Suala la crane kujaza maji bwawa la Nyerere limeonesha ukilaza na ushabiki mbaya

Suala la crane kujaza maji bwawa la Nyerere limeonesha ukilaza na ushabiki mbaya

Ichwampaka

Senior Member
Joined
Nov 19, 2018
Posts
145
Reaction score
118
Waziri Mhe. Makamba ameongea akaeleweka vyema kabisa. Wakaja wabongo na ''a garbled story'' na kuzua mtafaruku mkubwa. Nilichokiona watu wengi uwezo wao wa kusikia na kuelewa ni mdogo sana; na kuna watu wengi wameenda shule ila uwezo wao wa kuchambua mambo ni mdogo sana. Makamba mbunge wa miaka mingi awe hajaona cranes za kunyanyua uzito wa tani 26?

Kwa nafasi yake, weledi na uzoefu wake kwanini usijione kuwa wewe ndio labda hujamuelewa Mhe. Makamba? Waziri mwenye staha kama yake anapotoa taarifa ya jambo nyeti kama hilo lazima ajiandae vyema with all the material facts on the ground.

Ukweli ni kuwa kreni la kunyanyua hilo geti la maji pindi bwawa likijaa ni sehemu ya ujenzi wa hilo bwawa. Kreni hizo zitajengwa hapo kwa kudumu (permanently). Alichokisema Mhe.

Makamba kuwa nchini hazipo, ni kuwa ''duka'' linalouza hizo kreni MPYA (zenye uzito wa tani 26 ) hapa nchini halipo lazima ziagizwe nje. Wangekuwa wanafunga za mitumba ingekuwa haina shida labda zingeweza kutafutwa na kupatikana hapa nchini ili turudi tena kwa Dowans na Richmond kuhusu mitumba.

Watu wamerusha mapicha ya movable cranes kama hawana akili nzuri.
 
Inamaana hayo yote hayakuangaziwa na kuzingatiwa awali wakati wa maandalizi ya mradi? Kama jibu ni ndio, basi tutegemee vikwazo zaidi. Na ikiwa jibu ni hapana, kwanini hili tatizo la crane liwe changamoto sasa hivi?
 
Suala la kujaza maji Ni P1; na zoezi la kujaza maji Ni process ya miezi kadhaa,a miaka!! Kwanini isitumike movable crain kuokoa Muda wakikamilisha plan ya kudumu ambapo uhitaji wa ku drain bwawa sio wa miaka ya karibu, unless Kuna dharula kubwa ama ajali kingo kupasuka.
 
Unatetea ujinga na upuuzi usiyo na maana.ile kampuni iliyojenga bwawa Ni wazoefu na Ile kazi washafanya nyingi kwa hiyo washindwe kuweka hicho alichosema makamba?

Mnapiga kwa kupitia tanesco miaka na miaka hakuna asiyejua Hilo na kutokukamilika kwa hilo bwawa Ni sehemu ya mipango yenu wezi wakubwa nyinyi.

Hilo geti hata likiwekewa mifumo ya jeki kubwa za haidroriki geti litainuka na kushuka. Uwo uzuzu wenu bakini nao na kina makamba wenu mazezeta wakubwa nyinyi.
 
1636876306523_1.jpg

Nafkiri anazungumzia kreni ya aina hii
 
Ukweli ni kuwa kreni la kunyanyua hilo geti la maji pindi bwawa likijaa ni sehemu ya ujenzi wa hilo bwawa. Kreni hizo zitajengwa hapo kwa kudumu (permanently) . Alichokisema Mhe. Makamba kuwa nchini hazipo, ni kuwa ''duka'' linalouza hizo kreni MPYA (zenye uzito wa tani 26 ) hapa nchini halipo lazima ziagizwe nje. Wangekuwa wanafunga za mitumba ingekuwa haina shida labda zingeweza kutafutwa na kupatikana hapa nchini ili turudi tena kwa Dowans na Richmond kuhusu mitumba.
Kwanini azungumzie crane tu, kwenye huo ujenzi materials nyingi zimeagizwa na bado zingine zitaagizwa, na kwakuwa ujenzi haujakamilika yeye angekaa kimya bada ya kuzungumza mambo ya ujenzi unaoendelea in small bits tena kwa harufu ya kukatisha watu tamaa
 
Msimamizi wa mradi ndiye anapaswa kutoa taarifa za kiuhandisi ili kuepuka tafsiri chonganishi.
Makamba unaleta taharuki unapenda kutweet sana mitandaoni.Vitendo vitajibu.
Crain na Geti vitu 2 tofauti.

Jibu ni Geti litajengwa kwa kusaidiana crain ya kudumu.

