Suala la Bandari TEC hawakupata kama walivyozoea

Suala la Bandari TEC hawakupata kama walivyozoea

Van...
Unataka nikujibu kama utakavyo wewe?
Hili mbona haliwezekani?

Binadamu tumeghitililafiana katika kuwaza.
Wala sikimbilii kwa yoyote awaye yule.

Huo ndiyo msingi wa kuelewa vipi wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika hatukuwaona TEC na mfano wa TEC au Mtikila na mfano wa Mtikila.

Hapo ni wewe kujiuliza kwa nini hawakuwapo katika harakati za kupigania uhuru?

Kitu kikubwa katika kalamu yangu ni kule kukupeni historia ambayo nyinyi hamkupata hata siku moja kuisikia ikisomeshwa si shule ya msingi, sekondari na vyuoni.

Kwengine ninapoalikwa kuzungumza maswali nipatayo ni tofauti sana na maswali nipokeayo hapa.

Hapa historia hii inawakasirisha.
Huko kwengine historia hii inawashangaza.

Mathalan wataniuliza inakuwaje Idara ya Historia Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam na katika vyuo vikuu vingine havijaweza kutafiti na kuandika historia hii?

Wananiuliza kuhusu mashujaa waliopigania uhuru wa Tanganyika baada ya mimi kuandika historia zao kimetokea nini?

Wametambuliwa na juhudi zimefanywa kusomesha historia hii?
Hawanishutumu kwa udini.

Van...
Unataka nikujibu kama utakavyo wewe?
Hili mbona haliwezekani?

Binadamu tumeghitililafiana katika kuwaza.
Wala sikimbilii kwa yoyote awaye yule.

Huo ndiyo msingi wa kuelewa vipi wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika hatukuwaona TEC na mfano wa TEC au Mtikila na mfano wa Mtikila.

Hapo ni wewe kujiuliza kwa nini hawakuwapo katika harakati za kupigania uhuru?

Kitu kikubwa katika kalamu yangu ni kule kukupeni historia ambayo nyinyi hamkupata hata siku moja kuisikia ikisomeshwa si shule ya msingi, sekondari na vyuoni.

Kwengine ninapoalikwa kuzungumza maswali nipatayo ni tofauti sana na maswali nipokeayo hapa.

Hapa historia hii inawakasirisha.
Huko kwengine historia hii inawashangaza.

Mathalan wataniuliza inakuwaje Idara ya Historia Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam na katika vyuo vikuu vingine havijaweza kutafiti na kuandika historia hii?

Wananiuliza kuhusu mashujaa waliopigania uhuru wa Tanganyika baada ya mimi kuandika historia zao kimetokea nini?

Wametambuliwa na juhudi zimefanywa kusomesha historia hii?
Hawanishutumu kwa udini.
Hata mimi sikutegemea kabisa uwe na majibu ya maana mzee wangu.
 
ni kitu kibaya na cha huzuni sana kuwa mzee halafu unakuwa huna akili, miaka yote uliyoishi unakuwa haujajifunza, na haujawa na faida.

Mohamedsaid analalamika sana na anaamini waislam wanafelishwa tu kwenye mitihani, amesahau kuwa waalimu wanaofundisha na kusahihisha mitihani ya taifa ni wa dini zote, waislam pia wanasahihisha mitihani ya taifa ambayo huyu mzee anailalamikia. au tuamue siku moja tuwape marks za bure wote, hata waliopata zero.

pili, Zanzibar waalimu wote ni waislam, shule/skuli zao zinafundishwa na waislam, mitihani ya taifa inasahihishwa na waislam, na ni waaminifu kwelikweli marks wanaziweka sahihi, wanashika mkia miaka yote.

shida sio ubongo wa mwanadamu Muislam, shida ni tamaduni, utamaduni wa Muislam umewekwa kiupinzani sana na shule ya elimu dunia kiasi kwamba ukiwawe watu wawili mmoja mwenye utamaduni wa kiislam na mwingine utamaduni wa kikristo, mmoja atamzidi mwenzake kimasomo. ushahidi mzuri angalia wale waislam wasomi, wale ambao hawapotezi muda mrefu kwa mtoto wao kusoma madrasa, mtoto anaanza kusoma chekechea tangu akiwa mdogo anaunganisha primary badala ya kupoteza muda mrefu kumsubject kwenye madrasa na kukariri kuran. angalia nchi kama Uturuki ambako uislam wao sio wa siasa kali, wanajali elimu na hawapotezi muda kwenye mambo ya ajabu hayo. hayo yanawapotezea muda sana.

