balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Hakuna KOLO lenye akili hata MOJA.Utopolo wenye akili ni wawili tu .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna KOLO lenye akili hata MOJA.Utopolo wenye akili ni wawili tu .
Hujaelewa maana ya mimi kuandika hivyo nililenga niniKhaaaaaaaaaa!!!! Huyu jamaa nilikuwa Nampa salute nyingi Sana kumbe nilikuwa namheshimu mbumbumbu kiasi hiki? Kwani Yanga ndo imeomba Zolan atumie uwanja wa taifa Kwa mechi zake?
Koloboy mbumbumbu,kolowizard wa viwango vya juu.
Usanii tu wa TIFUATIFUA ya Karia. Kwanza Sylvester Marsh alishafariki toka mwaka 2015 yumo kwenye orodha, ndo ujue hapo full kupikwa.Taarifa ya TFF ndio hiyo, yani hapo ndio wametowa ufafanuzi Sasa ufafanuzi wao unazalisha maswali zaidi kuliko awali...
Orodha ya mwanzo si ndio orodha ya makocha waliotambulika kuwa na CAF A diploma baada ya kupata mafunzo. sasa mleta uzi anasema kamuona tena Mgunda kwenye orodha ya makocha 21 kitu ambacho mimi sijaliona hiloOrodha ya mwanzo namba 6.
Tatizo lako ni ujuaji mwingi mwisho unaonekana fala hapa swala sio Simba na Yanga issue ni kwamba unawezaje kufanya kazi pasipokua na leseni na cheti chukulika professionals zingine mfano Dakitari, Mwanasheria, Accountant and so on unless kama football ni genge la wahuniYanga bana sijui mkoje yani vitu vidogo tu lakini mnaviundia bunge
Halafu unatumia kanuni za Veta kwenye soka kuonesha tatizo
Sasa vipi na mwingine akija kusema kuna uwezekano mtu asipewe cheti cha ukocha ila akatumia results slip yake kwasbabu tayari taarifa zake za kitaaluma zipo kwenye record ya CAF na kwamba CAF imetoa utatlratibu wa kuwaruhusu watambulike kama watu waliofuzu mafunzo?
Unamlinganisha Barbra na Mbowe? akili zimo kweli wewe?Siku ukipata jibu kwani MaCCm yalikuwa yanataka Mbowe aondoke CDM ndio utafahamu kwani Utopolo wanamuogopa Babra kama ukoma na wanashinikiza aondoke...
Ahsanta
Sawa mbwa wa luc eymael kabweke vizuri pale salamander kwa mumeo injiniaSimba wote mbumbumbu, mnapelekwa kama gari bovu na demu wa Mwamedi.
Somalia wenyewe walicheza hapa mechi zao mbili haka ka jamaa hua dish lake ni E-32Hiyo favour wameamua wenyewe Zalan na sio kitu cha ajabu kwasababu hata Namungo alipata hizo favour
Hao Zolan wanacheza na nyie sisi tunacheza na ZalanHujaelewa maana ya mimi kuandika hivyo nililenga nini
Sio wewe tu kuna wenzako nao wamewaza hivyo hivyo.
Nafahamu kuwa Zolan ndio walioomba kuchezea hapa na Yanga haihusiki ila nimeandika hivyo nikiwa najua rekodi yenu ya kushupalia vitu vidogo
Mfano ishu ya Yanga kutoalikwa kwenye kikao cha CAF inafahamika wazi kuwa huandaliwa na CAF na wao ndio husimamia kila kitu lakini bado Yanga mlilalamika kutoalikwa na kuwa TFF inachuki na Yanga.
Pointi yangu ilikuwa ni hii sasa
Kama kitu kidogo hicho ambacho hakika msingi wowote bado mlikaa kitako kuisema vibaya TFF unafikiri ingeshindikana vipi kwa ishu ya Simba kupata favour kama hii yenu??
😄😄😄😄 Aliyemuelewa huyu mbumbumbu aje anieleweshe na mimi nielewe.Hujaelewa maana ya mimi kuandika hivyo nililenga nini
Sio wewe tu kuna wenzako nao wamewaza hivyo hivyo.
Nafahamu kuwa Zolan ndio walioomba kuchezea hapa na Yanga haihusiki ila nimeandika hivyo nikiwa najua rekodi yenu ya kushupalia vitu vidogo
Mfano ishu ya Yanga kutoalikwa kwenye kikao cha CAF inafahamika wazi kuwa huandaliwa na CAF na wao ndio husimamia kila kitu lakini bado Yanga mlilalamika kutoalikwa na kuwa TFF inachuki na Yanga.
