Suala la Kagoma Fountain Gate mlishajichanganya pakubwa bora mkae kimya Yanga ashughulike na mhalifu wake

Suala la Kagoma Fountain Gate mlishajichanganya pakubwa bora mkae kimya Yanga ashughulike na mhalifu wake

Makavuli

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
1,425
Reaction score
1,829
Nimemsikiliza msemaji wa fountain gate vizuri akisema yanga walikiuka makubaliano kwa kuchelewesha fedha walizokubaliana juu ya mauzo ya kagoma ivyo mkataba ukawa umevunjika na wakawauzia Simba mchezaji!

Hiki ni kichekesho kingine kwakuwa mkataba wa mchezaji aliousaini na klabu husika auwezi kuvunjika kwa kuchelewesha malipo kwa siku 5!

Icho kitu akipo popote ata fifa, na mbaya zaidi wakamuuza Tena mchezaji kwa klabu nyingine na mchezaji uyo uyo akasaini Tena mkataba mwingine!

Fountain gate ni Bora wachutame wasiendelee kukuza mambo kama iyo ndio hoja yao kuu wanayoishikilia itawacost wawaache yanga waendelee kudili na kagoma binafsi ambaye alisaini mikataba miwili (double signing) akiwa na akili zake timamu!

Kucheleweshewa malipo Tena kwa siku 5 akuondoi uhalali wala kuvunjika kwa mkataba aliousaini kagoma kisheria, hapo ndipo nguvu ya yanga ilipo wao sio wajinga kulivalia njuga suala ilo!

Soma Pia: Mwanasheria wa Yanga: Mchezaji Yusuph Kagoma alisaini mkataba wa miaka mitatu na Yanga

Tunaweza kurudi kwenye suala la Simba na lamek lawi, alinukuliwa magori akisema kuchelewesha malipo ya lawi akuondoi uhalali wa mkataba aliousaini kati yake na Simba na alikuwa sahihi lakini waliamua kumalizana wao uko kwa busara!

Sasa kwa hili la kagoma kamati isipepese macho itoe maamuzi kwa kufata kanuni na taratibu zilizowekwa mwenye makosa aadhibiwe na sio vinginevyo!
 
Yanga wanaleta uhuni.

Baada ya kusikia dili ya Simba ndio wanaweka hela kuvuruga mchakato.

Utaratibu ni kuwa unaposaini mkataba unatakiwe uweke mzigo siku hiyo hiyo kama kuna kitachobakia, mtakubaliana namna ya kulipana baadae.

Sasa unamsainisha mtu halafu humpi hela unategemea asubiri tu bila kujua hatma yake??
 
Nimemsikiliza msemaji wa fountain gate vizuri akisema yanga walikiuka makubaliano kwa kuchelewesha fedha walizokubaliana juu ya mauzo ya kagoma ivyo mkataba ukawa umevunjika na wakawauzia Simba mchezaji!
Hiki ni kichekesho kingine kwakuwa mkataba wa mchezaji aliousaini na klabu husika auwezi kuvunjika kwa kuchelewesha malipo kwa siku 5!
Icho kitu akipo popote ata fifa, na mbaya zaidi wakamuuza Tena mchezaji kwa klabu nyingine na mchezaji uyo uyo akasaini Tena mkataba mwingine!
Fountain gate ni Bora wachutame wasiendelee kukuza mambo kama iyo ndio hoja yao kuu wanayoishikilia itawacost wawaache yanga waendelee kudili na kagoma binafsi ambaye alisaini mikataba miwili (double signing) akiwa na akili zake timamu!
Kucheleweshewa malipo Tena kwa siku 5 akuondoi uhalali wala kuvunjika kwa mkataba aliousaini kagoma kisheria, hapo ndipo nguvu ya yanga ilipo wao sio wajinga kulivalia njuga suala ilo!
Tunaweza kurudi kwenye suala la Simba na lamek lawi, alinukuliwa magori akisema kuchelewesha malipo ya lawi akuondoi uhalali wa mkataba aliousaini kati yake na Simba na alikuwa sahihi lakini waliamua kumalizana wao uko kwa busara!
Sasa kwa hili la kagoma kamati isipepese macho itoe maamuzi kwa kufata kanuni na taratibu zilizowekwa mwenye makosa aadhibiwe na sio vinginevyo!
Umeandika mengi ila haujaelezea iwapo baada ya Kagoma kusaini mkataba na Yanga, Je, alisajiliwa na Yanga? Kama hakusajiliwa mpelekeni polisi wakati anaendelea kucheza alikosajiliwa
 
