Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
CcM ni wezi, waongo na wanafikiAll in all, hii ni excuse....sisi tumeahidiwa pilao, tunataka pilao na sio maneno ya chumvi imeisha tumemtuma mtu dukani. Hayatuhusu.wakati unatuahidi pilao tena kwa kujiapiza kwa ishara ya msalaba hukujua kwamba ingredients za kupika pilao hazipo zote jikoni? Ulituahidi au Ulituhadaa?
Ulituonaje sisi yani...Mazuzi kama wewe au?