said maisha yako yote unaishi kwa hofu kubwa na mashaka moyoni dhidi ya kanisa katoliki takatifu la mitume wa kweli, nafurahi sana kuona kanisa katoliki na wakatoliki wanaishi kichwani kwako bila kodi wala gharama yoyote na pale uwaonapo basi unalipuka kwa hasira hofu na chuki kubwa moyoni mwako.

unataabishwa sana na maendeleo ya kanisa pamoja na taasisi zake kongwe katika nyanja za maendeleo na sio hayo tu bali pia mfumo wa maisha, elimu, sekta za afya, mazingira, fedha na kadharika kubwa zaidi uongozi imara na mahiri kuliko serikali yenyewe, hakika kanisa katoliki na nchi huru ndani ya nchi huru. maisha yako sasa 60+ unaendelea kutaabishwa vilivyo na kasi ya maendeleo ya kanisa, taasisi zake na watu wake. nafurahi sana kuona unaendelea kutaabishwa na wivu, chuki, uongo vilivyo ndani ya moyo wako, sishangai wala? ulizaliwa kanisa ukalikuta na najua utaliacha likinawiri na kushamiri kwa kasi.

kwa jicho lako ovu, nia yako ovu na misimamo yako dhaifu, kwa kila ukionacho kwa wakatoliki basi gere hukujaa na kushamiri usoni mwako. Waislamu wote wanajua kasi ya maendeleo ya kanisa katoliki dhidi ya tutaasisi tuchache tulito tudogo twa waislamu. sisi hatutaabishwi na chochote kutoka kwa waislamu au uislam bali wewe na waovu wenzio wachache mnataabishwa sana na ukristo, wakristo na kanisa katoliki kwa ujumla.

chadema wamepigana miaka kwa miaka kurudisha haki za watanzania zilizoporwa, migodi ya bulyanhuru, north mara, gesi ya mtwara, makaa ya mawe huko kiwira mbeya, rushwa, ubadhirifu, wizi na hujuma mbalimbali serikalini, viongozi wa chadema wamepambana dhidi ya dhurma mbalimbali za viongozi wa serikali na makampuni makubwa yanayoiba rasilimali za Tanzania. kamwe hujawahi kaa kitako kuandika chochote kwa hadua hio ya chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) bali hubinua kinywa chako kiapana tena kichafu kulikaripia kanisa, ukristo, wakristo na viongozi wake.

bahati nzuri sana hutokaa kusikia kanisa limekujibu bali waumini wake tutashughurika nawe mpaka mauti, ni miaka na miaka mijadala yako tunaikabili, kukukabili na kukukumbusha kuwa kanisa linanawiri sana. wakatoliki hatutaabishwi nawe wala uislamu wala waislamu tupo tumejitosheleza kwa kila kitu.

Mwalimu Julius Nyerere alipoka mamia ya taasisi za wakristo na mashirika mengine yaliyo na mafungamano na kanisa ili msomeni. usivyo na aibu unazusha uongo, chuki dhidi yake pamoja na ujivuni wako umesoma na kusomeshwa shule za kanisa leo unaona halina maana bali upuuzi. hakika mzee wewe ni mjinga na mpumbavu duniani. amani tuliyonayo utaiacha kama ilivyo si muislamu wala mkristo wala yoyote alie na uwezo wa kuvunja amani hii na kama yupo amwage hata mkojo aone.
Cobra....
Sina wivu na kanisa wala sina chuki na yote mabaya.
Ningekuwa nasema uongo ningejulikana mapema sana.

Kinyume chake ni kuwa kutokana na kalamu yangu waongo wamefahamika na si mimi.

Ningekuwa na hulka hizi katika kalamu yangu hapa JF nisingechaguliwa kuwa Mwandishi Bora katika Jukwaa la Historia kwa miaka miwili mfululizo 2022 na 2023.

Waislam wamenitunuku nishani mbili kwa mchango wangu katika kuandika historia ya Tanganyika.

