Suala la Juma Mgunda, TFF wamezidisha maswali zaidi kuliko majibu au ufafanuzi walioutowa

Suala la Juma Mgunda, TFF wamezidisha maswali zaidi kuliko majibu au ufafanuzi walioutowa

Fani yoyote inayohusisha Leseni hutambuliki bila Leseni, waulize madaktari watakwambia, waulize Engineer's watakwambia.

Nb; Tutusa Baba'ko, kolongwee wahed
Mkuu kama vile umepanic ghafla mbona?
 
Siku ukipata jibu kwani MaCCm yalikuwa yanataka Mbowe aondoke CDM ndio utafahamu kwani Utopolo wanamuogopa Babra kama ukoma na wanashinikiza aondoke...

Ahsanta
Hapa nimepata mada ya kufanyia utafiti, huenda kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia.
 
Uhalali wa result slip unaisha pale tu matokeo yanapotangazwa na necta. Matokeo yakishatoka tunataka cheti na sio result slip
Ulichoandika unakijua? Sitaki kukutukana maana mimi nina akili zangu timamu

Yaan "uhalali wa result slip unaishia pale tu matokeo yanapotangazwa na necta" unajua result ni nini kwa kiswahili? Unajua result slip ni kitu gani?

Nakushauri vitu vya kitaalamu usiwe unaviongelea maana unajivua nguo, tafadhali chutama kama wewe ni muungwana.
 
Back
Top Bottom