Suala la Bandari tukubali tunahitaji msaada

Suala la Bandari tukubali tunahitaji msaada

Wandugu me naungana na serikali Kwa 100% kwenye hili Jambo la bandari

Jamani kuna mambo lazima tukubali kusaidiwa because Sisi wenyewe tumefeli huo ni ukweli na sio dhambi

Mara zote bandari ilikuwa chini yetu, wizi ni mwingi, ubadhirifu ni mwingi, huduma mbovu ela hakuna

Sasa Leo anakuja mtu kuchukua bandari Kwa mwaka na akatulipa ela yetu ambayo wakati watanzania wako kwenye mamlaka tulikuwa hatuipati then why tuache hiyo deal?

Mimi nashauri serikali, itake the deal, muhimu ni kupata ela Tu.

Na wasiishie kwenye bandari, waende na kwenye mabasi ya mwendokasi na hata kwenye tren ya SGR

Wabongo sisi tuna makelele mengi ila tulipewa kurun miradi mikubwa hatuwezi, huo ndio ukweli


Serikali fanyeni haraka deal ikamilike
Anza wewe kutafuta mtu wa kukusaidia mkeo.

Bandari haijatushinda, KAZI ya viongozi ni kuhakikisha mtandao wa wizi unaondoka, ufanisi unaongezeka,

Kama wameshindwa, chama kingine kipewe hatamu, kije na mikakati thabiti.

Sa100 must go.
 
Anza wewe kutafuta mtu wa kukusaidia mkeo.

Bandari haijatushinda, KAZI ya viongozi ni kuhakikisha mtandao wa wizi unaondoka, ufanisi unaongezeka,

Kama wameshindwa, chama kingine kipewe hatamu, kije na mikakati thabiti.

Sa100 must go.
Haya kakipe iyo hatamu icho chama kingine
 
Kama tumefeli, basi tumuombe msamaha muingereza kwa kuomba kujitawala kisha tumkabidhi nchi tena tumuombe atufundishe kujitawala. Tukiweza ndo aturudishie nchi yetu.
Dp world inamilikiwa tu na Dubai ila haimaanishi wafanyakazi wake ni Watu wa Dubai, humo ni muunganiko wa makampuni kibao yanayohusika na Bandari. Ina Talents za Dunia Nzima, Wahindi, Wazungu, Walatino etc.

Wenzetu hawaangalii hayo mambo yenu ya Ki jamaa na uzalendo wa KINAFIKI, bali wanaoangalia uwezo wa mtu binafsi. Leo hii watu Wa Dubai wangesema Kampuni ni ya Dubai Na wasiajiriwe Wazungu na Wahindi pengine Dp world isingefika hapa lilipo.

Jamaa wana Track record ya kutosha, CV yao inajulikana na hawashindwi kitu, kama watu wapo serious waje, miaka 2 tu bandari ile Inabadilika mnasahau.
 
Wabongo hapa haki ya mungu unatuonea, sie wabongo hatuteui wala kuajiri hao watu, walioko juu wenyewe kwa wenyewe ndio wanazingua. Hasira zinakuja wamejichagua wenyewe na mikono yao michafu sasa wanapambana wenyewe kwa wenyewe ndio ugomvi wenu ulipo.

Mpo nyie na wale sasa nyie mmeamua tukose wote na wale wa zamani hawataki mirija ikatike. Yote haya hayana manufaa kwa mtanzania mmojamoja zaidi ya magenge ya mafisadi.

Tumeshasema sana kuhusu Bandari, Mwendo Kasi, SGR na ATCL kwa tabia zenu za ulafi mnaenda kututwisha mideni mikubwa. Kwa mfano mihela yote iliyowekwa SGR ndio wameleta behewa 6 tu na tumeambiwa za ghorofa (mibugando) yaani nyie, lazima mkubari kushiba sasa mmeshashiba acheni na wengine waonyeshe ujuzi wao.

Some times tunatamani vita kichafuke tuwanyooshe wasio tusikia na kutudhiahaki.
Kabisa
 
Kwanini miaka 100 lkn
Wageni wakija wanatupa ela ambayo Kwa sasa hatupati

Utendaji wote ni chini Yao, Ila mwisho wa mwezi wanatulipa ela yetu no matter wamepata hasara au faida

Sisi ela yetu Iko pale pale
 
Wandugu me naungana na serikali Kwa 100% kwenye hili Jambo la bandari

Jamani kuna mambo lazima tukubali kusaidiwa because Sisi wenyewe tumefeli huo ni ukweli na sio dhambi

Mara zote bandari ilikuwa chini yetu, wizi ni mwingi, ubadhirifu ni mwingi, huduma mbovu ela hakuna

Sasa Leo anakuja mtu kuchukua bandari Kwa mwaka na akatulipa ela yetu ambayo wakati watanzania wako kwenye mamlaka tulikuwa hatuipati then why tuache hiyo deal?

