Suala la GSM kudhamini baadhi ya timu za Ligi Kuu liangaliwe upya, linajenga mazingira hasi na kupunguza ushindani katika ligi

Gsm ni shareholder wa team gani?
Simba ndio ilikua timu ya kwanza kutoka hadharani na kupinga wakati GSM alipotaka kudhamini timu zote zinazoshiriki NBC premier league.

Wakati wakati uo Azam anadhamini Ligi nzima na wanapokea mgao wa Azam Kila mwezi.
Timu zinahitaji udhamini ili zipunguze makali ya gharama za kuziendesha.

Baadhi ya vilabu viliona Simba ni wapuuzi, zikajiongeza na kuitumia fursa ya udhamini wa GSM.

Kama Simba ilikamiwa na ivyo vilabu vyenye udhamini wa GSM kwanini na wao Simba wasiwakazie Yanga ambao Wana dhaminiwa na GSM?
 
Ficha ujinga wako. Babra hakushinda kuizuia GSM kudhamini ligi nzima, alishinda Simba isiweke nembo za gsm kwenye matambala yake. Kwa kuwa gsm alitaka timu zote zimtangaze simba ikagoma, hivyo deal likafa maana haitakuwa ligi tena.



Sasa pata shule hapa

Tuhuma zilizopo, kwamba hakuna fair competition katika ligi ya Tanzania sababu GSM anafadhili (sponsors) clubs nyingi tanzania hazina mashiko, ni kowango cha juu cha ujinga. Zinatajwa:-

1. Yanga
2. Coastal
3. Singida
4. Pamba
5. Namungo.
6.


Haya tunaijibu kwa kuiangalia Umbro ndani ya EPL ligi kubwa duniani.

Umbro sponsored Teams in EPL

1. West Ham United.
2. Ipswich Town FC.
3. Brentford FC.
4. Hearts FC.
5. AFC Bournemouth.
6. Huddersfield Town.
7. Luton Town.

Kwa majibu haya, tuendelee na mjadala au tuufunge?

Simba wekezeni kwa kusajili wachezaji wazuri. Hoja mnazoleta ni utoto mtupu na ishara ya kushindwa mashindano. Mlizoea kuzifunga timu ambazo hazina hata nauli, wamepata wafadhili, wanasafiri, wanalala hotel, wanakula, wanakunywa, wanalipa mishahara, halafu nyie mnatamani wapokonywe ufadhili huo warudi nyuma?


Kama mnadhani ni rahisi, mwambieni Mo aaxhe kutoa mikopo umiza afadhili timu zote
zilizobaki halafu mje tushindane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…