mwisho, Nyerere ili kuwafurahisha mashehe alinyang'anya shule nyingi sana za wakristo akazifanya za serikali ili tu tufanane, wote tusome. ajabu yake, hapakuwa na shule ya waislam hata moja ya kunyang'anya, wakristo tu ndo walinyang'anywa shule zilizojengwa kwa pesa ya sadaka za wazungu, wala sio pesa ya wabongo. ila hadi leo watu hawaridhiki. wamepewa chuo cha morogoro ili nao basi waonekane, lakin bado wanashindwa kushindana na st. augustine na vyuo vingine vya kikristo ambayo vinapokea hadi watoto wao, na kile cha morogoro kimejaa waislam watupu. lakini bado wanalalamika. hili zee ni mbumbumbu sana na yale mavitabu yake ya kusadikika. na ni mtu hatari kwa taifa hili.

huyu ndiye mzee aliyekuwepo kwenye fujo tangu za mwembechai kipindi kile, na siku zote amekaririwa akiwaita wakristo makafiri na anaamini hatutakiwi kuwa na umoja. kama unabisha sema niweke clip hapa. haya ndio mashetani ya amani ya Tanzania hii.
Mfalme...
Unasema sina faida.
Si kweli.

Nimeandika kitabu maarufu na naamini utakuwa umekisikia kitabu kilichorekebisha historia ya uhuru wa Tanganyika.

Tatizo la elimu hapa tumelijadili sana kwa mimi kuleta ushahidi kuwa lipo tatizo.

Mimi ningekuwa hatari kwa taifa tayari ningefikishwa mahakamani.

Niko hapa kwa jina langu halisi na kwa picha na sauti.

Wewe unaandika umejificha.

Maandamano ya Mwembechai 1998 nilikuwa nje ya nchi lakini nilishiriki maandamano yale ya.liyofanyika baada ya masheikh kukamatwa kutokana na kuvunjwa kwa mabucha.

Nakuruhusu weka hiyo clip hakuna tatizo.

Umeandika unanitukana kwa kuniita "hili zee."

Nitafurahi kama utaniita "huyu mzee."

Umeghadhibika.

Hakika mimi si kijana tena ni mzee khasa.
 
Mzee Mohamed Said unapoelekea utakuwa na roho/siha ya kigaidi aliyekuwa sheikh Ilunga..
Mungu akusaidie usifike huko
Inside...
Kila mwandishi ana kipindi katika maisha yake kalamu yake inapokuwa iko juu yaani "peak," kupita wakati mwingine wowote.

Mimi naelekea wapi?

Inabidi usome vitabu nilivyoandika na ''paper'' zangu ingawa hata hapa JF unaweza ukanipitishia tathmini.

Nakusaidia.

Hapa JF nimekuwa Mwandishi Bora Jukwaa la Historia mara mbili mfululizo mwaka wa 2021 na 2022.

Huu ndiyo mwelekeo wangu.

1706471458675.png

JF 2021
1706471784913.png

JF 2022​
 
Hahaaa mkuu hii comment yako mzee kaenda anzishia uzi fb nimecheka kama mwehu🤣🤣
Inside...
Kila ninapoweka makala hapa JF ni kawaida yangu kuweka hiyo makala FB, Whatsapp na kwengineko.

Kilichokuchekesha ni nini?
Kwa kuweka hayo niliyoandika hapa FB?

Huyu ndugu yetu katukana kwa kuwaita Waislam wajinga.

Mimi nimeona fursa katika hayo matusi yake niyatumie kuelimisha jamii.

Ndiyo nikaweka historia ya Waislam wake kwa waume waliopigania uhuru wa Tanganyika kwa kujipambanua katika michango yao.

Kwa hali ya kawaida hili si jambo la kuchekesha.

Zaidi na hili huliona kwingi watu wakishasoma kile ambacho hawakifahamu huniuliza maswali zaidi.

Mathalan watauliza huyu Bi. Mwamtoro bint Chuma ana mchango gani katika kupigania uhuru wa Tanganyika?