Halikadhalika nisingepokea mialiko kutoka vyuo kadhaa ndani na nje ya mipaka yetu kwenda kuzungumza na kuisikiliza kwa hii historia niliyokujanayo.

NIngekuwa mimi ''mjinga'' na ''mpumbavu,'' nisingepata heshima hii.

Hakuna amani itakayovunjika kwa kuandika historia ya kweli ya uhuru wa Tanganyika ulivyopiganiwa na Waislam kwa juhudi kubwa.

Historia ambayo ilifutwa ipotee isifahamike.

Huu mwaka wa 25 toka kichapwe kitabu cha Abdul Sykes (1997) na dhulma zote walizofanyiwa Waislam zikaonyeshwa ndani ya kitabu hiki.

Waislam hawajanyanyua hata wembe.

Kinachofanyika ni kuitahadharisha serikali kuwa ndani yake wako watu wabaya wanajenga fitna kwa udini wao.

Unasema shule za Wakristo zimetaifishwa ili Waislam wasome.
Inaelekea hujui yaliyokuwa ndani ya Wizara ya Elimu na NECTA.

Angalia mfano huu na haya yamekuwa yakitendeka bila hofu:

''Lakini tuende kielimu.

Ninayo ripoti ya mwaka huu.

Waliofanya mtihani wa darasa la saba kuingia darasa la tisa, asilimia 71 Waislamu.

Asilimia 29 ni wengine. Walioshinda katika wale asilimia 71 ni asilimia 21.

Katika wale 29 walioshinda tena sema mwenyewe.

Katika asilimia 29 waliokwenda shuleni ni asilimia 79. Katika asilimia 71 waliokwenda darasa la tisa ni asilimia 21.

Sasa kuna moja, ama Waislamu wajinga ama akili yao haifanyi kazi, ama mtu ukiwa Muislamu wewe huna kitu, ama kuna kitu.

Sasa namwomba Waziri anayehusika, anaposema aseme ya kwamba kwa hali ilivyo Waislamu wameumbwa wajinga.''

Au kwa hali ilivyo kuna sababu kadha, kadha.
(Hotuba ya Mh. Kitwana Kondo (MB) aliyoitoa Bungeni Dodoma, 1999)

Nachelea kuweka hapa ya Wizara ya Elimu na ya NECTA makala itakuwa ndefu sana.

Unasema mimi kujibiwa.
Wajibu nini katika hayo?

Lakini nje huwa tunazungumza na wengi ndani ya serikali ambao wanajua kuwa hili ni tatizo ambalo ni muhali mkubwa kwa serikali kukiri kuwa ndani ya serikali kumekuwa na dhulma hizi.

Unaniona niko hapa kwa jina langu halisi na kwa sura na sauti yangu sijajificha kama wewe.

Niogope kitu gani?
Wewe unaogopa nini?

Tuishie hapa nina mengi.


 
Kinj...
Unaandika kwa ukali.
Umeghadhibika.

Ghadhabu humfanya mtu kupoteza umakini wa kufikiri.

Hapakuwa na haja kutumia neno, "ujinga," kwangu.

Ungetulia ungeweza kuwa na ufahamu wa nini nimekusudia na kwa nini nimeunganisha CHADEMA pamoja na TEC na kukumbusha historia mfano wa hili la bandari.
Ndio maana nasema uache kuiunganisha Chadema kwenye mambo ya kijinga kama ya UDINI..........Fanya yote ila usiikashifu CHADEMA tafadhali sana
 
Mti wenye matunda ndio utupiwao mawe.
Penye madini ndipo wajaapo wachimbaji.
Uzi imejaa madini
Mnadanganywa hivi huku huyu akitoka hapa anaenda zake kupokea tende na maziwa ya ngamia anakula ananenepa wewe unabaki kuaminishwa ujinga.

Tumia hiko kichwa vizuri kuchanganua mambo elewa umaskini wako na ujinga wako havisababishwi na dini hivyo vinasababishwa na viongozi wanaokuongoza regardless dini zao.
 
