Suala la kulipia demu kodi ni gumu dunia kote sio kwa Mond tu

Suala la kulipia demu kodi ni gumu dunia kote sio kwa Mond tu

mkuu we acha alikuwa humbe sana mwanzoni ila siunajua tabia kama ngozi 🤣🤣🤣🤣
Wakati mwingine bora umchukue mwanamke wa kuoa kwa wazazi wake japo ni ngumu sana mjini kwa sasa sababu mabinti nao ni wapambanaji, wanatoka makwao, wanapanga, wanafungua biashara, wanamiliki asset n.k
 
Kutembea na mondi ni fursa ambayo angekuwa na akili ya kujiongeza kidg tu angeweza kutoboa kwa sababu mondi ana platform nyingi ambazo zinamfanya hata ndugu zake wa damu asiwape hela bali watumie hizo platform kupata hela kama kina esma na ricardo momo

Sasa madem kama huyu wakutegemea K Tu impe kila kitu wanasahau kwamba K ukiizoea haina maajabu tena ya kukufanya utoe hela kama mwanzo alivo bwege alikuwa anasubir gar nani akununulie gar mtu usiyeweza kununua mafuta ili wahun waanze kukunulia mafuta wakubutue

Msipojiongeza mtaliwa bure sana
 
Kutembea na mondi ni fursa ambayo angekuwa na akili ya kujiongeza kidg tu angeweza kutoboa kwa sababu mondi ana platform nyingi ambazo zinamfanya hata ndugu zake wa damu asiwape hela bali watumie hizo platform kupata hela kama kina esma na ricardo momo

Sasa madem kama huyu wakutegemea K Tu impe kila kitu wanasahau kwamba K ukiizoea haina maajabu tena ya kukufanya utoe hela kama mwanzo alivo bwege alikuwa anasubir gar nani akununulie gar mtu usiyeweza kununua mafuta ili wahun waanze kukunulia mafuta wakubutue

Msipojiongeza mtaliwa bure sana
mkuu mademu wakitanzania ni chunusi
 
Hawa wanarogwa.. huwezi mlipia Kodi kimada Tena mil 3 hiyo yote kwa ajili ya kufukuzia zinaa. Ndiomaana mnaambiwa mtulie kwenye ndoa zenu... Malaya akishanusa halufu ya pesa Yako atafanya Kila namna akuweke kiganjani uendelee kumtumikia
Ni kama ulivyosema hawa wanawake wengi ni vigagura ni wachawi eti mimi ni wakulipa 250k per tena ni miezi mitano🤔🤔
 
Wanaume tunapozaliwa tu tunayakuta madeni yanatusubiri na hata tukifa tunaacha madeni ya kutosha. So tusiogope madeni, ni swala la choices tu lipi tuanze kulipa, lipi lisubiri na lipi hatutalipa hadi tufe.
Nimeipenda hii
 
Ni kama ulivyosema hawa wanawake wengi ni vigagura ni wachawi eti mimi ni wakulipa 250k per tena ni miezi mitano🤔🤔
Ndio uache uzinzi ss mkuu, na utakutana na mtambo zaidi ya huo ukupoteze kwenye raman
 
Wakati mwingine muwe mnakula kwanza mnashiba ndipo mnaandika nyuzi aiseee...🤨
20250219_161310.jpg
 
Back
Top Bottom