Masseto
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 1,615
- 3,205
Wajinga wachache mliobaki mnaona ili pia ubaguzi,,, jitahid usome historia ya negro and white... Mzungu hana jema ata kidogo kwa mtu mweusi ata mileleMliosoma syllabus za zamani za ujamaa chuki itakuuweni.
Ndui,ebola,zika, malaria nk mbona wamepambana nazo Hadi kuzizibiti na Hali wao sio waathirika.
Ubaguzi na chuki dhidi ya wazungu utakuuweni.