Huo mradi wanasiasa mmeutembelea wengi mno na maagizo juu as if ninyi wahandisi.
 
Waziri Mhe. Makamba ameongea akaeleweka vyema kabisa. Wakaja wabongo na ''a garbled story'' na kuzua mtafaruku mkubwa. Nilichokiona watu wengi uwezo wao wa kusikia na kuelewa ni mdogo sana; na kuna watu wengi wameenda shule ila uwezo wao wa kuchambua mambo ni mdogo sana. Makamba mbunge wa miaka mingi awe hajaona cranes za kunyanyua uzito wa tani 26?

Kwa nafasi yake, weledi na uzoefu wake kwanini usijione kuwa wewe ndio labda hujamuelewa Mhe. Makamba? Waziri mwenye staha kama yake anapotoa taarifa ya jambo nyeti kama hilo lazima ajiandae vyema with all the material facts on the ground.

Ukweli ni kuwa kreni la kunyanyua hilo geti la maji pindi bwawa likijaa ni sehemu ya ujenzi wa hilo bwawa. Kreni hizo zitajengwa hapo kwa kudumu (permanently) . Alichokisema Mhe. Makamba kuwa nchini hazipo, ni kuwa ''duka'' linalouza hizo kreni MPYA (zenye uzito wa tani 26 ) hapa nchini halipo lazima ziagizwe nje. Wangekuwa wanafunga za mitumba ingekuwa haina shida labda zingeweza kutafutwa na kupatikana hapa nchini ili turudi tena kwa Dowans na Richmond kuhusu mitumba.

Watu wamerusha mapicha ya movable cranes kama hawana akili nzuri............

Wewe ni mpum.bavu. Mradi huu ulipitishwa baada ya kuangalia mahitaji na uwezo uliopo. Kama crane haikuwepo nchini muda wa kupitisha mradi, maana yake ni kuwa mpango ulikuwa ni kuileta kutoka inapopatikana (kwenye BOM kuna hiyo crane!! na ina thamani ya pesa na lini ilitakiwa kuwa kwenye mradi). Project managers wanafahamu Critical Path Analysis - CPA!

Mfundishe mwenzio waziri, shida ya hapa sio hata uzito huo wa tani 26 - ni special capabilities za hiyo crane. Sio kila crane inafanya jambo sawa (crane inayohitajika sasa ni ya kupeleka kitu chini na law ya Physics inaonesha kadiri kitu kinasukumwa na gravity, ndivo kinaongezeka uzito). Angesema hii crane inapaswa kuwa engineered kwa kazi hii na jambo hilo limechelewa! Basi!! Kisha tungeanza kuhoji kwanini imechelewa. Je mkandarasi amelipwa pesa kuwezesha hiyo engineering?? Kwa sababu haiwezekani mradi ucheleweshwe kwa miezi 5 bila kuwa na gharama zaidi ya zilizopitishwa! Mkija kuambiwa final project cost msishangae. Upigaji huwa unapitishwa kwenye vitu kama hivi - ngoja usikie kuna mtengenezaji wa crane husika kwa pesa zaidi na ikaletwa ndani ya mwezi mmoja!
 
Waziri Mhe. Makamba ameongea akaeleweka vyema kabisa. Wakaja wabongo na ''a garbled story'' na kuzua mtafaruku mkubwa. Nilichokiona watu wengi uwezo wao wa kusikia na kuelewa ni mdogo sana; na kuna watu wengi wameenda shule ila uwezo wao wa kuchambua mambo ni mdogo sana. Makamba mbunge wa miaka mingi awe hajaona cranes za kunyanyua uzito wa tani 26?

Kwa nafasi yake, weledi na uzoefu wake kwanini usijione kuwa wewe ndio labda hujamuelewa Mhe. Makamba? Waziri mwenye staha kama yake anapotoa taarifa ya jambo nyeti kama hilo lazima ajiandae vyema with all the material facts on the ground.

Ukweli ni kuwa kreni la kunyanyua hilo geti la maji pindi bwawa likijaa ni sehemu ya ujenzi wa hilo bwawa. Kreni hizo zitajengwa hapo kwa kudumu (permanently) . Alichokisema Mhe. Makamba kuwa nchini hazipo, ni kuwa ''duka'' linalouza hizo kreni MPYA (zenye uzito wa tani 26 ) hapa nchini halipo lazima ziagizwe nje. Wangekuwa wanafunga za mitumba ingekuwa haina shida labda zingeweza kutafutwa na kupatikana hapa nchini ili turudi tena kwa Dowans na Richmond kuhusu mitumba.

