Suala la Bandari tukubali tunahitaji msaada

Suala la Bandari tukubali tunahitaji msaada

hp4510

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
7,235
Reaction score
7,392
Wandugu me naungana na serikali Kwa 100% kwenye hili Jambo la bandari

Jamani kuna mambo lazima tukubali kusaidiwa because Sisi wenyewe tumefeli huo ni ukweli na sio dhambi

Mara zote bandari ilikuwa chini yetu, wizi ni mwingi, ubadhirifu ni mwingi, huduma mbovu ela hakuna

Sasa Leo anakuja mtu kuchukua bandari Kwa mwaka na akatulipa ela yetu ambayo wakati watanzania wako kwenye mamlaka tulikuwa hatuipati then why tuache hiyo deal?

Mimi nashauri serikali, itake the deal, muhimu ni kupata ela Tu.

Na wasiishie kwenye bandari, waende na kwenye mabasi ya mwendokasi na hata kwenye tren ya SGR

Wabongo sisi tuna makelele mengi ila tulipewa kurun miradi mikubwa hatuwezi, huo ndio ukweli


Serikali fanyeni haraka deal ikamilike
 
Kama tumefeli, basi tumuombe msamaha muingereza kwa kuomba kujitawala kisha tumkabidhi nchi tena tumuombe atufundishe kujitawala. Tukiweza ndo aturudishie nchi yetu.

Tunaweza Kwa mambo mengine, Ila sio mambo kama haya

Angalia Tu miradi ambayo Sisi wenyewe tunasimamia Kwa 100% uone hiyo miradi ilivyo

Angalia Mradi wa Mabasi ya haraka, angalia ATCL kila siku ni shida tu

Ndege ya saa tano asubuh inasogezwa mbele mpaka saa 12 jioni
 
Wabongo hapa haki ya mungu unatuonea, sie wabongo hatuteui wala kuajiri hao watu, walioko juu wenyewe kwa wenyewe ndio wanazingua. Hasira zinakuja wamejichagua wenyewe na mikono yao michafu sasa wanapambana wenyewe kwa wenyewe ndio ugomvi wenu ulipo.

Mpo nyie na wale sasa nyie mmeamua tukose wote na wale wa zamani hawataki mirija ikatike. Yote haya hayana manufaa kwa mtanzania mmojamoja zaidi ya magenge ya mafisadi.

Tumeshasema sana kuhusu Bandari, Mwendo Kasi, SGR na ATCL kwa tabia zenu za ulafi mnaenda kututwisha mideni mikubwa. Kwa mfano mihela yote iliyowekwa SGR ndio wameleta behewa 6 tu na tumeambiwa za ghorofa (mibugando) yaani nyie, lazima mkubari kushiba sasa mmeshashiba acheni na wengine waonyeshe ujuzi wao.

Some times tunatamani vita kichafuke tuwanyooshe wasio tusikia na kutudhiahaki.
 
Wabongo hapa haki ya mungu unatuonea, sie wabongo hatuteui wala kuajiri hao watu, walioko juu wenyewe kwa wenyewe ndio wanazingua. Hasira zinakuja wamejichagua wenyewe na mikono yao michafu sasa wanapambana wenyewe kwa wenyewe ndio ugomvi wenu ulipo.

Mpo nyie na wale sasa nyie mmeamua tukose wote na wale wa zamani hawataki mirija ikatike. Yote haya hayana manufaa kwa mtanzania mmojamoja zaidi ya magenge ya mafisadi.

Tumeshasema sana kuhusu Bandari, Mwendo Kasi, SGR na ATCL kwa tabia zenu za ulafi mnaenda kututwisha mideni mikubwa. Kwa mfano mihela yote iliyowekwa SGR ndio wameleta behewa 6 tu na tumeambiwa za ghorofa (mibugando) yaani nyie, lazima mkubari kushiba sasa mmeshashiba acheni na wengine waonyeshe ujuzi wao.

Some times tunatamani vita kichafuke tuwanyooshe wasio tusikia na kutudhiahaki.
Ha haha Kaka punguza hasira, vita ni hatari Sana.

Anyway sasa Kwa hoja yako means hatuaminiani tena

Hatuamini hata teuzi za viongozi wetu wanazozifanya

Ila Kwa sasa Acha tusaidiwe Tu hakuna namna Hali ni mbaya
 
Kiongozi sababu zilisababishwa tufeli ni zipi ? Na wageni wakija sisi tutafaidika vipi.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app

Wageni wakija wanatupa ela ambayo Kwa sasa hatupati

Utendaji wote ni chini Yao, Ila mwisho wa mwezi wanatulipa ela yetu no matter wamepata hasara au faida

Sisi ela yetu Iko pale pale
 
Wageni wakija wanatupa ela ambayo Kwa sasa hatupati

Utendaji wote ni chini Yao, Ila mwisho wa mwezi wanatulipa ela yetu no matter wamepata hasara au faida

Sisi ela yetu Iko pale pale
Tatizo letu kubwa ni ufanisi na uwajibikaji ,wanaweza wakaja hata hao wawekezaji ukaambiwa wanapata hasara

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom