Suala la Covid19, nimegundua Wachina, Wazungu wana roho mbaya

Suala la Covid19, nimegundua Wachina, Wazungu wana roho mbaya

Chanjo ya ebora uligundua wewe? je huko kwa wachina na wazungu kuna ebora?
 
HIV na Corona yote ni magonjwa ya kutengeneza maabara.

Inasikitisha namna binadamu alivyo muovu.
 
Covidol
Panadol
Sheladol
.......iol
Loh.....
Kwa hizi ulizoweka hapa sahau ndg,second wave hakuna hata inayofua dafu hapo.

Heri ungeniambia niende Tanzania oxygen limited niwape oda ya mtungi Wa oxygen nikae nao home.
 
Upumbavu. Ugonjwa unaumwa wewe unataka wanaume wenzio wakitafutie dawa na unadai kama ni haki yako. Huku wewe umekarisha tu Makalio yako.....
You made my day
20210119152252_1170979312_5187483247346201699_640_743_85_webp.jpg
 
Covid 29 na HIV aids vyote ni virus.

Siku zote HIV aka Ngoma inakwanyua Waafrika hakuna pupa wala uharaka wa kutafuta chanjo.

Hapa kamdudu kamewagusa na wao basi wako bize kutafuta chanjo wanaumiza vicha hadi wanapata vipara.

Hii inaonyesha Covid ingekuwa afrika tungeachwa tupambane tujifie tu. Kama walivyofanya kwa Mipira ya ngono wangetuambia kinga na chanjo ya Covid ni Barakoa na Sanitizer, haina chanjo wala dawa. Au wangetutengenezea ARV za Covid.

Ningekuwa nina uwezo wa kumshawishi Mola kama yule Musa wa kwenye Biblia ningeomba Covid Afrika iwe kama kwikwi tu unakunywa maji inaenda alafu kwa wazungu na wachina Iwe kama ile Ngoma ya miaka ya 90 isiue haraka haraka. Ihakikishe wazungu wanapandisha hadi kenchi angalau mwaka mmoja hivi ili tuheshimiane.

Ila hakuna namna ngoja tupige dua tu kadudu na mapepo ya Covid yarudi Wuhan na ulaya huko yalikotoka sisi tuendelee na maisha.

Naelewa sana mtu akisema tujitegemee
Wewe ndo ulikuwa unalalamika kuwa shemeji yako hakuachii pesa ya matumizi. Unataka amwachie dada yako na wewe pia. Kawaoa nyote? Mwanaume huwezi dai utendewe mambo ya kipumbavu. Wewe unasumbuliwa na malaria unataka mzungu akutengenezee Chanjo. We una akili? Kwa nini sasa asikuoe na wewe? Unaumwa Corona unasema chanjo yake huiamini. Wakati huo dawa zilizojaa Hosp yako ni kutoka kwake. Panadol,Asprin,Alu n.k

Unataka akutengenezee dawa ya HIV wakati unaesumbuliwa ni wewe. ARV unatumia za kwake na condoms pia . Wewe unachoweza ni majungu na uvivu tu. Na kulia lia unalilia kufanyiwa mambo na mzungu. Huo upumbavu achaneni nao. Mjitegemee kiukweli. Siyo kuchagua sehemu ambazo mnaona mtapiga deal ndo mnadai mnashtukia Wazungu.
 
Kila siku ndio tunasemaga hicho hicho humu, ila kuna misukule ya wazungu huwa inakuja kukinga kifua..
 
Covid 29 na HIV aids vyote ni virus.

Siku zote HIV aka Ngoma inakwanyua Waafrika hakuna pupa wala uharaka wa kutafuta chanjo.

Hapa kamdudu kamewagusa na wao basi wako bize kutafuta chanjo wanaumiza vicha hadi wanapata vipara.

Hii inaonyesha Covid ingekuwa afrika tungeachwa tupambane tujifie tu. Kama walivyofanya kwa Mipira ya ngono wangetuambia kinga na chanjo ya Covid ni Barakoa na Sanitizer, haina chanjo wala dawa. Au wangetutengenezea ARV za Covid.

Ningekuwa nina uwezo wa kumshawishi Mola kama yule Musa wa kwenye Biblia ningeomba Covid Afrika iwe kama kwikwi tu unakunywa maji inaenda alafu kwa wazungu na wachina Iwe kama ile Ngoma ya miaka ya 90 isiue haraka haraka. Ihakikishe wazungu wanapandisha hadi kenchi angalau mwaka mmoja hivi ili tuheshimiane.

Ila hakuna namna ngoja tupige dua tu kadudu na mapepo ya Covid yarudi Wuhan na ulaya huko yalikotoka sisi tuendelee na maisha.

Naelewa sana mtu akisema tujitegemee
Kwa nini unataka watu wengine wakutengenezee chanjo wewe?
 
Mliosoma syllabus za zamani za ujamaa chuki itakuuweni.
Ndui,ebola,zika, malaria nk mbona wamepambana nazo Hadi kuzizibiti na Hali wao sio waathirika.
Ubaguzi na chuki dhidi ya wazungu utakuuweni.
Syllabus ya biology form one wanasema kirusi hafi.
Wewe ndo ulikuwa unalalamika kuwa shemeji yako hakuachii pesa ya matumizi. Unataka amwachie dada yako na wewe pia. Kawaoa nyote? Mwanaume huwezi dai utendewe mambo ya kipumbavu. Wewe unasumbuliwa na malaria unataka mzungu akutengenezee Chanjo. We una akili? Kwa nini sasa asikuoe na wewe? Unaumwa Corona unasema chanjo yake huiamini. Wakati huo dawa zilizojaa Hosp yako ni kutoka kwake. Panadol,Asprin,Alu n.k

Unataka akutengenezee dawa ya HIV wakati unaesumbuliwa ni wewe. ARV unatumia za kwake na condoms pia . Wewe unachoweza ni majungu na uvivu tu. Na kulia lia unalilia kufanyiwa mambo na mzungu. Huo upumbavu achaneni nao. Mjitegemee kiukweli. Siyo kuchagua sehemu ambazo mnaona mtapiga deal ndo mnadai mnashtukia Wazungu.
Usipanic bro. Naona unagombana na keyboard Kisa Mzungu utadhani uko kwenye payroll yake.

Usilete mambo ya panado kwenye mjadala wa chanjo ya kirusi. Sitaki asaidie ila najadili consistency ya mahusiano yake na matatizo ya Jamii ya mwanadamu. Kuna kipindi AIDS ilikuwa kama hii Pandemic. Huko Bukoba hadi Nyumba zinafungwa lakni hakukuwa na hamasa yoyote. Ila uzoefu umeonyesha Mzungu anahangaika na mambo yake kuliko ya wengine kama ulivyokuwa brainwashed kwa hizo panadol sijui ARV.

Kwa maana nyingine kwa roho hii ameonyesha yeye hicho unachodhani ni msaada kwa wafrika ni chambo tu na hana nia kihivyo ya kusaidia mwafrika
 
Kwa nini unataka watu wengine wakutengenezee chanjo wewe?
Sitaki watu wengine wanitengenezee chanjo.
Nataka uelewe ukiona Mzungu anapambana mwafrika apate nafuu flani usikurupuke, ujue tu anataka kuonekana mwema lakini hana huo wema kama anavyosifia na kuabudiwa kwa ARV,Panadol sijui Ndui.

Anajua kunafaida anapata na ingekuwa utu basi angepambana kwa level hizo hizo za pandemic ya corona.

Hiki ndicho nimejifunza. Sisi tumejisaidia Mkuu na tunapambana kwa njia zetu. Asilazimishe basi option zake ndio ziwe SI Unit ya utatuzi. Hata sisi tukikubakiana kujifukiza au Miti Shamba atuache, maana hata yeye chanzo zake wanabishana hakuna ambayo ni universal isiyokosoleka.
 
Sitaki watu wengine wanitengenezee chanjo.
Nataka uelewe ukiona Mzungu anapambana mwafrika apate nafuu flani usikurupuke, ujue tu anataka kuonekana mwema lakini hana huo wema kama anavyosifia na kuabudiwa kwa ARV,Panadol sijui Ndui.

Anajua kunafaida anapata na ingekuwa utu basi angepambana kwa level hizo hizo za pandemic ya corona.

Hiki ndicho nimejifunza. Sisi tumejisaidia Mkuu na tunapambana kwa njia zetu. Asilazimishe basi option zake ndio ziwe SI Unit ya utatuzi. Hata sisi tukikubakiana kujifukiza au Miti Shamba atuache, maana hata yeye chanzo zake wanabishana hakuna ambayo ni universal isiyokosoleka.
Anapambana kwakua anajua asipopambana kukutibu wewe utamuambukiza wakati anakuhitaji uendelee kumlindia rasilimali wakati akija kuzivuna azikute salama.
 
Sasa Kuna mtu aliyewazuia na nyinyi kutafuta hizo chanjo za hayo magonjwa yanayowasumbua? Au ndiyo ndugu llawama

Usome kwa utulivu.
Hapa anataka uelewe sio kila juhudi ya Mzungu na presha ya kutaka kumsaidia mwafrika huwa ni njema.anaweza kukusaidia 1% akakuaminisha ni 100% alafu yeye anajua 99% kabaki nayo ili akutumie baadae kwa Faida yake.

Hata hizo chanjo hujiulizi kwa nini hata Kabla corona haijafika afrika Bill gate na mkewe anatabiri vifo hadi watu washindwe kuzikana afrika ili kutafuta uhalali wa kuleta chanjo yake huku. Sasa uhalaka huo na utabiri uliofeli ulisukumwa kwa sema au kuwafanya waafrika specimen za kutestia chanjo
 
Sitaki watu wengine wanitengenezee chanjo.
Nataka uelewe ukiona Mzungu anapambana mwafrika apate nafuu flani usikurupuke, ujue tu anataka kuonekana mwema lakini hana huo wema kama anavyosifia na kuabudiwa kwa ARV,Panadol sijui Ndui.

Anajua kunafaida anapata na ingekuwa utu basi angepambana kwa level hizo hizo za pandemic ya corona.

Hiki ndicho nimejifunza. Sisi tumejisaidia Mkuu na tunapambana kwa njia zetu. Asilazimishe basi option zake ndio ziwe SI Unit ya utatuzi. Hata sisi tukikubakiana kujifukiza au Miti Shamba atuache, maana hata yeye chanzo zake wanabishana hakuna ambayo ni universal isiyokosoleka.
Of course kuna geopolitics na soft power politics.

Lakini pia, Waafrika wengi ni watu wa kulalamika tu.

Wakipewa chanjo, watalalamika wamepewa chanjo na mabeberu, mabeberu wanataka kuwaua wachukue mali za Afrika.

Wasipopewa chanjo, watalalamika mabeberu wana chanjo, lakini hawawapi Waafrika.

Ili mradi watu walalamike tu, kwa lolote lile litakalofanyika, au litakalokosa kufanyika.
 
Hapa ndo utaona waafrika ilivyo jaza wapumbavu wengi .
Kwani ni ni sheria ipi au andiko gani kwenye Qruan au biblia linalo warazimisha wazungu kutatua matatizo ya waafirika?
Yaan badala ya kuwalaumu na kuwawajibisha viongozi wenu wanao tumia kodi zenu kununua magari ya million 450 kwa ajili ya kutembelea badala wangezitumia kuwekeza kwenye tafiti ya sayansi ya tiba .
Badala yake una taka wazungu watumie kodi za raia wao kutatua matatizo yenu ambayo kimsingi viongozi wetu ndo chazo cha hayo matatizo.
Asante sana, umenena vyema.
 
Syllabus ya biology form one wanasema kirusi hafi.

Usipanic bro. Naona unagombana na keyboard Kisa Mzungu utadhani uko kwenye payroll yake.

Usilete mambo ya panado kwenye mjadala wa chanjo ya kirusi. Sitaki asaidie ila najadili consistency ya mahusiano yake na matatizo ya Jamii ya mwanadamu. Kuna kipindi AIDS ilikuwa kama hii Pandemic. Huko Bukoba hadi Nyumba zinafungwa lakni hakukuwa na hamasa yoyote. Ila uzoefu umeonyesha Mzungu anahangaika na mambo yake kuliko ya wengine kama ulivyokuwa brainwashed kwa hizo panadol sijui ARV.

Kwa maana nyingine kwa roho hii ameonyesha yeye hicho unachodhani ni msaada kwa wafrika ni chambo tu na hana nia kihivyo ya kusaidia mwafrika
Sasa mkuu unataka akuangaikie wewe kama nani yake!!!, wamefanya sehemu yao ingawa wakati mwingine pia wana maslahi yao. Wewe mwenye tatizo umefanya nini kulitatua? Mangapi wametusaidia na kama kutumaliza tungeishaisha. Leo Stone kwa maslahi anayojua yeye anasema chanjo haiaminiki na wakati imethibitishwa na shirika la afya duniani na imeonyesha ufanisi wa juu huko ilikotumika. Ni nani anayepambana na HIV/AIDS, TB, Malaria, Ukoma na magonjwa lukuki tuliyonayo na ambayo mengine huko kwao imebaki historia tu.
 