Nguruvi3,
Unanishauri nifute bandiko langu lakini hujasema lolote kuhusu video iiyonifanya niandike makala hayo ambayo inakutaabisha na umeona salama ni kwa makala hiyo kufutwa.

Ahsante kwa ushauri wako.
Nakuomba turudi wakati wa utawala wa Rais Ali Hassan Mwinyi.
Mohamed, makala yako haijanitaabisha lakini nakiri imenifedhehesha.

1. Ansbert Ngurumo amezungumzia pande mbili, ya serikali akisema hakufanikiwa mawasiliano, kama lipo la kuulizwa kuhusu ziara, Serikali Ijibu. Pili, akaeleza mazungumzo na ' Mwanadiplomasia' wa Vatican, hakusema ni kweli au si kweli bali kunukuu. Sina sababu za kumtetea maoni yawe yake na yaheshimiwe kama yako.
Sidhani maoni yenu wawili yanawakilisha taasisi yoyote.

2. Umezungumzia DP kwa kutumia neno '' Waarabu' . Ni kweli ni Waarabu na sidhani kama hilo ni tusi.
Mbona Wazungu wanaitwa hivyo? Kuna ubaya gani kuwaita DP Waarabu kama tunavyoita wale Wazungu waliowekeza bandari ya Zbar!

3. Matatizo ya mikataba ya DP hayakuanzia Tanzania. Kuna nchi nyingi wanayo. '' Reactions' za Watanzania ni kutokana na mafunzo ya DP kwingine. Mkataba uliangaliwa kifungu kimoja hadi kingine na kubaini mapungufu yaliyohitaji ufafanuzi. Kwa mfano, nani anasaini upande wa pili. Ni muda gani wa mkataba, kwanini uhusu maeneo nje ya Bandari ya Dar es Salaam. Kwanini uifunge mikono serikali wakati kunapotokea fursa n.k.

Maoni ya wapinga mkataba yabiwe kwa hoja. Maoni iwe ya kuzua au ya kweli, ukweli ni hoja inajibiwa kwa hoja. Nimefuatilia majibu ya baadhi ya hoja kutoka makundi ya jamii nikasikitika .
Utetezi wa Rais ni Mwislam, wala si kujibu vifungu unatia simanzi. Nilidhani Mohamed Said utakuwa tofauti , sijaiona.

Mohamed, waeleze wanaopinga mkataba, uzuri upo wapi! Upotofu wa vifungu wanavyonukuu upo wapi.
Ni wapi kumefanyiwa hila n.k. Ukijibu hayo kwa kutumia hoja za Wanaopinga kwa kifungu na mantiki utasaidia kuonyesha chuki inayojengwa dhidi ya '' Waarabu'' na DP. Bila hivyo, utakuwa unajenga chuki

Kwa bahati nzuri sana Mohamed Said umefanya kazi Bandari katika nafasi kubwa. Unaelewa abcd zake.

Tueleze kwa kina na vifungu, uzuri wa Mkataba ili tuoene chuki za Wanaopinga mkataba dhidi ya DP
Ukitueleza kwa mtindo rahisi kama uliopo katika bandiko lako, huitendei haki jamii yako na Taifa

Ikiwa Wapingaji walikuwa na chuki, kwanini Serikali imeurejea mkataba na hata kubadili vifungu?

4. Umeunganisha Chadema na Wakatoliki kwa ushirika wa DP. Sijui kama unajua ACT Wazalendo, CUF ya Lipumba walipinga Mkataba. Ulichokifanya ni 'selective amnesia' ( hukumbuki mambo kwa kuchagua).

Lakini pia Mohamed una '' ji-contradict'' . Leo unasema Waislam waliunga mkono DP ukiwanasibisha na CCM. Ni hawa CCM iliyokuwa TANU unaowatuhumu kila siku kwa madhila dhidi ya Waislam tangu Uhuru.

Ni hawa CCM na Serikali yao wasiojibu hoja mlizopeleka 'Bungeni'.
Ni hawa waliolea 'mfumo kristo' kwa miaka dahar kwa mujibu wa Mohamed Said .

