Suala la kulipia demu kodi ni gumu dunia kote sio kwa Mond tu

kajamaa kadogo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2018
Posts
2,707
Reaction score
6,437
Suala la kulipia demu kodi ni gumu dunia kote sio kwa Mond tu ndiyo maana nasemaga kuoa ni kwa ajili ya watu dhaifu 🤣

wanaume nice guy huwa inalipa kodi hadi milioni 3 eti..! Dah halafu unalikuta linalipa hiyo kodi hata bima ya afya hana.

Mimi nakumbuka niliwahi kuachana na demu mmoja mseng& nilikuwa ni kweli namlipia kodi ila huyo mseng& alikuwa anataka mimi nisiwe na chochote yani nilikuwa hata kuvaa kwangu shida kumamak& ila toka nimepigana nae chini nimepiga hatua kubwa halafu wale waseng& wanaenda hadi kwa waganga kukupiga juju🤣🤣🤣🤣
Quote


je wewe unaweza mlipia kodi mtu ambaye hujamuoa ??
 
Mimi nakumbuka niliwahi kuachana na demu mmoja mseng& nilikuwa ni kweli namlipia kodi ila huyo mseng& alikuwa anataka mimi nisiwe na chochote yani nilikuwa hata kuvaa kwangu shida kumamak& ila toka nimepigana nae chini nimepiga hatua kubwa halafu wale waseng& wanaenda hadi kwa waganga kukupiga juju🤣🤣🤣🤣
 
sisi tunaouza pilipili kichaa hapa soko la stereo temeke hatuwezi kuwa sawa na vunjabei kiuchumi na kwa muktadha huo huo muhudumu wa ofisi ya halmashauri hawezi lingana na muhudumu wa ofisi bot i.e tujikune pale tunapoweza.
 
Wanaume tunapozaliwa tu tunayakuta madeni yanatusubiri na hata tukifa tunaacha madeni ya kutosha. So tusiogope madeni, ni swala la choices tu lipi tuanze kulipa, lipi lisubiri na lipi hatutalipa hadi tufe.
 
Appostile kuna Muujiza mwingine huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…