kajamaa kadogo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,707
- 6,437
- Thread starter
- #21
Half american wewe sio mtu kulike tuš¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kulike ni kitu napenda sheikhHalf american wewe sio mtu kulike tuš¤£
Wewe ni mume bora.Baada ya miaka kadhaa kwenye ndoa, Nataka nimpe huyu kokoo wangu zawadi ya nyumba kwenye kumbukumbu ya ndoa. Kama kuwa na mke/wake ni udhaifu nimekuwa dhaifu miaka mingi nimesahau maisha nje ya huo udhaifu.
mkuu mimi siwezi kata ujinga design hiyo nishafanya sana ila tu kuna siku mmoja niliwahi jiuliza maswali haya matatuNikikumbuka nilimlipia kodi alafu akanifukuza kwake mchana kweupe ili amridhishe jamaa wa penzi jipya aliekuwa akiishi jirani sikuwahi kurudia kosa ilipoisha akaomba nmjazie afu 80, sikumpa na akatupiwa virago nje.
Mimi zamani mtu akiambia dah mwanangu demu wangu au mke wangu tumeacha nilikuwa nashangaa sana huyu vipi itakuwa hana hela nini kumbe nilikuwa na miaka 40 ndo nikajuaBaada ya miaka kadhaa kwenye ndoa, Nataka nimpe huyu kokoo wangu zawadi ya nyumba kwenye kumbukumbu ya ndoa. Kama kuwa na mke/wake ni udhaifu nimekuwa dhaifu miaka mingi nimesahau maisha nje ya huo udhaifu.
Wee kajamaa sema huna hela, siyo mbaya ukijikuna unapofikia. Kama una uwezo wa kutoa zawadi ya 10k inatosha. Mwenzako ana uwezo wa kutoa zawadi ya gari 60m. Ni uwezo wake, hakuna mjinga wala wala mjanja. Ni kupenda na uwezo.nyinyi mnakutana na hawa wajinga wajinga japo niliwahi kuwa mmoja wao
Mkuu ulijiuliza maswali mazuri sana, anza nawewe kuyafanikisha mambo yako ndio wengine wafuate.mkuu mimi siwezi kata ujinga design hiyo nishafanya sana ila tu kuna siku mmoja niliwahi jiuliza maswali haya matatu
ā¢una passport ya kusafiria jibu ni āNo
ā¢una bima ya afya jibu ni No
ā¢una kiwanja jibu ni No
Na hapo hata mtoto sina nikaona hapa sio pazuri
Nilichogundua ni kwamba, sisi wanaume tukipata mwanamke mvumilivu, huwa tunafika kwenye breaking point na kuona mengine yote ni ubatili na kumtazama mke kwa thamani yake aliyoitengeneza kwenye maisha yenu.Wewe ni mume bora.
Umenena vyema sana, jikune unapofikia.Wee kajamaa sema huna hela, siyo mbaya ukijikuna unapofikia. Kama una uwezo wa kutoa zawadi ya 10k inatosha. Mwenzako ana uwezo wa kutoa zawadi ya gari 60m. Ni uwezo wake, hakuna mjinga wala wala mjanja. Ni kupenda na uwezo.
mkuu ni kwei ukiendekeza mapenzi jua wewe ni masikini wa uzeeni š¤£Mkuu ulijiuliza maswali mazuri sana, anza nawewe kuyafanikisha mambo yako ndio wengine wafuate.
Ukiendekeza mapenzi utajichelewesha sana, utajikuta unawekeza kumuinua yeye alafu wewe unazidi kushuka na baada ya muda anaweza athithamini uliyomfanyia.
Hata wa sasa hivi mkuu, usiendekeze mapenzi yanagharimu sana muda, fedha na afya yako.mkuu ni kwei ukiendekeza mapenzi jua wewe ni masikini wa uzeeni š¤£
Mwanamke akifanya ujinga usimuendekeze, timua ili akafanye huo ujinga kwa wengine, ila ukibahatisha mwanamke mzuri, usimtumie vibaya, mpe anachostahili.Mimi zamani mtu akiambia dah mwanangu demu wangu au mke wangu tumeacha nilikuwa nashangaa sana huyu vipi itakuwa hana hela nini kumbe nilikuwa na miaka 40 ndo nikajua
mkuu nina risiti za bank mpaka leo maana hiyo mazi ilikuwa inakaha apartment na pale kodi unalipia 250k per month huyo mseng⬠ni hana shukurani broWee kajamaa sema huna hela, siyo mbaya ukijikuna unapofikia. Kama una uwezo wa kutoa zawadi ya 10k inatosha. Mwenzako ana uwezo wa kutoa zawadi ya gari 60m. Ni uwezo wake, hakuna mjinga wala wala mjanja. Ni kupenda na uwezo.
Uliokota janja janja weed ukaigharamia.mkuu nina risiti za bank mpaka leo maana hiyo mazi ilikuwa inakaha apartment na pale kodi unalipia 250k per month huyo mseng⬠ni hana shukurani bro
mtu asiye na akili hawezi ona hiyo fursaWanwake wa kiswahili hawana akili .
Mfano amepata bahati ya Kuwa na Diamond .
Hata asingempatia pesa yoyote Ila angeweza kuitumia hiyo platform kujilikana Kama Models n.k
Angepewa airtime na wasafi media , angepata deal mbali mbali za kuwa Balozi .
Demu anawaza mambo madogo Kama kula , kodi na kuvaa vitu ambayo haviwezi kubadilisha maisha yake.
Nilikuwa napenda Sana Ruge alichokuwa anawaambia hao wan awake zao kuwa anawapa airtime so waibadilishe hiyo iwe pesa , mfano zumaradi, Nandi n.k