Leo CCM wamekuwa wema kwa Waislam!!! na Chadema imebeba madhila na yote unayolalamikia!

Lini Chadema iliwahi kuongoza nchi kwa sekunde 1.

Kumbuka kwamba Chadema ni Wapinzani , wana mitazamo yao, kuchomeka udini ni kiwango cha chini sana.
Kuna hoja zinaweza kujadiliwa, hili si mojawapo. Wenye Weledi bila kujali itikadi zao wanaiangalia nchi kwanza!

Katika karne hii bado tunatazamana kwa taswira za Wazungu na Waarabu!

5. Ziara ya Pope Tanzania ilifanyika wakati wa A.H, Mwinyi. Kwanini hili lionekane ni jambo geni.
Huko ulikohamia kwa Mtikila mimi siendi kwasababu hoja ni bandiko lako na hilo ndilo tujadili.

Kwa mtazamo huu, nimeshauri uondoe bandiko lako si kwasababu linakera , la hasha! ni jepesi kwa mtu mwenye kalamu kubwa kama yako. Ninahofu sana asijetokea mpuuzi akashawishika kukuomba hiyo kalamu !

JokaKuu Pascal Mayalla Mag3
 
Ndio maana nasema uache kuiunganisha Chadema kwenye mambo ya kijinga kama ya UDINI..........Fanya yote ila usiikashifu CHADEMA tafadhali sana
Kinj...
Tatizo la bandari kupewa Waarabu TEC na CHADEMA walisimama upande mmoja.

Sasa si mimi ndiye niliowaunganisha.

Hili la udini angalia wewe mwenyewe na fanya utafiti utajua.
 
Mohamed, makala yako haijanitaabisha lakini nakiri imenifedhehesha.

1. Ansbert Ngurumo amezungumzia pande mbili, ya serikali akisema hakufanikiwa mawasiliano, kama lipo la kuulizwa kuhusu ziara, Serikali Ijibu. Pili, akaeleza mazungumzo na ' Mwanadiplomasia' wa Vatican, hakusema ni kweli au si kweli bali kunukuu. Sina sababu za kumtetea maoni yawe yake na yaheshimiwe kama yako.
Sidhani maoni yenu wawili yanawakilisha taasisi yoyote.

2. Umezungumzia DP kwa kutumia neno '' Waarabu' . Ni kweli ni Waarabu na sidhani kama hilo ni tusi.
Mbona Wazungu wanaitwa hivyo? Kuna ubaya gani kuwaita DP Waarabu kama tunavyoita wale Wazungu waliowekeza bandari ya Zbar!

3. Matatizo ya mikataba ya DP hayakuanzia Tanzania. Kuna nchi nyingi wanayo. '' Reactions' za Watanzania ni kutokana na mafunzo ya DP kwingine. Mkataba uliangaliwa kifungu kimoja hadi kingine na kubaini mapungufu yaliyohitaji ufafanuzi. Kwa mfano, nani anasaini upande wa pili. Ni muda gani wa mkataba, kwanini uhusu maeneo nje ya Bandari ya Dar es Salaam. Kwanini uifunge mikono serikali wakati kunapotokea fursa n.k.

Maoni ya wapinga mkataba yabiwe kwa hoja. Maoni iwe ya kuzua au ya kweli, ukweli ni hoja inajibiwa kwa hoja. Nimefuatilia majibu ya baadhi ya hoja kutoka makundi ya jamii nikasikitika .
Utetezi wa Rais ni Mwislam, wala si kujibu vifungu unatia simanzi. Nilidhani Mohamed Said utakuwa tofauti , sijaiona.

Mohamed, waeleze wanaopinga mkataba, uzuri upo wapi! Upotofu wa vifungu wanavyonukuu upo wapi.
Ni wapi kumefanyiwa hila n.k. Ukijibu hayo kwa kutumia hoja za Wanaopinga kwa kifungu na mantiki utasaidia kuonyesha chuki inayojengwa dhidi ya '' Waarabu'' na DP. Bila hivyo, utakuwa unajenga chuki

Kwa bahati nzuri sana Mohamed Said umefanya kazi Bandari katika nafasi kubwa. Unaelewa abcd zake.

