Hivi mmeshtaki? Au nia ni maigizo tu ilimradi kuwe na midahalo mitandaoni?Na kama alisaini ni Sheria ipi inayobatilisha mkataba wake na yanga? Msiwe mnaokota okota vitu mitandaoni na mkameza kama vilivyo,,bila kuzishughulisha akili zenu,,yanga hoja yake ni kuhusu double signing aliyofanya kagoma ndio msingi wa kesi na si vinginevyo, ayo mengine ni kuongezea nyama tu but hoja ni iyo kwanini alifanya double signing? Ni mkataba upi ulivunjwa ili kuhalalisha mkataba mwingine!
Wewe usiwapangie yanga mtu wa kukomaa nae, wao wanajua wanachokifanya, Hii ni kesi ya yanga na kagoma mambo ya fountain gate yatakuja badae kwenye huu mlolongo, akili za kuambiwa changanya na za kwako wewe ukiambiwa kula mavi utakula na wakati unajua sio kitu sahihi?Sasa km Kagoma alifanya double signing kwanini wasiwakomalie na Fountain gate mana na wao walifanya double signing. Mana walisaini na Yanga kuhusu Kagoma na kusaini tena na Simba juu ya huyo huyo Kagoma. Tafuta mkataba Wa Andambwile ili umalize maswali yako yote.
Wanajua Ni rabsha tu wanaleta. Hakuna lolote wanalitaka Yanga. Ndo mana wanataka kuombwa radhi..
Hukumbuki yaliyowatokea Simba kwa Lameck Lawi Wa Coastal?Kwaiyo malipo ayakukamilishwa? Usipokamilisha malipo mkataba unavunjika?
Watakwenda hadi CAS lkn wataangukia pua. Ni wazoefu wa kushindwa kesi. Acha wakomae tu.Wewe usiwapangie yanga mtu wa kukomaa nae, wao wanajua wanachokifanya, Hii ni kesi ya yanga na kagoma mambo ya fountain gate yatakuja badae kwenye huu mlolongo, akili za kuambiwa changanya na za kwako wewe ukiambiwa kula mavi utakula na wakati unajua sio kitu sahihi?
Bingwa Bia.Yanga bingwa
Akuna❎Akuna cha uhuni hapo, kama ni uhuni basi kagoma na watu wake ndio wahuni, nani alikwambia kuchelewa kufanya malipo ndio kunavunja mkataba wa mchezaji? Tena kuchelewa kwa siku 5? Iyo ni Sheria ya wapi ebu tuambie!
Tuonyeshe hapa mkataba wa Andambwile kama unao.Hukumbuki yaliyowatokea Simba kwa Lameck Lawi Wa Coastal?
Bila kukubali kuwa mkataba umevunjika kwanini walikubali ile hela waliyolipa kwa Kagoma iende kwa Andambwile? Ww tafuta mkataba Wa Andambwile. Hutakuwa na maswali yote hayo.
Ndo mana wakati dirisha la usajili la TFF lilipokuwa wazi hawakuhangaika na Kagoma. Walijua wataumbuka. Wanakuja wakati huu ambapo dirisha limefungwa ili kumsumbua Kagoma lkn lengo kuu ni kuwasumbua Simba.
Lkn hawatafanikiwa.
Yanga hawaidai Fountain gate mil 30. Hiyo hela waliitumia kwenye usajili Wa Andambwile Aziz. Hawadai ht Mia.Kishika uchumba sio ndio hitimisho,transfer letter na code za kwenye electronic transfer ndio mpango mzima ambavyo vyote Simba wanavyo.
Nachowashauri hawa Yanga waidai mil30 yao tu hawawezi tena kumsajili huyo dogo kwani tayari amesajiliwa Simba na kwenye mtandao ndio inaonekana hivyo
Uutafute wewe. Mm nmeuona. Km huwezi kuuona bac elewa tu kimazingira kuwa Yanga walimnunua Aziz Andambwile pia kutoka kwa hao hao Fountain gate. Yanga wenyewe wameonyesha risiti 2 za mil.30. jumla mil. 60 kwa ajili ya wachezaji wawili. Sasa Wana Kibabage na Andambwile. Wawaambieni hela ya kumnununua Andambwile walilipa lini? Tumia akili kdg tu Mkuu, pamoja na upenzi na ushabiki ulio nao.Tuonyeshe hapa mkataba wa Andambwile kama unao.
Uelewa wako mdogo sana wewe, hivi vitu waachie watu wenye uelewa wajadili.Umeandika mengi ila haujaelezea iwapo baada ya Kagoma kusaini mkataba na Yanga, Je, alisajiliwa na Yanga? Kama hakusajiliwa mpelekeni polisi wakati anaendelea kucheza alikosajiliwa
Embu tuambie Mkuu, hivi Yanga leo hii wakipewa Kagoma awe mchezaji wao watamfanya nn wakati huu ambao dirisha la usajili limefungwa? Mbona hizi jitihada na hizi kelele hawakupiga wakati dirisha likiwa wazi? TFF walitoa muda Wa mapingamizi, kwann hawakuweka pingamizi kwa usajili Wa Kagoma kwenda Simba km wana mkataba wanaoamini ni halali? Hizi ni drama tu. Hazina impact yoyote...Uelewa wako mdogo sana wewe, hivi vitu waachie watu wenye uelewa wajadili.
Ok, sawa ngoja tuzione izo akili zako!Watakwenda hadi CAS lkn wataangukia pua. Ni wazoefu wa kushindwa kesi. Acha wakomae tu.