Usome kwa utulivu.
Hapa anataka uelewe sio kila juhudi ya Mzungu na presha ya kutaka kumsaidia mwafrika huwa ni njema.anaweza kukusaidia 1% akakuaminisha ni 100% alafu yeye anajua 99% kabaki nayo ili akutumie baadae kwa Faida yake.

Hata hizo chanjo hujiulizi kwa nini hata Kabla corona haijafika afrika Bill gate na mkewe anatabiri vifo hadi watu washindwe kuzikana afrika ili kutafuta uhalali wa kuleta chanjo yake huku. Sasa uhalaka huo na utabiri uliofeli ulisukumwa kwa sema au kuwafanya waafrika specimen za kutestia chanjo
Hapa tunapiga stori au una ushahidi au umefanya kautafiti kidogo utuwekee hicho ulichogundua. Kuanza mjadala kwa kutumia tu hisia zako bila takwimu kwa haya msuala ya kisayansi si sahihi sana.
 
Syllabus ya biology form one wanasema kirusi hafi.

Usipanic bro. Naona unagombana na keyboard Kisa Mzungu utadhani uko kwenye payroll yake.

Usilete mambo ya panado kwenye mjadala wa chanjo ya kirusi. Sitaki asaidie ila najadili consistency ya mahusiano yake na matatizo ya Jamii ya mwanadamu. Kuna kipindi AIDS ilikuwa kama hii Pandemic. Huko Bukoba hadi Nyumba zinafungwa lakni hakukuwa na hamasa yoyote. Ila uzoefu umeonyesha Mzungu anahangaika na mambo yake kuliko ya wengine kama ulivyokuwa brainwashed kwa hizo panadol sijui ARV.

Kwa maana nyingine kwa roho hii ameonyesha yeye hicho unachodhani ni msaada kwa wafrika ni chambo tu na hana nia kihivyo ya kusaidia mwafrika
Ndo unapoonesha upumbavu. Yaani pandemic iwe Bukoba halafu ahangaike mzungu kukusaidia. We una akili? Wewe n mkeo au mumeo au na familia yako mnaumwa kaswende halafu jirani ambaye haumwi unamlaumu kwa nini hakutengenezei dawa. Wewe una akili?

Covid ni ugonjwa ambao upo Duniani.na dunia inachangamana so watu wanahangaika na Ugonjwa wa Dunia kuliko ambao upo kwako peke yako. We we unaweza laumu kuwa Jirani yako hampatii chakula mumeo hivyo mumeo anakosa nguvu za kiume. So unataka jirani ambaye yeye ana mke wake na watoto amsaidie mumeo au aisaidie familia yako. Huo ni upumbavu.
😁😁😁😁😁😁
 
Covid 29 na HIV aids vyote ni virus.

Siku zote HIV aka Ngoma inakwanyua Waafrika hakuna pupa wala uharaka wa kutafuta chanjo.

Hapa kamdudu kamewagusa na wao basi wako bize kutafuta chanjo wanaumiza vicha hadi wanapata vipara.

Hii inaonyesha Covid ingekuwa afrika tungeachwa tupambane tujifie tu. Kama walivyofanya kwa Mipira ya ngono wangetuambia kinga na chanjo ya Covid ni Barakoa na Sanitizer, haina chanjo wala dawa. Au wangetutengenezea ARV za Covid.

Ningekuwa nina uwezo wa kumshawishi Mola kama yule Musa wa kwenye Biblia ningeomba Covid Afrika iwe kama kwikwi tu unakunywa maji inaenda alafu kwa wazungu na wachina Iwe kama ile Ngoma ya miaka ya 90 isiue haraka haraka. Ihakikishe wazungu wanapandisha hadi kenchi angalau mwaka mmoja hivi ili tuheshimiane.

Ila hakuna namna ngoja tupige dua tu kadudu na mapepo ya Covid yarudi Wuhan na ulaya huko yalikotoka sisi tuendelee na maisha.

Naelewa sana mtu akisema tujitegemee
Mbona wewe ndo una roho mbaya mkuu.yani tatizo la kwao mimi ndo nikupambanie wakati wote tupo sawa?
Ndo nyie mkifulia mna raumu ndugu kwa upumbavu wenu.
 
Back
Top Bottom