Nami nitamjibu kuwa nyumba yake ilikuwa na bado hadi leo iko nyuma ya Ofisi Ndogo ya CCM miaka hiyo nyuma ya ofisi ya TANU.

Mwanae Bi. Mwamtoro ni Sheikh Haidar Mwinyimvua kati ya watu waliokuwa mkono wa kulia wa Mwalimu Nyerere wakati wa kupigania uhuru.

Bi. Mwamtoro alitoa nyumba yake hii kwa TANU akiiunganisha ua kwa ajili ya kufanya mikutano ya ndani na Nyerere akija kuzungumza na wanachama wa TANU.

Ajabu kwako ni kuwa hawa waliopigania uhuru wametukanwa na mimi naeleza historia yao kulinda heshima yao wewe unaona ni kitu cha kuchekesha.

1706498999892.jpeg
 
Leo najibu video anakuja mtu ananiambia nifute majibu yangu yaliyoko JF na tayari mtandaoni yanasomwa.
Huyo aliyesema ni mimi katika bandiko#46. Sikusema ufute, nilikushauri ufute nikisisitiza una haki ya kutoa maoni.
''Key word-Ushauri''

Baada ya kupuuza ushauri unaona jinsi ambavyo huwezi kusimama kutetea kile ulichoandika.
1. Nilikujibu, maoni ya Ansbert hayakueleza ukweli au uongo, yaliweka hali ilivyo kutokana na sakata la Ziara.

Alisema ikiwa mwaliko ni wa Serikali au Vatican iulizwe Serikali, akaeleza maongezi na mtu wake, hakusema ni lazima yawe kweli. Nilimalizia kwamba mleta video ana haki ya maoni kama ambavyo wewe unayo pia.

Ulimfungamanisha Msemaji na Ukatoliki, nikahoji ikiwa ni hivyo nawe pia unaongea kwa niaba ya Waislam?

2. Ukaleta hoja ya ' Waarab na DP''. Nilikuuliza kwani Uarabu ni tusi? Mbona tuna Wazungu ! kwanini lisiwe tusi?

Kuhusu DP nikakushauri kama Mfanyakazi mstaafu wa Bandari Tanzania , waeleze Wanaopinga Mkataba kwa vifungu ni wapi wanakosea. Hapa ungesaidia sana una weledi na Bandari. Kusema ni kwasababu Rais ni Mwislam si hoja wala haijibu hoja au kifungu chochote. Waeleze watu Uzuri wa Mkataba kwa hoja

3. Ukazungumzia Chadema na Wakatoliki kama Wapinga Mkataba. Nikakueleza ikiwa wanapinga kwa vifungu, virejee vifungu hivyo uonyeshe hilza zao. Lakini pia kwani ilikuwa ni CDM pekee?

Mbona ACT ya Zitto na CUF ya Lipumba walipinga! Kwanini UNA ushahaulifu wa kuchagua 'selective amnesia''.

4. Nilikuuliza, ikiwa CCM waliungana na Waislam kwa mujibu wako, si hao hao CCM unaowalalamikia kwa madhila ya Waislam kwa miaka 60! Huu uswahiba unaanza wapi na unaishia wapi. Lini Chadema ilitawala sekunde 1 na kuwaletea adha Waislam!

5. Mwisho tukakuuliza imekuwaje Serikali imebadilisha baadhi ya vifungu.

Tulidhani utabaki kwenye mada ukitoa elimu , kwa mshangao tunasoma hadithi za jinsi ulivyokutana na Nyerere( unayemchukia sana), Binti Mwangora, African Event, Mshume, Bwana fulani kutoka Ulaya ukituahca tumeduwaa.

Ikiwa huo ndio uwasilishaji wako na utetezi wa paper, naomba niwe peke yangu nisiyekuelewa!

Rudi kwenye mada, hizi habari nyingine zitengenezee mada tofauti. Usilete hoja halafu unakwepa kwa hadithi

Ushauri ulioupuuza wa kuondoa bandiko ni mzuri! nilidhamiria kukusetiri. Bandiko lipo chini ya kiwango!

