kajamaa kadogo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,707
- 6,437
- Thread starter
- #41
mkuu we acha alikuwa humbe sana mwanzoni ila siunajua tabia kama ngozi 🤣🤣🤣🤣Uliokota janja janja weed ukaigharamia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu we acha alikuwa humbe sana mwanzoni ila siunajua tabia kama ngozi 🤣🤣🤣🤣Uliokota janja janja weed ukaigharamia.
Hakikamtu asiye na akili hawezi ona hiyo fursa
Hawa wanarogwa.. huwezi mlipia Kodi kimada Tena mil 3 hiyo yote kwa ajili ya kufukuzia zinaa. Ndiomaana mnaambiwa mtulie kwenye ndoa zenu... Malaya akishanusa halufu ya pesa Yako atafanya Kila namna akuweke kiganjani uendelee kumtumikianyinyi mnakutana na hawa wajinga wajinga japo niliwahi kuwa mmoja wao
Wakati mwingine bora umchukue mwanamke wa kuoa kwa wazazi wake japo ni ngumu sana mjini kwa sasa sababu mabinti nao ni wapambanaji, wanatoka makwao, wanapanga, wanafungua biashara, wanamiliki asset n.kmkuu we acha alikuwa humbe sana mwanzoni ila siunajua tabia kama ngozi 🤣🤣🤣🤣
Tumia akili ...usipende sana kutegemea geto la demu ...tutakuja kukusoma kwenye gazeti siku mojakuna mmoja nilimlipia kodi mwezi mmoja basi kila siku nilikua naenda kulala kwake najilia yangu mpaka huo mwezi ukaisha kisha nikachapa raba
acha mapepeTumia akili ...usipende sana kutegemea geto la demu ...tutakuja kukusoma kwenye gazeti siku moja
mkuu mademu wakitanzania ni chunusiKutembea na mondi ni fursa ambayo angekuwa na akili ya kujiongeza kidg tu angeweza kutoboa kwa sababu mondi ana platform nyingi ambazo zinamfanya hata ndugu zake wa damu asiwape hela bali watumie hizo platform kupata hela kama kina esma na ricardo momo
Sasa madem kama huyu wakutegemea K Tu impe kila kitu wanasahau kwamba K ukiizoea haina maajabu tena ya kukufanya utoe hela kama mwanzo alivo bwege alikuwa anasubir gar nani akununulie gar mtu usiyeweza kununua mafuta ili wahun waanze kukunulia mafuta wakubutue
Msipojiongeza mtaliwa bure sana
Ni kama ulivyosema hawa wanawake wengi ni vigagura ni wachawi eti mimi ni wakulipa 250k per tena ni miezi mitano🤔🤔Hawa wanarogwa.. huwezi mlipia Kodi kimada Tena mil 3 hiyo yote kwa ajili ya kufukuzia zinaa. Ndiomaana mnaambiwa mtulie kwenye ndoa zenu... Malaya akishanusa halufu ya pesa Yako atafanya Kila namna akuweke kiganjani uendelee kumtumikia
Nimeipenda hiiWanaume tunapozaliwa tu tunayakuta madeni yanatusubiri na hata tukifa tunaacha madeni ya kutosha. So tusiogope madeni, ni swala la choices tu lipi tuanze kulipa, lipi lisubiri na lipi hatutalipa hadi tufe.
Ndio uache uzinzi ss mkuu, na utakutana na mtambo zaidi ya huo ukupoteze kwenye ramanNi kama ulivyosema hawa wanawake wengi ni vigagura ni wachawi eti mimi ni wakulipa 250k per tena ni miezi mitano🤔🤔
nimenyosha mikono mkuuNdio uache uzinzi ss mkuu, na utakutana na mtambo zaidi ya huo ukupoteze kwenye raman
Wakati mwingine muwe mnakula kwanza mnashiba ndipo mnaandika nyuzi aiseee...🤨
ndiyo aisee duhDuh aiseee
Wezesha mkuu siku bado mbichi sana🤣mkuu ushakunywa chai
shingapiWezesha mkuu siku bado mbichi sana🤣
Umemaliza kila kitu luv.Siku hizi tunajengewa nyumba, tena maghorofa. Uko nyuma sana na taarifa. Kupangiwa iko so Yesterday.