Nimemsikiliza msemaji wa fountain gate vizuri akisema yanga walikiuka makubaliano kwa kuchelewesha fedha walizokubaliana juu ya mauzo ya kagoma ivyo mkataba ukawa umevunjika na wakawauzia Simba mchezaji!
Hiki ni kichekesho kingine kwakuwa mkataba wa mchezaji aliousaini na klabu husika auwezi kuvunjika kwa kuchelewesha malipo kwa siku 5!
Icho kitu akipo popote ata fifa, na mbaya zaidi wakamuuza Tena mchezaji kwa klabu nyingine na mchezaji uyo uyo akasaini Tena mkataba mwingine!
Fountain gate ni Bora wachutame wasiendelee kukuza mambo kama iyo ndio hoja yao kuu wanayoishikilia itawacost wawaache yanga waendelee kudili na kagoma binafsi ambaye alisaini mikataba miwili (double signing) akiwa na akili zake timamu!
Kucheleweshewa malipo Tena kwa siku 5 akuondoi uhalali wala kuvunjika kwa mkataba aliousaini kagoma kisheria, hapo ndipo nguvu ya yanga ilipo wao sio wajinga kulivalia njuga suala ilo!
Tunaweza kurudi kwenye suala la Simba na lamek lawi, alinukuliwa magori akisema kuchelewesha malipo ya lawi akuondoi uhalali wa mkataba aliousaini kati yake na Simba na alikuwa sahihi lakini waliamua kumalizana wao uko kwa busara!
Sasa kwa hili la kagoma kamati isipepese macho itoe maamuzi kwa kufata kanuni na taratibu zilizowekwa mwenye makosa aadhibiwe na sio vinginevyo!
Pata muda msikilize na Mwanasheria wao
 
Umeandika mengi ila haujaelezea iwapo baada ya Kagoma kusaini mkataba na Yanga, Je, alisajiliwa na Yanga? Kama hakusajiliwa mpelekeni polisi wakati anaendelea kucheza alikosajiliwa
Usiwe unadandia vitu ambavyo uvijui, tofautisha kusaini mkataba na kusajiliwa ni vitu viwili tofauti, hapo ndipo mnapopuyanga, yanga ndio maana anadili na mchezaji aliyesaini mkataba na wao, kama mkataba aliousaini ulikuwa sio halali eti kwakuwa ilikiuka makubaliano ndio itajulikana sasa mbele ya kamati, nyie lamek lawi mlimpeleka polisi?
 
Yanga wanaleta uhuni.

Baada ya kusikia dili ya Simba ndio wanaweka hela kuvuruga mchakato.

Utaratibu ni kuwa unaposaini mkataba unatakiwe uweke mzigo siku hiyo hiyo kama kuna kitachobakia, mtakubaliana namna ya kulipana baadae.

Sasa unamsainisha mtu halafu humpi hela unategemea asubiri tu bila kujua hatma yake??
Akuna cha uhuni hapo, kama ni uhuni basi kagoma na watu wake ndio wahuni, nani alikwambia kuchelewa kufanya malipo ndio kunavunja mkataba wa mchezaji? Tena kuchelewa kwa siku 5? Iyo ni Sheria ya wapi ebu tuambie!
 
Pata muda msikilize na Mwanasheria wao
Mwanasheria nilimsikiliza na yeye anaongea yale yale ya kwamba wao walifanya biashara na Simba, xaxa ni nani aliwaambia wafanye biashara na Simba wakati wanao mkataba mwingine na yanga? Na bado wakamwambia mchezaji asaini Tena mkataba na Simba walijua kwamba ule wa yanga tiyali umevunjika iyo kitu aipogo uwezi kuvunja mkataba kirahisi ivyo kama unavunja Kuni Tena mkataba wa mchezaji na klabu ni ngumu!
 
Ni vizuri pia mkarejea kwenye kanuni za fifa 12 bis (3) ya kanuni za uhamisho na hadhi za wachezaji (RSTP) ya 2024 je inasemaje kuhusu ucheleweshwaji wa malipo ya mchezaji kwenye timu inayomuuza, mkimaliza hapo mrudi kujadili suala la fountain gate na hoja zao!
 