Ahsante

 
Hivi ukiwa muislamu ni lazima uwe mjinga? Maana kati ya wajinga 10 basi utakuta 10 ni waislamu!
Nguruvi3,
Unajua tofauti kubwa kati yako na mimi ni kuwa wewe uko hapa umeficha jina lako, sura yako na sauti yako.

Mimi niko hapa kwa jina langu halisi, kwa sura na sauti.

Wewe umejificha mimi sijajificha.

Hebu jitokeze ufahamike.
Najaribu kuumiza kichwa hapa kwamba umeshindwa nini mpaka sasa kujua kama huo utafiti ni sahihi au siyo sahihi maana kwangu kupitia wewe naona mdau yupo sawa maana kwa ulichokuwa umeulizwa pale juu na ulichojibu aisee sijui hata wanao watakuwa wana akili gani kama baba uko hivi.
Ryzen,
Utafiti huu wa kati ya wajinga 10 utakuta 10 ni Waislam umeufanyaje ili nami niurudie kuhakikisha matokeo ya utafiti wako.
 
Huyo aliyesema ni mimi katika bandiko#46. Sikusema ufute, nilikushauri ufute nikisisitiza una haki ya kutoa maoni.
''Key word-Ushauri''

Baada ya kupuuza ushauri unaona jinsi ambavyo huwezi kusimama kutetea kile ulichoandika.
1. Nilikujibu, maoni ya Ansbert hayakueleza ukweli au uongo, yaliweka hali ilivyo kutokana na sakata la Ziara.

Alisema ikiwa mwaliko ni wa Serikali au Vatican iulizwe Serikali, akaeleza maongezi na mtu wake, hakusema ni lazima yawe kweli. Nilimalizia kwamba mleta video ana haki ya maoni kama ambavyo wewe unayo pia.

Ulimfungamanisha Msemaji na Ukatoliki, nikahoji ikiwa ni hivyo nawe pia unaongea kwa niaba ya Waislam?

2. Ukaleta hoja ya ' Waarab na DP''. Nilikuuliza kwani Uarabu ni tusi? Mbona tuna Wazungu ! kwanini lisiwe tusi?

Kuhusu DP nikakushauri kama Mfanyakazi mstaafu wa Bandari Tanzania , waeleze Wanaopinga Mkataba kwa vifungu ni wapi wanakosea. Hapa ungesaidia sana una weledi na Bandari. Kusema ni kwasababu Rais ni Mwislam si hoja wala haijibu hoja au kifungu chochote. Waeleze watu Uzuri wa Mkataba kwa hoja

3. Ukazungumzia Chadema na Wakatoliki kama Wapinga Mkataba. Nikakueleza ikiwa wanapinga kwa vifungu, virejee vifungu hivyo uonyeshe hilza zao. Lakini pia kwani ilikuwa ni CDM pekee?

Mbona ACT ya Zitto na CUF ya Lipumba walipinga! Kwanini UNA ushahaulifu wa kuchagua 'selective amnesia''.

4. Nilikuuliza, ikiwa CCM waliungana na Waislam kwa mujibu wako, si hao hao CCM unaowalalamikia kwa madhila ya Waislam kwa miaka 60! Huu uswahiba unaanza wapi na unaishia wapi. Lini Chadema ilitawala sekunde 1 na kuwaletea adha Waislam!

5. Mwisho tukakuuliza imekuwaje Serikali imebadilisha baadhi ya vifungu.

Tulidhani utabaki kwenye mada ukitoa elimu , kwa mshangao tunasoma hadithi za jinsi ulivyokutana na Nyerere( unayemchukia sana), Binti Mwangora, African Event, Mshume, Bwana fulani kutoka Ulaya ukituahca tumeduwaa.

Ikiwa huo ndio uwasilishaji wako na utetezi wa paper, naomba niwe peke yangu nisiyekuelewa!

Rudi kwenye mada, hizi habari nyingine zitengenezee mada tofauti. Usilete hoja halafu unakwepa kwa hadithi

Ushauri ulioupuuza wa kuondoa bandiko ni mzuri! nilidhamiria kukusetiri. Bandiko lipo chini ya kiwango!

Ahsante
Nguruvi3,
Bandiko langu kuwa chini ya kiwango kwangu si tatizo ikiwa hiyo ndiyo tathmini yako.
 
