Suala la Kagoma Fountain Gate mlishajichanganya pakubwa bora mkae kimya Yanga ashughulike na mhalifu wake

Suala la Kagoma Fountain Gate mlishajichanganya pakubwa bora mkae kimya Yanga ashughulike na mhalifu wake

kwa hiyo pre contract haiwezi kutumika kama ushaidi? na inakuwaje upande mmoja unapo kiuka mkataba wa awali?
Inaweza kutumika kama makubaliano yalifuatwa ila yanga huo mda wanaosema walikuwa wamefungiwa kusajili hivyo hili swala la kagoma lina ujanja ujanja mwingi sana.
 
Wewe usiwapangie yanga mtu wa kukomaa nae, wao wanajua wanachokifanya, Hii ni kesi ya yanga na kagoma mambo ya fountain gate yatakuja badae kwenye huu mlolongo, akili za kuambiwa changanya na za kwako wewe ukiambiwa kula mavi utakula na wakati unajua sio kitu sahihi?
Huyu nasadifu alichokisema manara kwamba wenye akili wawili tu
 
Kati ya usajiri na mkataba kipi kina anza?
Ili ufanye usajili lazima uambatanishe mkataba, so mkataba unaanza. Kwa hiyo ukiona timu imekamilisha usajili ujue tayari ina mkataba na mchezaji, lakini timu yenye mkataba si lazima ikamilishe usajili, inaweza pia ikaamua kuuweka kwenye makabati.
 
Kipindi cha Morrison (Wakili msomi) zilipigwa kelele kama hizi. Kilichotokea Morrison akagalagaza jopo la wanasheria 6 huko CAS ikawa kimyaa.
Hili ni muendelezo ule ule mwisho wa siku itakua kimyaa
 
Yanga wanaleta uhuni.

Baada ya kusikia dili ya Simba ndio wanaweka hela kuvuruga mchakato.

Utaratibu ni kuwa unaposaini mkataba unatakiwe uweke mzigo siku hiyo hiyo kama kuna kitachobakia, mtakubaliana namna ya kulipana baadae.

Sasa unamsainisha mtu halafu humpi hela unategemea asubiri tu bila kujua hatma yake??
Mkataba unasemaje kuhusu malipo na mazingira yanayoweza kusabibisha mkataba kuvunjika. Na transfer forms zimesainiwa toka timu ipi kwenda timu ipi. Si kuna kuwa na transfer fomu moja au nyingi Kwa mcheza huyo huyo
 
Akuna cha uhuni hapo, kama ni uhuni basi kagoma na watu wake ndio wahuni, nani alikwambia kuchelewa kufanya malipo ndio kunavunja mkataba wa mchezaji? Tena kuchelewa kwa siku 5? Iyo ni Sheria ya wapi ebu tuambie!
Kwahiyo muda wa malipo unajipangia wewe Mnunuzi?
Buyer & seller....mwanasheria wenu kwanza aeleze maana ya maneno hayo.
 
Akuna cha uhuni hapo, kama ni uhuni basi kagoma na watu wake ndio wahuni, nani alikwambia kuchelewa kufanya malipo ndio kunavunja mkataba wa mchezaji? Tena kuchelewa kwa siku 5? Iyo ni Sheria ya wapi ebu tuambie!
Kwahiyo muda wa malipo unajipangia wewe Mnunuzi?
Buyer & seller....mwanasheria wenu kwanza aeleze maana ya maneno hayo.
 
Anawa
Tatizo ww unazungumzia kishabiki mimi nazungumzia uhalisia wa jambo lilivyo yanga hakuna anayejua sheria hata kitendo cha kuweka zile document hadharani kama kagoma anaaamua kuwaburuza mahakamani analipwa pesa nyingi sana kwa kuvujisha zile document.
Anawaburuza vp zile ni mali yao na yeye ana zake?
 
Anawa

Anawaburuza vp zile ni mali yao na yeye ana zake?
Ukigombana na boss wako kazini halafu akaamua kuweka document zako hadharani hata kama ulikuwa na makosa hilo ni tatizo mkataba ni siri ndio maana juu pale unaandakiwa kabisa kwamba ni siri ni kesi gani alishinda mwanasheria wa yanga hebu tuambie nakusubiria.
 
Endeleeni na comedy zenu utopolo kagoma anapiga kimataifa j pili
Comedy ndizo huzaa faini na majuto!
Kesho j2 ni siku ingine ya aibu kwa taifa maskini Simba atakula 3 bila majibu. Simba shirikisho mechi zake mbili tu. Niko paleee!!
 
Back
Top Bottom