Mwanasheria nilimsikiliza na yeye anaongea yale yale ya kwamba wao walifanya biashara na Simba, xaxa ni nani aliwaambia wafanye biashara na Simba wakati wanao mkataba mwingine na yanga? Na bado wakamwambia mchezaji asaini Tena mkataba na Simba walijua kwamba ule wa yanga tiyali umevunjika iyo kitu aipogo uwezi kuvunja mkataba kirahisi ivyo kama unavunja Kuni Tena mkataba wa mchezaji na klabu ni ngumu!
Sasa ule Wa Lameck Lawi ulikuwaje? Siyo kwamba Yanga kuna watu mahiri sana kisheria km mtoa post anavyojinadi. Mbona walishindwa kwa Morrison?
Mwanasheria Wa Fountain gate amewaambia waonyeshe mkataba Wa Aziz Andambwile ambao ndio ulikuwa mbadala Wa ule Wa Kagoma na Yanga wakakubali na pesa ambazo Yanga walilipa nje ya muda kwa ajili ya Kagoma ikahamishwa ktk mkataba Wa Andambwile kwa ridhaa ya Yanga na wakasaini na kupewa release letter. Ndo mana wanadai hawana shida na Fountain gate Bali Wana shida na Kagoma. Wanasahau kuwa Kagoma alikuwa ni bidhaa tu na mmiliki ndo alikuwa na Sauti. Mmiliki ndiye aliyetaka kumuuza Yanga na baada ya Yanga kutotimiza matakwa ya mkataba akamuuza Simba.
Wanachofanya Yanga ni kujaribu kumharibia Kagoma na Simba kutokana tu na uadui uliopo unaotokana na upinzani. Yanga hawakuwahi kumuingizia Kagoma ht Mia km malipo ya mkataba wake. Ht Fountain gate hawadawi na Yanga ht Mia kwa sababu pesa zote walizolipa Fountain gate kwa wachezaji wawili walishapa wachezaji wawili kwa ridhaa yao. Wataaibika bure kabisa mana walianza kuzusha kuwa Kagoma kazuiliwa kucheza, hadi vyombo rasmi vikaingia mkenge na kutangaza hivyo, Jambo ambalo halikuwa la kweli.
 
Sasa ule Wa Lameck Lawi ulikuwaje? Siyo kwamba Yanga kuna watu mahiri sana kisheria km mtoa post anavyojinadi. Mbona walishindwa kwa Morrison?
Mwanasheria Wa Fountain gate amewaambia waonyeshe mkataba Wa Aziz Andambwile ambao ndio ulikuwa mbadala Wa ule Wa Kagoma na Yanga wakakubali na pesa ambazo Yanga walilipa nje ya muda kwa ajili ya Kagoma ikahamishwa ktk mkataba Wa Andambwile kwa ridhaa ya Yanga na wakasaini na kupewa release letter. Ndo mana wanadai hawana shida na Fountain gate Bali Wana shida na Kagoma. Wanasahau kuwa Kagoma alikuwa ni bidhaa tu na mmiliki ndo alikuwa na Sauti. Mmiliki ndiye aliyetaka kumuuza Yanga na baada ya Yanga kutotimiza matakwa ya mkataba akamuuza Simba.
Wanachofanya Yanga ni kujaribu kumharibia Kagoma na Simba kutokana tu na uadui uliopo unaotokana na upinzani. Yanga hawakuwahi kumuingizia Kagoma ht Mia km malipo ya mkataba wake. Ht Fountain gate hawadawi na Yanga ht Mia kwa sababu pesa zote walizolipa Fountain gate kwa wachezaji wawili walishapa wachezaji wawili kwa ridhaa yao. Wataaibika bure kabisa mana walianza kuzusha kuwa Kagoma kazuiliwa kucheza, hadi vyombo rasmi vikaingia mkenge na kutangaza hivyo, Jambo ambalo halikuwa la kweli.
Nakuuliza swali Moja tu, Kagoma alisaini mkataba na yanga ama akusaini?
 