Naomba screenshot mkuu😂😂
Ryzen,
Angalia hapo chini:

AKUTUKANAE HAKUCHAGULII TUSI KUTOKA JF
Kauliza muulizaji: Ryzen said:
Ukiwa Muislamu ni lazima uwe mjinga?
Maana kati ya wajinga 10 basi utakuta 10 ni Waislamu!
(Kuandika vizuri hawezi nimehariri aliyoandika ili ipendeze hapa kwenye ukurasa wetu)
JIBU LANGU
Ryzen,

Utafiti huu wa kati ya wajinga 10 utakuta 10 ni Waislam umeufanyaje ili nami niurudie kuhakikisha matokeo ya utafiti wako.
Hebu tuangalie hapa chini:

Katika waasisi tisa wa African Association 1929 Dar es Salaam sita ni Waislam: Kleist Abdallah Sykes, Mzee bin Sudi, Ibrahim Hamisi, Zibe Kidasi, Ali Said Mpima na Suleiman Majisu.

Hawa ndiyo waliojenga ile nyumba kilipozaliwa chama cha TANU 1954.
Ujinga wa Waislam uko wapi?

Wajumbe wa TAA Political Sub Commitee 1950 walikuwa saba wanne Waislam na yumo Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir, Sheikh Said Chaurembo, Hamza Mwapachu na Abdul Sykes.

Hawa ndiyo walijenga msingi wa kuunda chama cha TANU kupigania uhuru wa Tanganyika.

Ujinga wa Waislam uko wapi?

Wanachama shupavu wa TANU Dar es Salaam: Sheikh Suleiman Takadir, Jumbe Tambaza, Mshume Kiyate, Mwinyijuma Mwinyikambi, Rajabu Diwani, Makisi Mbwana, Sheikh Haidari Mwinyimvua, Iddi Faizi Mafongo, Idd Tosiri, Sheikh Mohamed Ramia, Iddi Faizi, Iddi Tulio, Mashado Ramadhani Plantan na Schneider Abdillah Plantan.

Ujinga wa Waislam uko wapi?
Tuje kwa wanawake.

Sijui kama umepata kuyasikia majina haya katika wanachama wa mwanzo wa TANU: Tatu bint Mzee, Halima Khamis, Mwamtoro bint Chuma, Hawa bint Maftah, Nyange bint Chande, Zarula bint Abdulrahman, Shariffa bint Mzee, Mama bint Mwalimu, Fatma Matola, Amina Kinabo, Halima Selengia, Sophia Mustafa kwa kuwataja wachache.

Hawa wote naijua michango yao katika kupigania uhuru wa Tanganyika ukiwa utapenda naweza nikakuwekea hapa.

Ujinga wa Waislam uko wapi?

Waswahili tuna msemo, ''Akutukanae hakuchagulii tusi.''

Leo uhuru umepatikana na mnafaidika nao ijaza yetu ni kututukana?
Mama zetu na shangazi zetu wengi walinunua kadi za TANU kujiunga na mapambano ya kudai uhuru wa Tanganyika kutoka kwa Bi. Tatu bint Mzee.

Picha ya kwanza ni Bi. Tatu bint Mzee na picha ya pili ni Bi. Mwamtoro bint Chuma.

Picha ya tatu ni Sheikh Haidar Mwinyimvua mtoto wa Bi. Mwamtoro bint Chuma na picha ya nne ni Sheikh Suleiman Takadir.

1706546464737.png

1706546510260.png

1706546532686.png

1706546958916.png
 
Najaribu kuumiza kichwa hapa kwamba umeshindwa nini mpaka sasa kujua kama huo utafiti ni sahihi au siyo sahihi maana kwangu kupitia wewe naona mdau yupo sawa maana kwa ulichokuwa umeulizwa pale juu na ulichojib aisee sijui hata wanao watakuwa wana akili gani kama baba uko hivi.
Saint...
''Wanangu wakoje ikiwa baba uko hivi.''
Unauliza nikoje?:

PUBLICATIONS/RESEARCH PAPERS/ARTICLES

The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.

The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi, 2006

Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.

Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.

Uamuzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.

Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No. 1, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam.

Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No.2, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam

Dar es Salaam na Wazalendo Wake Mashujaa Katika Kupigani Uhuru wa Tanganyika Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaaam

Watu Mashuhuri Katika Kuulingania Uislam Tanzania, Sheikh Ilunga, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam

Dola, Kanisa na Tatizo la Udini Tanzania, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam

The School Trip to Zanzibar, Africa Proper Education Network 2020, Dar es Salaam

Rajabu Ibrahim Kirama, Jemadari wa Vita Kuwa Jemadari wa Uislam, Readit, 2020, Dar es Salaam

Sal Davis, An Autobiography, Readit/Amazon, 2023, Dar es Salaam

In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).

Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).

Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)

The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).

Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).

The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).

Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).

Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).

Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11th April 2004).

Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).

Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, Nairobi.

Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg.

Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.

Awards: Several Awards

Visiting Scholar: (2011)

University of Iowa, Iowa City, USA

Northwestern University, Chicago, Illinois, USA

Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.

OTHER COUNTRIES VISITED

Zambia, Ethiopia, Great Britain, Swaziland, Msumbiji, Zimbabwe, Zambia, Sudan, Egypt, Saudi Arabia, United Arab Emirates, Oman, Yemen, Uganda, Switzerland, Iran, France, Netherlands, Turkey and Abu Dhabi.



 
Kinj...
Tatizo la bandari kupewa Waarabu TEC na CHADEMA walisimama upande mmoja.

Sasa si mimi ndiye niliowaunganisha.

Hili la udini angalia wewe mwenyewe na fanya utafiti utajua.
Chadema sio Taasisi ya dini ata siku moja na haijifungamani na dini yoyote ile.

Wakati anakamatwa Sheikh Ponda,watu wa kwanza kupaza Sauti ni Chadema(Viongozi wa Kiislamu karibu wote walinyamaza kimya) lakini pia Chadema inataka taifa la kiislam la Zanzibar lipate uhuru ili ijiunge na OIC

Lakini kwa kuwa wewe ni mfia dini za Kiarabu ndiyo unataka uwaaminishe umma kuwa Waarabu ni watu wa muhimu sana na wanapaswa tuwape kila kitu
 
Mohamedsaid analalamika sana na anaamini waislam wanafelishwa tu kwenye mitihani, amesahau kuwa waalimu wanaofundisha na kusahihisha mitihani ya taifa ni wa dini zote, waislam pia wanasahihisha mitihani ya taifa ambayo huyu mzee anailalamikia. au tuamue siku moja tuwape marks za bure wote, hata waliopata zero.

pili, Zanzibar waalimu wote ni waislam, shule/skuli zao zinafundishwa na waislam, mitihani ya taifa inasahihishwa na waislam, na ni waaminifu kwelikweli marks wanaziweka sahihi, wanashika mkia miaka yote.
Mkuu Mfalme Sulemani , hili jambo la Waislamu kufeli ilmu dunia niliwahi kuliulizia hapa Inawezekana Vipi Zanzibar Kuna Div I, Div II, na Div III Chache, Ila Div IV na Div Zero Nyingi?!. sasa leo ndio nimepata majibu na kuijua sababu inayochangia.
P
 
Peace...
Nina rafiki yangu mtu wa kujiweza sana.

Ameondoka Tanzania miaka mingi iliyopita.

Kila akija Tanzania hakosi kunitembelea nyumbani.

Siku alipokuja Maktaba akaniuliza kwa nini hadi leo sijatundika picha ya Mwalimu Julius Nyerere aliyopiga na Baraza la Wazee wa TANU mwaka 1957.

Picha hii yeye katundika ofisini kwake.

Nikamjibu kuwa haijanipitikia kufanya hivyo.

"Mohamed nipatie picha ya Nyerere kapiga na maaskofu wakati wa kupigania uhuru kama alivyopiga na Baraza la Wazee wa TANU nitakupa milioni 1."

Sijaweza kupata picha hii na yeye kila akiniuliza kuhusu picha namjibu sijapata.

Yeye hucheka kisha akapandisha dau juu.

Bei ya picha hii sasa thamani yake inakaribia shilingi za Kitanzania 10m.

Nadhani huyu rafiki yangu anajua kama picha hii haipo ndiyo maana anapandisha dau kila mwaka bila wasiwasi.
Rafiki yako mtu wa kujiweza alikuomba picha ya Nyerere na maaskofu? Hiyo maktaba yako ni sehemu ya kanisa? Kwani hakukuomba picha ya Nyerere na Mashek? Hebu punguza udini basi. Husichanganye mambo ya siasa na itikadi za kidini? Inaonyesha huyo rafiki yako ni mnafiki wa kiwango cha hali ya juu. Anawezaje kuomba kitu ilihali anajuwa hauna, alafu anajifanya kupandisha dau?
 
