kajamaa kadogo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,707
- 6,437
mawinga hao wa kariakoo 🤣Wanapata wapi hizo hela za kulipa kodi? Kwa maisha haya haya ya kitanzania mtu wa kawaida anapata wapi hizo hela?
Mademu wengi wa mondi hawana akili ndio maana mondi huwa anawa winKuna mademu hawanaga akili, hiyo pisi ya mondi akili kisoda kama alivyokua Hamisa.
pia hawa waseng& wengi hawana shukurani sijuhi ni kwanini ?kuna mmoja nilimlipia kodi mwezi mmoja basi kila siku nilikua naenda kulala kwake najilia yangu mpaka huo mwezi ukaisha kisha nikachapa raba
nyinyi mnakutana na hawa wajinga wajinga japo niliwahi kuwa mmoja waoSiku hizi tunajengewa nyumba, tena maghorofa. Uko nyuma sana na taarifa. Kupangiwa iko so Yesterday.
wewe ni mmoja waosisi tunaouza pilipili kichaa hapa soko la stereo temeke hatuwezi kuwa sawa na vunjabei kiuchumi na kwa muktadha huo huo muhudumu wa ofisi ya halmashauri hawezi lingana na muhudumu wa ofisi bot I.e tujikune pale tunapoweza.
Nini kimetokea Mtumishi?Kuna mademu hawanaga akili, hiyo pisi ya mondi akili kisoda kama alivyokua Hamisa.
mkuu ushakunywa chaiWanaume tunapozaliwa tu tunayakuta madeni yanatusubiri na hata tukifa tunaacha madeni ya kutosha. So tusiogope madeni, ni swala la choices tu lipi tuanze kulipa, lipi lisubiri na lipi hatutalipa hadi tufe.
Appostile kuna Muujiza mwingine hukuSuala la kulipia demu kodi ni gumu dunia kote sio kwa Mond tu ndiyo maana nasemaga kuoa ni kwa ajili ya watu dhaifu 🤣
wanaume nice guy huwa inalipa kodi hadi milioni 3 eti..! Dah halafu unalikuta linalipa hiyo kodi hata bima ya afya hana.
Mimi nakumbuka niliwahi kuachana na demu mmoja mseng& nilikuwa ni kweli namlipia kodi ila huyo mseng& alikuwa anataka mimi nisiwe na chochote yani nilikuwa hata kuvaa kwangu shida kumamak& ila toka nimepigana nae chini nimepiga hatua kubwa halafu wale waseng& wanaenda hadi kwa waganga kukupiga juju🤣🤣🤣🤣
Quote
je wewe unaweza mlipia kodi mtu ambaye hujamuoa ??
Bush DoktaAppostile kuna Muujiza mwingine huku
Vijimambo vya vijana wa mjini mkuuNini kimetokea Mtumishi?