Sasa ule Wa Lameck Lawi ulikuwaje? Siyo kwamba Yanga kuna watu mahiri sana kisheria km mtoa post anavyojinadi. Mbona walishindwa kwa Morrison?
Mwanasheria Wa Fountain gate amewaambia waonyeshe mkataba Wa Aziz Andambwile ambao ndio ulikuwa mbadala Wa ule Wa Kagoma na Yanga wakakubali na pesa ambazo Yanga walilipa nje ya muda kwa ajili ya Kagoma ikahamishwa ktk mkataba Wa Andambwile kwa ridhaa ya Yanga na wakasaini na kupewa release letter. Ndo mana wanadai hawana shida na Fountain gate Bali Wana shida na Kagoma. Wanasahau kuwa Kagoma alikuwa ni bidhaa tu na mmiliki ndo alikuwa na Sauti. Mmiliki ndiye aliyetaka kumuuza Yanga na baada ya Yanga kutotimiza matakwa ya mkataba akamuuza Simba.
Wanachofanya Yanga ni kujaribu kumharibia Kagoma na Simba kutokana tu na uadui uliopo unaotokana na upinzani. Yanga hawakuwahi kumuingizia Kagoma ht Mia km malipo ya mkataba wake. Ht Fountain gate hawadawi na Yanga ht Mia kwa sababu pesa zote walizolipa Fountain gate kwa wachezaji wawili walishapa wachezaji wawili kwa ridhaa yao. Wataaibika bure kabisa mana walianza kuzusha kuwa Kagoma kazuiliwa kucheza, hadi vyombo rasmi vikaingia mkenge na kutangaza hivyo, Jambo ambalo halikuwa la kweli.
Na kama alisaini ni Sheria ipi inayobatilisha mkataba wake na yanga? Msiwe mnaokota okota vitu mitandaoni na mkameza kama vilivyo,,bila kuzishughulisha akili zenu,,yanga hoja yake ni kuhusu double signing aliyofanya kagoma ndio msingi wa kesi na si vinginevyo, ayo mengine ni kuongezea nyama tu but hoja ni iyo kwanini alifanya double signing? Ni mkataba upi ulivunjwa ili kuhalalisha mkataba mwingine!
 
Na mm nakuuliza swali, Morrison alisaini mkataba na Yanga au hakusaini? Mkataba Wa Kagoma ulihitaji kukamilishwa kwa malipo na kusajiliwa kwenye mfumo Wa TFF. Mpaka muda huu mkataba huo haujawahi kupelekwa kwenye mfumo. Hata alipoulizwa leo mwanasheria Wa Yanga amekiri kuwa hawakuupeleka kwenye mfumo baada ya kuhisi Fountain gate wasingewapa go ahead.
Mikataba hufutwa au kuvunjwa kwa mikataba. Waambie Yanga wakuonyeshe mkataba Wa Fountain gate na Yanga juu ya Andambwile.
 
Na kama alisaini ni Sheria ipi inayobatilisha mkataba wake na yanga? Msiwe mnaokota okota vitu mitandaoni na mkameza kama vilivyo,,bila kuzishughulisha akili zenu,,yanga hoja yake ni kuhusu double signing aliyofanya kagoma ndio msingi wa kesi na si vinginevyo, ayo mengine ni kuongezea nyama tu but hoja ni iyo kwanini alifanya double signing? Ni mkataba upi ulivunjwa ili kuhalalisha mkataba mwingine!
Sasa km Kagoma alifanya double signing kwanini wasiwakomalie na Fountain gate mana na wao walifanya double signing. Mana walisaini na Yanga kuhusu Kagoma na kusaini tena na Simba juu ya huyo huyo Kagoma. Tafuta mkataba Wa Andambwile ili umalize maswali yako yote.
Wanajua Ni rabsha tu wanaleta. Hakuna lolote wanalitaka Yanga. Ndo mana wanataka kuombwa radhi..
 
Na mm nakuuliza swali, Morrison alisaini mkataba na Yanga au hakusaini? Mkataba Wa Kagoma ulihitaji kukamilishwa kwa malipo na kusajiliwa kwenye mfumo Wa TFF. Mpaka muda huu mkataba huo haujawahi kupelekwa kwenye mfumo. Hata alipoulizwa leo mwanasheria Wa Yanga amekiri kuwa hawakuupeleka kwenye mfumo baada ya kuhisi Fountain gate wasingewapa go ahead.
Mikataba hufutwa au kuvunjwa kwa mikataba. Waambie Yanga wakuonyeshe mkataba Wa Fountain gate na Yanga juu ya Andambwile.
Kwaiyo malipo ayakukamilishwa? Usipokamilisha malipo mkataba unavunjika?
 
Back
Top Bottom