Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Taarifa ya TFF ndio hiyo, yani hapo ndio wametowa ufafanuzi Sasa ufafanuzi wao unazalisha maswali zaidi kuliko awali.
1. Kuna makocha wamehitimu mafunzo na wana Leseni class A ya CAF, halafu kuna orodha ya makocha 21 akiwemi Juma Mgunda wamehitimu mafunzo lakini hawana Leseni.
Sasa swali la msingi mtu aliyehitimu kozi ya udereva Vets au NIT anaruhusiwa kuendesha gari bila Leseni?
Kuna marubani wa ndege hivi hawa nao wanaruhusiwa kurusha ndege tu Kwa kuwa wamesomea kazi hiyo bila Leseni?
Swali la msingi kama TFF ni mwanachama wa CAF na iliendesha hizo kozi hizo tatizo liko wapi Kwa wahitimu kupatiwa Leseni?
Bila shaka TFF kuna kitu wanatuficha au kutudanganya, lakini nyeti za Kuku kikija kimbunga lazima zionekane, ujanja ujanja wa TFF unaelekea tamati yake muda si mrefu.
Walete walete Scars Tate Mkuu , Shadeeya
1. Kuna makocha wamehitimu mafunzo na wana Leseni class A ya CAF, halafu kuna orodha ya makocha 21 akiwemi Juma Mgunda wamehitimu mafunzo lakini hawana Leseni.
Sasa swali la msingi mtu aliyehitimu kozi ya udereva Vets au NIT anaruhusiwa kuendesha gari bila Leseni?
Kuna marubani wa ndege hivi hawa nao wanaruhusiwa kurusha ndege tu Kwa kuwa wamesomea kazi hiyo bila Leseni?
Swali la msingi kama TFF ni mwanachama wa CAF na iliendesha hizo kozi hizo tatizo liko wapi Kwa wahitimu kupatiwa Leseni?
Bila shaka TFF kuna kitu wanatuficha au kutudanganya, lakini nyeti za Kuku kikija kimbunga lazima zionekane, ujanja ujanja wa TFF unaelekea tamati yake muda si mrefu.
Walete walete Scars Tate Mkuu , Shadeeya