Sheria ya fifa ni siku 30 toka deadline,siku tano fountain gate wakamuua kwingineNi vizuri pia mkarejea kwenye kanuni za fifa 12 bis (3) ya kanuni za uhamisho na hadhi za wachezaji (RSTP) ya 2024 je inasemaje kuhusu ucheleweshwaji wa malipo ya mchezaji kwenye timu inayomuuza, mkimaliza hapo mrudi kujadili suala la fountain gate na hoja zao!
Wewe una asili ya ubishi ambao auna maana yoyote na akuna unachokijua zaidi ya kupoteza mda wangu Bure hapa, nimeona unang'ang'ana na mkataba wa andambwile baada ya kuwasifia fountain gate wanaotoka iyo hoja ukadandia usichokijua, unajua yanga waliwalipa fountain gate shingapi jumla kwa hao wachezaji 3? Yanga wamelipa jumla milioni 90, kwa taarifa yako sasa nenda Tena wakueleze vizuri hao jamaa zako ndo maana nakwambia akuna unachokijua wewe zaidi ya ubishi tu usioeleweka!Hukumbuki yaliyowatokea Simba kwa Lameck Lawi Wa Coastal?
Bila kukubali kuwa mkataba umevunjika kwanini walikubali ile hela waliyolipa kwa Kagoma iende kwa Andambwile? Ww tafuta mkataba Wa Andambwile. Hutakuwa na maswali yote hayo.
Ndo mana wakati dirisha la usajili la TFF lilipokuwa wazi hawakuhangaika na Kagoma. Walijua wataumbuka. Wanakuja wakati huu ambapo dirisha limefungwa ili kumsumbua Kagoma lkn lengo kuu ni kuwasumbua Simba.
Lkn hawatafanikiwa.
Good thinking 🤔Nimemsikiliza msemaji wa fountain gate vizuri akisema yanga walikiuka makubaliano kwa kuchelewesha fedha walizokubaliana juu ya mauzo ya kagoma ivyo mkataba ukawa umevunjika na wakawauzia Simba mchezaji!
Hiki ni kichekesho kingine kwakuwa mkataba wa mchezaji aliousaini na klabu husika auwezi kuvunjika kwa kuchelewesha malipo kwa siku 5!
Icho kitu akipo popote ata fifa, na mbaya zaidi wakamuuza Tena mchezaji kwa klabu nyingine na mchezaji uyo uyo akasaini Tena mkataba mwingine!
Fountain gate ni Bora wachutame wasiendelee kukuza mambo kama iyo ndio hoja yao kuu wanayoishikilia itawacost wawaache yanga waendelee kudili na kagoma binafsi ambaye alisaini mikataba miwili (double signing) akiwa na akili zake timamu!
Kucheleweshewa malipo Tena kwa siku 5 akuondoi uhalali wala kuvunjika kwa mkataba aliousaini kagoma kisheria, hapo ndipo nguvu ya yanga ilipo wao sio wajinga kulivalia njuga suala ilo!
Tunaweza kurudi kwenye suala la Simba na lamek lawi, alinukuliwa magori akisema kuchelewesha malipo ya lawi akuondoi uhalali wa mkataba aliousaini kati yake na Simba na alikuwa sahihi lakini waliamua kumalizana wao uko kwa busara!
Sasa kwa hili la kagoma kamati isipepese macho itoe maamuzi kwa kufata kanuni na taratibu zilizowekwa mwenye makosa aadhibiwe na sio vinginevyo!
Yanga ni makanjanja unamsainisha vipi Mchezaji mkataba wakati hela hujampa ? Hata wewe mleta uzi unaweza kupanga na kusaini mkataba wakati mwenye nyumba hujampa chake ?Nimemsikiliza msemaji wa fountain gate vizuri akisema yanga walikiuka makubaliano kwa kuchelewesha fedha walizokubaliana juu ya mauzo ya kagoma ivyo mkataba ukawa umevunjika na wakawauzia Simba mchezaji!
Hiki ni kichekesho kingine kwakuwa mkataba wa mchezaji aliousaini na klabu husika auwezi kuvunjika kwa kuchelewesha malipo kwa siku 5!
Icho kitu akipo popote ata fifa, na mbaya zaidi wakamuuza Tena mchezaji kwa klabu nyingine na mchezaji uyo uyo akasaini Tena mkataba mwingine!
Fountain gate ni Bora wachutame wasiendelee kukuza mambo kama iyo ndio hoja yao kuu wanayoishikilia itawacost wawaache yanga waendelee kudili na kagoma binafsi ambaye alisaini mikataba miwili (double signing) akiwa na akili zake timamu!
Kucheleweshewa malipo Tena kwa siku 5 akuondoi uhalali wala kuvunjika kwa mkataba aliousaini kagoma kisheria, hapo ndipo nguvu ya yanga ilipo wao sio wajinga kulivalia njuga suala ilo!
Tunaweza kurudi kwenye suala la Simba na lamek lawi, alinukuliwa magori akisema kuchelewesha malipo ya lawi akuondoi uhalali wa mkataba aliousaini kati yake na Simba na alikuwa sahihi lakini waliamua kumalizana wao uko kwa busara!
Sasa kwa hili la kagoma kamati isipepese macho itoe maamuzi kwa kufata kanuni na taratibu zilizowekwa mwenye makosa aadhibiwe na sio vinginevyo!