Tueleze kwa kina na vifungu, uzuri wa Mkataba ili tuoene chuki za Wanaopinga mkataba dhidi ya DP
Ukitueleza kwa mtindo rahisi kama uliopo katika bandiko lako, huitendei haki jamii yako na Taifa

4. Umeunganisha Chadema na Wakatoliki kwa ushirika wa hujuma. Sijui kama unajua ACT Wazalendo, CUF ya Lipumba walipinga Mkataba. Ulichokifanya ni 'selective amnesia' ( hukumbuki baadhi ya mambo kwa kuchagua).

Lakini pia Mohamed una ji-contradict. Leo unasema Waislam walikataa wakiunga mkono DP ukiwanasibisha na CCM. Ni hawa CCM iliyokuwa TANU unaowatuhumu kila siku kwa madhila dhidi ya Waislam.

Ni hawa CCM na Serikali yao wasiojibu hoja mlizopeleka 'Bungeni'. Ni hawa waliolea 'mfumo kristo' kwa miaka dahar kwa mujibu wa Mohamed Said . Leo hao wamegeuka wema kwa Waislam!!! Leo Chadema ndio imebeba madhila na yote unayolalamikia! Lini Chadema iliwahi kuongoza nchi kwa sekunde 1.

Kumbuka kwamba Chadema ni Wapinzani , wana mitazamo yao, kuchomeka udini ni kiwango cha chini sana.
Kuna hoja zinaweza kujadiliwa, hili si mojawapo. Wenye Weledi bila kujali itikadi zao wanaiangalia nchi kwanza!

Katika karne hii bado tunatazamana kwa taswira za Wazzungu na Waarabu!

5. Ziara ya Pope Tanzania ilifanyika wakati wa A.H, Mwinyi. Kwanini hili lionekane ni jambo geni.
Huko ulikohamia kwa Mtikila mimi siendi kwasababu hoja ni bandiko lako na hilo ndilo tujadili.

Kwa mtazamo huu, nimeshauri uondoe bandiko lako si kwasababu linakera , la hasha! ni jepesi sana kwa mtu mwenye kalamu kubwa kama yako. Ninahofu sana asijetokea mpuuzi akashawishika kukuomba hiyo kalamu !

JokaKuu Pascal Mayalla Mag3
Nguruvi3,
Nitaanza na aitakae kalamu yangu.

Hata huko kwenu kalamu zipo na ikiwa itaombwa yangu na huku wako waombaji pia na wao kwa kushawishika pia wataomba kalamu kutoka kwenu.

Wala usighafilike katika hili kwani halina shaka.
Ikiwa hutaki kuingia kwa Mtikila hiyo ni khiyari yako.

Lakini mchezo huu ndivyo ulivyochezwa.

Sasa nachukua nilipoishia kwa Mtikila na kusonga mbele.

Utaona sheria za mchezo zilivyobadilika wakati ule kama zinavyobadilika hivi sasa.

Naanza.

Toleo la Rais Mwinyi la Africa Events yuko kwenye meli inayopigwa mabomu ilikuwa ni ''lead story'' yangu na sababu yake ni kuwa Ahmed Saleh Yahya wakati huo akiwa mhariri wa Africa Events alikuja Dar es Salaam na tukawa na mazungumzo kuhusu matatizo aliyokuwa anapata Rais Mwinyi kutoka vyombo vya habari Tanzania pamoja na magazeti ya chama chake akiwa Mwenyekiti na gazeti la serikali akiwa ndiye Rais.

Rais Mwinyi akishambuliwa sana na magazeti na Pastoral Letters.

Ahmed Yahya akaniuliza hii iinawezekana vipi?

Mimi nikamueleza kwa nini inakuwa hivyo.

Siasa za Tanzania ni za aina yake kwa watu fulani.

Hapo tuko katika hoteli moja maarufu inaitwa Chef Pride iko Chagga Street na ndiyo ilikuwa kijiwe changu nikija Dar kutoka Tanga.