Rafiki yako mtu wa kujiweza alikuomba picha ya Nyerere na maaskofu? Hiyo maktaba yako ni sehemu ya kanisa? Kwani hakukuomba picha ya Nyerere na Mashek? Hebu punguza udini basi. Husichanganye mambo ya siasa na itikadi za kidini? Inaonyesha huyo rafiki yako ni mnafiki wa kiwango cha hali ya juu. Anawezaje kuomba kitu ilihali anajuwa hauna, alafu anajifanya kupandisha dau?
Mbussi,
Kuna picha maarufu ya Nyerere na Baraza la Wazee wa TANU.
Picha hii haikuwapo popote.

Picha hii aliipata kwangu na akaipenda na ndiyo sababu ya yeye kuniomba nimtafutie picha ya Nyerere na Maaskofu.

Mimi humtania namwambia labda nikupe ya kuchora.

Najua anajua hii picha ya Nyerere na Maaskofu haipo lakini hupenda kunicheza shere.

Wala si suala la unafiki bali maskhara kati ya marafiki wawili.

Ukweli ni kuwa Waislam mchango wao katika kupigania uhuru wa Tanganyika ni wa pekee sana.

Hii ndiyo sababu iliyonisukuma mimi kuandika historia hii.
Huu si udini.

Mchango wa Wakikuyu na Mau Mau katika kupigania uhuru wa Kenya ni wa pekee.

Kuandika historia ya Wakikuyu na mchango wao katika uhuru wa Kenya si ukabila.

1706610273778.png
 
Mbussi,
Kuna picha maarufu ya Nyerere na Baraza la Wazee wa TANU.
Picha hii haikuwapo popote.

Picha hii aliipata kwangu na akaipenda na ndiyo sababu ya yeye kuniomba nimtafutie picha ya Nyerere na Maaskofu.

Mimi humtania namwambia labda nikupe ya kuchora.

Najua anajua hii picha ya Nyerere na Maaskofu haipo lakini hupenda kunicheza shere.

Wala si suala la unafiki bali maskhara kati ya marafiki wawili.

Ukweli ni kuwa Waislam mchango wao katika kupigania uhuru wa Tanganyika ni wa pekee sana.

Hii ndiyo sababu iliyonisukuma mimi kuandika historia hii.
Huu si udini.

Mchango wa Wakikuyu na Mau Mau katika kupigania uhuru wa Kenya ni wa pekee.

Kuandika historia ya Wakikuyu na mchango wao katika uhuru wa Kenya si ukabila.

View attachment 2888466
Bwana Said, makala zako nyingi ikiwemo hii mada mama ya mwaliko wa Rais huko Vatican unayoihusiyanisha na kufeli kwa TEC na Chadema kwenye mkataba wa bandari, inaonyesha wazi ulivyo mdini. TEC kama taasis inayogusa maisha ya watu na Chadema kama chama cha siasa walikuwa na ubaya gani kuhoji ingredients za mkataba wa hovyo? Ni udini wenu tu uliopelekea kuhisi kwamba wanaupinga ule mkaba kwasababu waliopewa ni Waarabu (Waislam).

Hivyohivyo Nyerere alipiga picha na wazee wa TANU kama watu waliokuwa na nia moja ya kutafuta Uhuru wa nchi bila kujali dini za hao wazee. Ni wewe na wadini wenzio akiwemo huyo rafiki yako mnaotafsiri vibaya hiyo picha na kuihusianisha na udini. Tuambie kama lengo la uhuru lilikuwa ni kueneza dini ya Kiislam hapa nchini.

Rafiki yako angekuuliza vipi picha ya Nyerere na maaskofu hali akijua hakuna picha kama hiyo? Was a mocking, right? Ni bahati mbaya hao maaskofu unaowasema, hata kama walipiga picha na Nyerere huwezi watambua kwasababu mavazi yao ya kiuaskofu ukomea kanisani tu, huku uraiani normally uonekana civilian.
 
Back
Top Bottom