Watu wamerusha mapicha ya movable cranes kama hawana akili nzuri............
Kwani yeye au wewe makamba mwenyewe ulisema lolote kuhusu aina ya Cranes zinazotakiwa pale?

Je kama kuna crane zinazopaswa kuwa pale permanently, sio sehemu ya vifaa vilivyoko kwenye orodha ya kuagizwa ndani ya budget ya gharama za mradi?

Je ulishindwa nini kuongea na kutoa ufafanuzi wa kueleweka?

Mbona uliongea kwa body language iliyoonyesha kabisa unasema jambo ambalo sio kweli?

Hapo chini nimeambatanisha live,msemakweli toka site.
IMG-20211113-WA0009.jpg
 
Waziri Mhe. Makamba ameongea akaeleweka vyema kabisa. Wakaja wabongo na ''a garbled story'' na kuzua mtafaruku mkubwa. Nilichokiona watu wengi uwezo wao wa kusikia na kuelewa ni mdogo sana; na kuna watu wengi wameenda shule ila uwezo wao wa kuchambua mambo ni mdogo sana. Makamba mbunge wa miaka mingi awe hajaona cranes za kunyanyua uzito wa tani 26?

Kwa nafasi yake, weledi na uzoefu wake kwanini usijione kuwa wewe ndio labda hujamuelewa Mhe. Makamba? Waziri mwenye staha kama yake anapotoa taarifa ya jambo nyeti kama hilo lazima ajiandae vyema with all the material facts on the ground.

Ukweli ni kuwa kreni la kunyanyua hilo geti la maji pindi bwawa likijaa ni sehemu ya ujenzi wa hilo bwawa. Kreni hizo zitajengwa hapo kwa kudumu (permanently) . Alichokisema Mhe. Makamba kuwa nchini hazipo, ni kuwa ''duka'' linalouza hizo kreni MPYA (zenye uzito wa tani 26 ) hapa nchini halipo lazima ziagizwe nje. Wangekuwa wanafunga za mitumba ingekuwa haina shida labda zingeweza kutafutwa na kupatikana hapa nchini ili turudi tena kwa Dowans na Richmond kuhusu mitumba.

Watu wamerusha mapicha ya movable cranes kama hawana akili nzuri............
All in all, hii ni excuse....sisi tumeahidiwa pilao, tunataka pilao na sio maneno ya chumvi imeisha tumemtuma mtu dukani. Hayatuhusu.wakati unatuahidi pilao tena kwa kujiapiza kwa ishara ya msalaba hukujua kwamba ingredients za kupika pilao hazipo zote jikoni? Ulituahidi au Ulituhadaa?
Ulituonaje sisi yani...Mazuzi kama wewe au?
 
Wewe ni mpum.bavu. Mradi huu ulipitishwa baada ya kuangalia mahitaji na uwezo uliopo. Kama creni haikuwepo nchi muda wa kupitisha mradi, maana yake ni kuwa mpango ulikuwa ni kuileta kutoka inapopatikana (kwenye BOM kuna hiyo crane!! na ina thamani ya pesa na lini ilitakiwa kuwa kwenye mradi). Project managers wanafahamu Critical Path Analysis - CPA!

Mfundishe mwenzio waziri, shida ya hapa sio hata uzito huo wa tani 26 - ni special capabilities na hiyo crane. Sio kila crane inafanya jambo sawa (crane inayohitajika sasa ni ya kupeleka kitu chini na law ya Physics inaonesha kadiri kitu kinasukumwa na gravity, ndivo kinaongezeka uzito). Angesema hii crane inapaswa kuwa engineered kwa kazi hii na kazi jambo hilo limechelewa! Basi!! Kisha tungeanza kuhoji kwanini imechelewa. Je mkandarasi amelipwa pesa kuwezesha hiyo engineering?? Kwa sababu haiwezekani mradi ucheleweshwe kwa miezi 5 bila kuwa na gharama zaidi ya zilizopitishwa! Mkija kuambiwa final project cost msishangae. Upigaji huwa unapitishwa kweny vitu kama hivi - ngoja usikie kuna mtengenezaji wa crane husika kwa pesa zaidi na ikaletwa ndani ya mwezi mmoja!
Ambaye hataelewa na hili nalo basi ni mpuuzi sana, miradi mingi ya kibongo upigaji unatokea hapo kwenye hizo delays
 
Mradi mkubwa kama ule hauwezi kukosa project plan yani activities zote huwa zimeainishwa na tarehe,malighafi na vitendea kazi vitavyo hitajika kauli ya "kwa bahati mbaya ilichelewa kuagizwa na kusafirishwa" ni kauli ya kuhalalisha uongo/uzembe au ubabaishaji mahali.
 
Back
Top Bottom