Basi niko hapo na Sheikh Ahmed tunashusha chai kababu na sambusa.

Mimi Ahmed Yahya aliponipigia simu kuniambia kuwa yuko mjini na ananiomba tunywe chai pamoja nikajua lipo jambo.

(Nasema liko jambo kwa kuwa AE na jamaa hawa walikubaliana kitu baina yao kuhusu makala zangu lakini hiki ni kisa kingine iko siku In Shaa Allah nitakieleza).

Waamerika wana msemo, ''There is no free lunch in America.''

Ukiona mtu kakualika anakununulia chakula jua utalipa kwa njia nyingine.
Nasema haya kunogesha barza.

Nimekula sana biriani za marehemu Ahmed Yahya London bure na hakunituma kazi.

Sheikh Ahmed akaniomba niandike makala moja kama njia ya kumsaidia mzee wetu.

Ndiyo nikaandika hiyo makala na wakati huo Africa Events walikuwa wameacha kuchapa makala zangu kwa muda mrefu.

Makala hii walichapa kama makala ya ''Special Correspondent.''

Hiki ni kisa kingine Insha Allah iko siku ikipatikana fursa nitakieleza.

Nani anamsaliti nani haya nakuachia msomaji.

Kilichonifurahisha mimi katika toleo hili ni hiyo, ''caricuture'' ya Rais Mwinyi yuko juu ya chombo kinataka kuzama baada ya kupigwa bomu na kushika moto.

Kwa nini hapakuwa na gazeti lolote kumsaidia Rais Mwinyi wakamwacha anashambuliwa na kupigwa kutoka pande zote kama paka mwizi?

Huko ndipo tulipotoka na katika safari hii ''underdog'' kajifunza mengi sana.

Sasa wanajua namna ya kujihami na shari zinazoelekezwa kwao.

Ndiyo maana kwa hili la Waarabu na bandari ukaona mko peke yenu ingawa unasema ACT Wazalendo walipinga.

Kupinga kwao kulikuwa kinamna.

Hawakuwa na ujasiri wa kuonekana wako na waleee!

 
Nguruvi3,
Nitaanza na aitakae kalamu yangu.
Hata huko kwenu kalamu zipo na ikiwa itaombwa yangu na huku wako na wao wataomba kalamu kutoka kwenu.

Wala usighafilike katika hili.

Ikiwa hutaki kuingia kwa Mtikila hiyo ni khiyari yako.

Lakini mchezo huu ndivyo ulivyochezwa.

Sasa nachukua nilipoishia kwa Mtikila na kusonga mbele.

Utaona sheria za mchezo zilivyobadilika wakati ule kama zinavyobadilika hivi sasa.
Mohamed, tulijadili bandiko lako kwa hoja ulizoleta ili tusiwapoteze Wasomaji, ndivyo nilivyojibu hoja kwa bandiko langu #54. Mtikila amefariki kabla ya Waarabu, DP, Muungano wa Chadema na TEC, Waislam na CCM.
Tu focus katika mada tafadhali.
 
Mohamed, tulijadili bandiko lako kwa hoja ulizoleta ili tusiwapoteze Wasomaji, ndivyo nilivyojibu hoja kwa bandiko langu #54. Mtikila amefariki kabla ya Waarabu, DP, Muungano wa Chadema na TEC, Waislam na CCM.
Tu focus katika mada tafadhali.
Nguruvi3,
Unataka mimi niandike kwa maelekezo yako?
 
Nguruvi3,

Naanza.

Toleo la Rais Mwinyi la Africa Events yuko kwenye meli inayopigwa mabomu ilikuwa ni ''lead story'' yangu na sababu yake ni kuwa Ahmed Saleh Yahya wakati huo akiwa mhariri wa Africa Events alikuja Dar es Salaam na tukawa na mazungumzo kuhusu matatizo aliyokuwa anapata Rais Mwinyi kutoka vyombo vya habari Tanzania pamoja na magazeti ya chama chake akiwa Mwenyekiti na gazeti la serikali akiwa ndiye Rais.