Mimi nashauri serikali, itake the deal, muhimu ni kupata ela Tu.

Na wasiishie kwenye bandari, waende na kwenye mabasi ya mwendokasi na hata kwenye tren ya SGR

Wabongo sisi tuna makelele mengi ila tulipewa kurun miradi mikubwa hatuwezi, huo ndio ukweli


Serikali fanyeni haraka deal ikamilike
Kama dhana yako ni kuwa sisi hatuwezi kila kitu, unasema tumeshindwa kila kitu,tubinafsishe kila kinachoongozwa na sisi,alafu mwishowe tuone ofisi ya mwisho kubinafsishwa itakuwa ipi?
 
Wandugu me naungana na serikali Kwa 100% kwenye hili Jambo la bandari

Jamani kuna mambo lazima tukubali kusaidiwa because Sisi wenyewe tumefeli huo ni ukweli na sio dhambi

Mara zote bandari ilikuwa chini yetu, wizi ni mwingi, ubadhirifu ni mwingi, huduma mbovu ela hakuna

Sasa Leo anakuja mtu kuchukua bandari Kwa mwaka na akatulipa ela yetu ambayo wakati watanzania wako kwenye mamlaka tulikuwa hatuipati then why tuache hiyo deal?

Mimi nashauri serikali, itake the deal, muhimu ni kupata ela Tu.

Na wasiishie kwenye bandari, waende na kwenye mabasi ya mwendokasi na hata kwenye tren ya SGR

Wabongo sisi tuna makelele mengi ila tulipewa kurun miradi mikubwa hatuwezi, huo ndio ukweli


Serikali fanyeni haraka deal ikamilike
Naunga ukono hoja kwa asilimia 💯

na naongeza tu stand zetu za mabasi hizi za kisasa zibinafsishwe zote au serikali ije na taasisi itayozisimamia zote.

tunatia aibu halmashauri zetu zinafail sana majengo ya thamani ya mabilioni yanaharibika kizembe kabisa.
 
Naunga ukono hoja kwa asilimia 💯

na naongeza tu stand zetu za mabasi hizi za kisasa zibinafsishwe zote au serikali ije na taasisi itayozisimamia zote.

tunatia aibu halmashauri zetu zinafail sana majengo ya thamani ya mabilioni yanaharibika kizembe kabisa.

Stendi za mwendokasi Leo tunalowa mvua kweli jamani?

Kuna mambo Sisi watanzania hatuwezi
 
Kama dhana yako ni kuwa sisi hatuwezi kila kitu, unasema tumeshindwa kila kitu,tubinafsishe kila kinachoongozwa na sisi,alafu mwishowe tuone ofisi ya mwisho kubinafsishwa itakuwa ipi?


Tuongee Kwa ukweli na uhalisia,

Sisi tuna mradi gani mkubwa ambao tumesimama Kwa manufaa?

Hatuwezi, hapo bandarini ni wizi Tu, scana kila siku mbovu, kila siku magari yapo pale hayaeleweki

Kila report ya CAG pale ni wizi Tu
 
Wandugu me naungana na serikali Kwa 100% kwenye hili Jambo la bandari

Jamani kuna mambo lazima tukubali kusaidiwa because Sisi wenyewe tumefeli huo ni ukweli na sio dhambi

Mara zote bandari ilikuwa chini yetu, wizi ni mwingi, ubadhirifu ni mwingi, huduma mbovu ela hakuna

Sasa Leo anakuja mtu kuchukua bandari Kwa mwaka na akatulipa ela yetu ambayo wakati watanzania wako kwenye mamlaka tulikuwa hatuipati then why tuache hiyo deal?

Mimi nashauri serikali, itake the deal, muhimu ni kupata ela Tu.

Na wasiishie kwenye bandari, waende na kwenye mabasi ya mwendokasi na hata kwenye tren ya SGR

Wabongo sisi tuna makelele mengi ila tulipewa kurun miradi mikubwa hatuwezi, huo ndio ukweli


Serikali fanyeni haraka deal ikamilike
True & Well Said, tukimaliza hiyo ya Bandari twende TRA na hata wakipenda tutawapa hata Chama cha Walimu Tanzania
 
True & Well Said, tukimaliza hiyo ya Bandari twende TRA na hata wakipenda tutawapa hata Chama cha Walimu Tanzania

We need help, Sisi hatuwezi, tumeshashindwa, lazima tukubali
 
Back
Top Bottom