Wewe mtanzania kushindana na Mzungu Wapi na Wapi, Kama kweli hawatupendi hao kutumaliza ni Mara moja tu, Maana bidhaa zao tunatumia Sisi, hadi mbegu wanatutengenezea, kiujumla muogope mtu aliyekutawala, akakutesa kisha bado akarudi kutalii kwenye nchi hiyo hiyo ,adui wa mwafrica ni mwafrica mwenzake, hao Hata time hawana