Rais Mwinyi akishambuliwa sana na magazeti na Pastoral Letters.

Ahmed Yahya akaniuliza hii iinawezekana vipi?

Mimi nikamueleza kwa nini inakuwa hivyo.

Siasa za Tanzania ni za aina yake kwa watu fulani.

Hapo tuko katika hoteli moja maarufu inaitwa Chef Pride iko Chagga Street na ndiyo ilikuwa kijiwe changu nikija Dar kutoka Tanga.

Basi niko hapo na Sheikh Ahmed tunashusha chai kababu na sambusa.

Mimi Ahmed Yahya aliponipigia simu kuniambia kuwa yuko mjini na ananiomba tunywe chai pamoja nikajua lipo jambo.

(Nasema liko jambo kwa kuwa AE na jamaa hawa walikubaliana kitu baina yao kuhusu makala zangu lakini hiki ni kisa kingine iko siku In Shaa Allah nitakieleza).

Waamerika wana msemo, ''There is no free lunch in America.''
Ukiona mtu kakualika anakununulia chakula jua utalipa kwa njia nyingine.
Nasema haya kunogesha barza.

Nimekula sana biriani za marehemu Ahmed Yahya London bure na hakunituma kazi.
Sheikh Ahmed akaniomba niandike makala moja kama njia ya kumsaidia mzee wetu.
Ndiyo nikaandika hiyo makala na wakati huo Africa Events walikuwa wameacha kuchapa makala zangu kwa muda mrefu.

Makala hii walichapa kama makala ya ''Special Correspondent.''

Hiki ni kisa kingine Insha Allah iko siku ikipatikana fursa nitakieleza.

Nani anamsaliti nani haya nakuachia msomaji.

Kilichonifurahisha mimi katika toleo hili ni hiyo, ''caricuture'' ya Rais Mwinyi yuko juu ya chombo kinataka kuzama baada ya kupigwa bomu na kushika moto.

Kwa nini hapakuwa na gazeti lolote kumsaidia Rais Mwinyi wakamwacha anashambuliwa na kupigwa kutoka pande zote kama paka mwizi?

Huko ndipo tulipotoka na katika safari hii ''underdog'' kajifunza mengi sana.

Sasa wanajua namna ya kujihami na shari zinazoelekezwa kwao.

Ndiyo maana kwa hili la Waarabu na bandari ukaona mko peke yenu ingawa unasema ACT Wazalendo walipinga.

Kupinga kwao kulikuwa kinamna.

Hawakuwa na ujasiri wa kuonekana wako na waleee!
Mohamed, ukisyasoma haya utaona kwamba;
Mosi , hujaweza ku-support hoja yako ya bandiko #1 au japo kuoanisha unachoeleza hapa na kile cha bandiko#1
Pili, kwavile tunajadiliana na nina hoja bandiko #54 zinahusiana na bandiko lako#1 hujazitolea maoni yako.

Tusitoke katika mjadala na kuwapoteza Wasomaji wasijue au kuweza kuoanisha mada na maoni husika.

Sina haki wala sababu yoyote ya kukushwishi uandike kwa namna yoyote ile, lakini ukweli wa kwamba tubaki katika mada haupingiki hasa katika minakasha yenye mitazamo ya mambo mzito.
 
Mohamed, ukisyasoma haya utaona kwamba;
Mosi , hujaweza ku-support hoja yako ya bandiko #1 au japo kuoanisha unachoeleza hapa na kile cha bandiko#1
Pili, kwavile tunajadiliana na nina hoja bandiko #54 zinahusiana na bandiko lako#1 hujazitolea maoni yako.

Tusitoke katika mjadala na kuwapoteza Wasomaji wasijue au kuweza kuoanisha mada na maoni husika.

Sina haki wala sababu yoyote ya kukushwishi uandike kwa namna yoyote ile, lakini ukweli wa kwamba tubaki katika mada haupingiki hasa katika minakasha yenye mitazamo ya mambo mzito.
Nguruvi3,
Sina la zaidi katika hili.
 
Back
Top Bottom