Pointi yangu ilikuwa ni hii sasa
Kama kitu kidogo hicho ambacho hakika msingi wowote bado mlikaa kitako kuisema vibaya TFF unafikiri ingeshindikana vipi kwa ishu ya Simba kupata favour kama hii yenu??
Una hoja ya msingi kwa sehemu fulani.Taarifa ya TFF ndio hiyo, yani hapo ndio wametowa ufafanuzi Sasa ufafanuzi wao unazalisha maswali zaidi kuliko awali.
1. Kuna makocha wamehitimu mafunzo na wana Leseni class A ya CAF, halafu kuna orodha ya makocha 21 akiwemi Juma Mgunda wamehitimu mafunzo lakini hawana Leseni.
Sasa swali la msingi mtu aliyehitimu kozi ya udereva Vets au NIT anaruhusiwa kuendesha gari bila Leseni?
Kuna marubani wa ndege hivi hawa nao wanaruhusiwa kurusha ndege tu Kwa kuwa wamesomea kazi hiyo bila Leseni?
Swali la msingi kama TFF ni mwanachama wa CAF na iliendesha hizo kozi hizo tatizo liko wapi Kwa wahitimu kupatiwa Leseni?
Bila shaka TFF kuna kitu wanatuficha au kutudanganya, lakini nyeti za Kuku kikija kimbunga lazima zionekane, ujanja ujanja wa TFF unaelekea tamati yake muda si mrefu.
Walete walete Scars Tate Mkuu , Shadeeya
View attachment 2351210
Level ya vitu msivyovijua ni bora mkauliza kwa wanaojua muelewe ili kuepuka kupotosha.Tatizo lako ni ujuaji mwingi mwisho unaonekana fala hapa swala sio Simba na Yanga issue ni kwamba unawezaje kufanya kazi pasipokua na leseni na cheti chukulika professionals zingine mfano Dakitari, Mwanasheria, Accountant and so on unless kama football ni genge la wahuni
Nyinyi uwezo wenu wa kuelewa ni mdogo sanaSomalia wenyewe walicheza hapa mechi zao mbili haka ka jamaa hua dish lake ni E-32
Haujaelewa, na hao unaowaita nao hawajaelewa na hata mjikusanye muwe kundi napo hamtaelewa😄😄😄😄 Aliyemuelewa huyu mbumbumbu aje anieleweshe na mimi nielewe.
Ume andika uharo tupuLevel ya vitu msivyovijua ni bora mkauliza kwa wanaojua muelewe ili kuepuka kupotosha.
Usi jaji jambo usilolijua kwa kutumia mazoea ya mazingira mengine ambayo jambo hilo haliwezekani ilihali unajua hizo ni department mbili tofauti.
Kama mngetaka kulijadili hili jambo rational bila kuweka speculations zenu mngehoji kama kuna sheria inayo kataza hilo jambo kufanyika.
Na hii sio mara ya kwanza nyinyi kuleta jambo kama hili kwa lengo la kuonesha kuna ukiukwaji wa sheria halafu mwisho wa siku ikija sheria inayo support mnakuwa kimya.
Kufananisha mpira na leseni ya udereva hiyo inaonesha ni kiasi gani watu hamna weledi wa kufanya comparison ya vitu, yani bora mngekuja na references zinazo relate mngesema jambo kama hilo liliwahi kutokea kwenye Club fulani ya mpira na sheria ikambana huyo kocha na ndio mana hapa tunasema hili haliwezekani, sasa mnasema haliwezekani kwasababu ya leseni ya udereva hiki ni kichekesho
Mleete MgundaaYanga bana sijui mkoje yani vitu vidogo tu lakini mnaviundia bunge
Halafu unatumia kanuni za Veta kwenye soka kuonesha tatizo
Sasa vipi na mwingine akija kusema kuna uwezekano mtu asipewe cheti cha ukocha ila akatumia results slip yake kwasbabu tayari taarifa zake za kitaaluma zipo kwenye record ya CAF na kwamba CAF imetoa utatlratibu wa kuwaruhusu watambulike kama watu waliofuzu mafunzo?
Una panick nini sasa, ukiandika utumbo ni lazima uelezwe.Fani yoyote inayohusisha Leseni hutambuliki bila Leseni, waulize madaktari watakwambia, waulize Engineer's watakwambia.
Nb; Tutusa Baba'ko, kolongwee wahed